TCU mnajichanganya, angalia hapa

TCU mnajichanganya, angalia hapa

We uliyepost ingia necta website uone muongozo wa kutunuku matokeo
 
Pole sana mdau principle pass ni D mbili ukitaka ingia Web site ya TCU
Nimeingia huko huko, wewe unafikiri kwa nini NECTA inasema ukipata E (2016) performance yako ni satisfactory na TCU wanaipa point moja. E iko juu ya S ambayo ni subsidiary pass vinginevyo wangeifuta. Ni kwamba E kama E haihesabiwi kwenye minimum qualification ya kudahiliwa chuo. Lakini ukweli huo haufuti kuwa among the principle passes
 
Jaman waungwana mm nimemaliza diploma nina GPA ya 2.8 nimesoma social work, form four nilikuwa na D4 je sina vigezo vya kuendelea na degree kwan hz taarifa za TCU zimenikatisha tamaa sana, Japo cc tuliomaliza diploma huwa tuna apply kupitia NACTE bt according to TCU wanasema application zote tufanye kwao nimechanganyikiwa kabisaaa Please naomben uelewa wenu juu ya hili.
Pole mkuu huwezi kwenda chuo ungepitia form 6 ningekushauri ureset ila kwa nyie wa diploma sijui huwa wanafanya nini
 
Garbage, sasa A F F unamteteaje wakat ana principle moja? hyo hata kabla ya hvyo vigezo vipya alikua haendi coz hyo ni principle moja tu ndo anayo ila huyu mwenye A E E ana principle zote 3 ( A mpk E zote ni principle) au hujui? Af hyo A F F inakuaje point 5?
Kuna point za aina mbili zile za NECTA A ni 1 na zile za TCU wanazotumia kudahili watu A ni point 5.
 
Nimeingia huko huko, wewe unafikiri kwa nini NECTA inasema ukipata E (2016) performance yako ni satisfactory na TCU wanaipa point moja. E iko juu ya S ambayo ni subsidiary pass vinginevyo wangeifuta. Ni kwamba E kama E haihesabiwi kwenye minimum qualification ya kudahiliwa chuo. Lakini ukweli huo haufuti kuwa among the principle passes
Mmnh mkuu sijakupinga hata point moja unavosema wanachosema tcu kwa mwaka huu ni D mbili mkuu sio kwamba nmeamua tu kukupinga
 
Nadhani yote ni sahihi, cha muhimu jufikisha point 4 bila fail au s,eg.A & E ,B & E A etc. D D wametoa kama mfano wa kuleta point 4 ni mawazo yangu maana ni kweli hamna ufafanuzi wa kutosha
dah hyo sio mifano
ATLEAST' uwe na D mbili with 4 points alafu D ndio principle pass kwa hyo kama una E kushuka hauna kitu
tusijipe moyo.
by the way guide buku itatoka
na kuna vyuo hata kam ungekua na hzo point huendi lakin kwa sababu hcho n kiwango cha chini unapata hata private university
i think umenipata mkuu
 
Acheni kujichanganya, mtu anatakiwa kuwa na points 4 wakatolea mfano kuwa na D mbili na sio lazma uwe na D mbili ndio uingie chuo. Mtu akiwa na C&D anaingia chuo.
 
Kijana kama umepata A E E we nenda kalime tu... Sasa huoni kama baadhi ya kozi ambazo huitaji walau D mbili za masomo ya A level utazisikilizia redion... Acha kujichanganya kinachohitajika ni ni D mbili achana na point zako hizo.... Kama ni pointi mbona humtetei MTU ambae kapata A F F ambayo kimsingi ni pointi 5
Kinachoangaliwa ni principal pass na points kama umefksha vyote hvyo unaingia chuo kkuu
 
Nakupata lakini mnawachanganya madogo wasije wakaona E haifai kwa lolote.

Watu wanashindwa kuelewa mkuu, hakuna sehem ambako TCU wamesema E cyo principle pass' na ndo utata unaanzia hapo
 
Nadhani yote ni sahihi, cha muhimu jufikisha point 4 bila fail au s,eg.A & E ,B & E A etc. D D wametoa kama mfano wa kuleta point 4 ni mawazo yangu maana ni kweli hamna ufafanuzi wa kutosha
Tangazo la TCU lingeweza kuandikwa vizuri zaidi haya malumbano yasingetokea. Wasingeweka zile D2 au C2 kwenye mabano. Wangesema moja kwa moja kuwa ili ufikiriwe kudahiliwa angalau uwe na pricipal passes 2 kila moja ya kiwango cha D. Ni vizuri tujue kuwa principal passes huanzia E mpaka A. S ni subsidiary pass na F ndio hivyo tena. Hawakuweka uhusiano wa moja kwa moja wa point 4 za TCU na kigezo cha D. Sisi ndio tunaipa tafsiri D2=4. Wengine wanatafsiri tofauti CE=4 kama mchangiaji wa hapo juu. Hili TCU wangeliona na kuwa explicit. Wengine wamekwenda mbali zaidi na kusema E siyo principal pass-hii si kweli ndio maana ina point 1 za TCU. Ukisha kuwa na vigezo vya kufikiriwa kudahiliwa kwa mfano D2 au zaidi-watahesabu point zole ulizopata pamoja na E & S halafu watachagua accordingly. Tahadhari kuna program ambazo ili udahiliwe wataweka vigezo mahsusi kwa mfano Statistics lazima ufaulu hesabu kwa kiwango watakachoweka.
 
Mwee haya na wa diploma hali ikoje? Mdogo wangu ana b plus then b, b, c anaenda chuo au la maana mzigo ushakuwa mzito
 
Nashukuru sana mkuu umenielewa na hiyo ndo hoja yang, HAKUNA SEHEMU TCU wamekanusha kuwa E cyo principle pass ila walio wengi wanabisha2 bila hoja zenye mantiki'
 
Back
Top Bottom