Wanajamiii tcu inashida sana kuna watu wanaomba baadhi ya faculty inagoma eti hawana vigezo saingine inakubali afu baadhi ya account zngne za watu hazina kuchek eligibility znakubali tu ukijaza faculty yoyote mbona wanachanganya mambo, kama kuna mtu kawasiliana nao msaada jameni afu mda unazidi kwenda
Wanajamiii tcu inashida sana kuna watu wanaomba baadhi ya faculty inagoma eti hawana vigezo saingine inakubali afu baadhi ya account zngne za watu hazina kuchek eligibility znakubali tu ukijaza faculty yoyote mbona wanachanganya mambo, kama kuna mtu kawasiliana nao msaada jameni afu mda unazidi kwenda
Huwezi kujaza faculty, unajaza course
Huwezi kujaza faculty, unajaza course
Ukiwapigia customer care wa mtandao ulionunulia je???
toka jana usiku mpaka saa izi saa mbili asubuhi najaribu kufungua website ya tcu haifunguki.... na bhado cjajaza coz yoyote.... dead line ni lini kwa form six wa mwaka jana....?
key deadline ni leo 15/08
31.08.2015
nataka nifanye editing katika profile yangu kwenye CAS......kila nikiingia naambiwa error....yaani tokea juzi.......afu deadline ya kufanya editing ni liniii???