TCU mnajichanganya, angalia hapa

TCU mnajichanganya, angalia hapa

Garbage, sasa A F F unamteteaje wakat ana principle moja? hyo hata kabla ya hvyo vigezo vipya alikua haendi coz hyo ni principle moja tu ndo anayo ila huyu mwenye A E E ana principle zote 3 ( A mpk E zote ni principle) au hujui? Af hyo A F F inakuaje point 5?
Hahhaha kumbe upo makini eeeeh hhhahahahaha mtaisoma namba garbage wewe jiandae kwenda global college
 
Inamana mwenye daraja la 2 hana sifa af mwenye 3 ana sifa iko sawa hiyo? kwa comon sense tu mkuu
Yes bro..
Mwenye A mbili olevel na d flat ana three ya 22 ila hana sifa ya kupga pepa ya 6 mpaka atafute crdt moja ila mwenye c tatu na d 2 na f zilizobak ana iv ya 27 ila ana sifa za kupga pepa ya 6...
 
Sorry sikukuelewa mkuu principle D Lakini hiyo E kwa sasa sio principle kama matokeo ndo hayo diploma au reset
S.Subsidiary.
E.Satisfactory
D.Averege.

Je principal na satisfactory vina utofauti gani?.,ndio suali lilipo.
 
Wapi na lini TCU wamesema E siyo principle?
b99500e2b443ae0df856850e313ac71f.jpg


Hapo ndo TCU ndo waliposema mkuu tangazo LA wiki hii
 
Mbona hakuna? Na wanaposema two principle passes af kwenye mabano wanasema "two Ds au two Cs" unaelewa nin wanakimaanisha?
Inaonekana kuelewa mzito twende taratibu tu wanapoweka mabano wanamaanisha hiyo principle inayotakiwa mfano mwaka 2016 2Ds ndo kigezo mwaka 2015 2Cs ndo kigezo hebu soma uelewe
 
Hoja ni kwamba unaweza ukawa na A physics lakini huwezi mwenda medicine na S ya Bios na Chem. Pia kuna kuangalia uhitahi wa hiyo kozi na ufaulu wa hayo masomo. Unaweza ukawa na two lakini usipate kozi husika sababu somo la msingi umechemka
 
Habari za weekend wakuu..

Ufafanuzi unahitajika hapa, hivi hoja ya msing ya TCU ni angalau D mbili au angalau point 4.0? Au vyote? Tazama huo mfano

1) Mtu mwenye D D E anakua na points 5 (dvn 3 pnt 13) na anakua nasifa ya kwenda chuo kikuu (kwa mujibu wa rank za waliomaliza 2014 kurudi nyuma)

2) Same case mtu mwenye A E E anakua na points 7 dvn 2 pnt 11) lakin hana sifa ya kujiunga na chuo kikuu

Naomba kujua ipi hoja ya msingi kati ya D mbili au point 4.0?

Mana ukiangalia hapo juu huyo mtu mwenye A E E ana division 2 ya point 11 kafaulu zaid ya huyo wa kwanza ambae ana division 3 ya point 13

Lakini cha kushangaza mwenye sifa ya kwenda chuo kikuu ni huyo mwenye 3 ndo anastahili, hii iko sawa kweli?


I STAND TO BE CORRECTED

KUANZIA LEO NATAKA NIKUPE ELIMU NA UELEWE YAFUATYO:

PRINCIPLE PASSE ZA KWENDA CHUO CHOCHOTE KILE KIKUU DUNIANI HUWA NI 2 ,KWA CASE YA TANZANIA ILIKUWA NI E MBILI LAKINI IMEPANDA HADI D MBILI,THATS MEANS POINTS ZINAHESABIWA KWA MASOMO MAWILI TU,NA SIO MATATU KAMA MTU UNA A E E ,HAPO HAUNA PRINPLES PASSE MOJA ,LAKINI UNAYO MOJA AMBAYO NI A.
HIVYO BASI MTU MWENYE D D F ANAWEZA KWENDA CHUO KIKUU LAKINI MWENYE A E E NA DIV II PTS 12 AKAKOSA NAFASI KWA SABABU HANA MINIMUM PRINCIPLE PASSES.
 
Garbage, sasa A F F unamteteaje wakat ana principle moja? hyo hata kabla ya hvyo vigezo vipya alikua haendi coz hyo ni principle moja tu ndo anayo ila huyu mwenye A E E ana principle zote 3 ( A mpk E zote ni principle) au hujui? Af hyo A F F inakuaje point 5?
Hata mwenye AEE Naye ana principle moja maana principle inaanzia D na sio E
 
Habari za weekend wakuu..

Ufafanuzi unahitajika hapa, hivi hoja ya msing ya TCU ni angalau D mbili au angalau point 4.0? Au vyote? Tazama huo mfano

1) Mtu mwenye D D E anakua na points 5 (dvn 3 pnt 13) na anakua nasifa ya kwenda chuo kikuu (kwa mujibu wa rank za waliomaliza 2014 kurudi nyuma)

2) Same case mtu mwenye A E E anakua na points 7 dvn 2 pnt 11) lakin hana sifa ya kujiunga na chuo kikuu

Naomba kujua ipi hoja ya msingi kati ya D mbili au point 4.0?

Mana ukiangalia hapo juu huyo mtu mwenye A E E ana division 2 ya point 11 kafaulu zaid ya huyo wa kwanza ambae ana division 3 ya point 13

Lakini cha kushangaza mwenye sifa ya kwenda chuo kikuu ni huyo mwenye 3 ndo anastahili, hii iko sawa kweli?


I STAND TO BE CORRECTED

kinachoangaliwa ni ufikishe point 4 sio lazima point hizo 4 zipatikane kwa D mbili inaweza ikawa kwa CEE hivi ndivyo itakavyokuwa by the way soon next week Guide book itatoka utapata uchambuzi mzuri sana
 
pole Mzee wa kuchanganyiwa ila ili muhusika awe na eligibility mosi ni lazima awe Weight ya 4 pili ni lazima awe na angalau kuanzia D mbili ili kukidhi kigezo cha kwanza ambacho ni weight ya 4 kigezo cha D mbili ni kuonyesha jinsi gan muhusika anaweza kufikia kigezo cha kwanza ndo maana ikawa angalau(at least).Kama una marks zingine ambazo zinakupelekea kufika kigezo cha kwanza unakuwa eligible kabisa kwa mfano DEE, AEE, AAS, etc zote unakuwa eligible ila itategemeana sasa na requirements za kozi anayotaka kusoma kwenye chuo husika.
 
Habari za weekend wakuu..

Ufafanuzi unahitajika hapa, hivi hoja ya msing ya TCU ni angalau D mbili au angalau point 4.0? Au vyote? Tazama huo mfano

1) Mtu mwenye D D E anakua na points 5 (dvn 3 pnt 13) na anakua nasifa ya kwenda chuo kikuu (kwa mujibu wa rank za waliomaliza 2014 kurudi nyuma)

2) Same case mtu mwenye A E E anakua na points 7 dvn 2 pnt 11) lakin hana sifa ya kujiunga na chuo kikuu

Naomba kujua ipi hoja ya msingi kati ya D mbili au point 4.0?

Mana ukiangalia hapo juu huyo mtu mwenye A E E ana division 2 ya point 11 kafaulu zaid ya huyo wa kwanza ambae ana division 3 ya point 13

Lakini cha kushangaza mwenye sifa ya kwenda chuo kikuu ni huyo mwenye 3 ndo anastahili, hii iko sawa kweli?


I STAND TO BE CORRECTED


WEWE NDIO UNAJICHANGANYA .
NI LAZIMA UWE NA KUANZIA D MBILI AMBAZO ZISIPUNGUE POINT 4
SIFA NI KUANZIA D MBILI.... FANYA UFANYAVYO UVUKE D MBILI NA TUKIHESABU USIWE CHINI YA POINT 4. KWA HIYO UKIWA A EE BADO HUNA VIGEZO....
 
Back
Top Bottom