danhosnoop
JF-Expert Member
- Oct 21, 2014
- 2,721
- 10,528
Karibu mkuu...kila la kheriNashukuru Mkuu
Karibu mkuu...kila la kheriNashukuru Mkuu
mwisho wa kutuma maombi tcu ni augost 31 2015 saa 23:59 usikuuuu...!!!
Fanya yako bado hujachelewa ukipata taarifa hii mwambie na mwezio.
Naomba kujua maana nakosa amani kabisa
Karibu mkuu...kila la kheri
Weka ktk pdf file moja hata kama ikichkua page mbili. Ukienda kuscan stationery waambie wascan it in such away that kama ziko page mbili ukiscrow down ukute ya pili, ila pdf file ni 1Hivi hapa kwenye kuupload transcript inabidi uapload kilq page kivyake au page zote ziwe kwenye pdf file 1?
naomba kufahamishwa deadline ya kuapply chuo kupitia TCU kwani kwenye mabandiko ofisini kwao ni 15 august ila kwenye guidebook wameandika 30 august.
Nna vocha ya tcu mkuu, kama uko interested ni PM..
Price ni 40000
jaman naombeni msaada kidogo mm nilikuw nataka ku apply diploma ualimu ila nimemalza advance 2012 ila nikienda kweny kuchagua vyuo course inakuja ya afya na teaching math & physics