TCU chukueni hatua dhidi ya chuo cha SAUT-Mtwara

mogesogwe

Member
Mar 17, 2017
65
29
Habari,

Moja kwa moja kwenye hoja, Chuo cha SAUT-Mtwara kimechoche kudidimiza ubora wa wahitimu wa chuo hicho kwa miaka kadhaa sasa, sababu kubwa ni kushidwa kuwalipa walimu na kuwatengenezea madeni makubwa huku wengi wakikimbia kusaka masilahi serikalini, na kwenye vyuo binafsi. Kuna baadhi ya Idara zina Qualified personnel mmoja. Hivi kweli kwa hali hiyo kuna ufundishaji?

Kama chuo kinaweza kulipa Mwanataaluma chini ya 25% ya Mshahara, hii si nikuchezea watoto wa watu ambao wanasoma hapo?

Je, inawezekanaje elimu bora na yenye matokeo chanya kwa wahitimu na kwa Taifa? Hawa wahitimu kutoka SAUT-Mtwara katika soko la ajira na performonce?

Wanataaluma sitahiki zao zipo mashakani maani taarifa ni kwamba THTU ilpigwa marufuku na KATIBU WA TEC, DR. KITIMA, hivyo wafanyakazi hawana jukwaa la kueleza kero zao, hata kwenye KAGUZI mbili za TCU walitishiwa kufuzwa bila malipo.

Serikali kupita TCU chukua hatua mapema
 
This is not fair Sauti is bullshit college , they want to mess up the career of lecturers.

Poleni Sana nahisi maumivu yenu.
 
Tumsifu Yesu Kristu.

Naamini wahusika watapita humu na wataona. Kibaya zaidi ni taasis ya kanisa..
Ambalo kwaresma hii linatufundisha kutenda mema.
Hapo kuna uwezekano fungu linakuja ila linapigwa, ama ufuatiliaji mbovu.

Ni wakat sasa wa mapato haya👇 ya kanisa kusaidia kuboresha huduma zitolewazo n kanisa.
1. Zaka - SIKU HIZI KILA MWEZI
2. Tegemeza jimbo
3. Sadaka/matoleo
4. Mavuno
5. Mchango wa pili
6. Kapu la mama
7. UWAKA
8. VIWAWA
9. WAWATA.
10.
11.
12.
13.
 
Habari,

Moja kwa moja kwenye hoja, Chuo cha SAUT-Mtwara kimechoche kudidimiza ubora wa wahitimu wa chou hicho kwa miaka kadhaa sasa, sababu kubwa ni kushidwa kuwalipa walimu na kuwatengenezea madeni makubwa huku wengi wakikimbia kusaka masilai serikalini, na kwenye vyuo binafsi. Kuna baadhi ya Idara zina Qualified personnel mmoja. Hivi kweli kwa hali hiyo kuna ufundishaji...
Mbona imekaa kama bonge la jungu?
 
Nisha wahi kuandika threads humu kuhusu chuo cha SAUT-Mwanza na madudu yake mengi,mosi ya tatizo ni malipo kwa wahadhiri ni shida kuanzia kampasi kuu mpaka kwenye matawi yake ndio maana wahadhiri wengi wameishia kufungua stationary na kuuza vitabu.

Pili,mazingira na miundombinu ya chuo ni kama shule ya secondary ya kata kuanzia madarasa mpaka ofisi za wahadhiri maana kuna wahadhiri hawana ofisi ukweli ulio wazi vyuo vya SAUT huwezi fananisha na shule ya St.Jude - Arusha kimazingira na miundombinu

Tatu,mifumo ya kifedha SAUT niya hovyo kwenye hili mimi mwenyewe ni mhanga nilinyimwa kadi ya kufanyia mtihani kisa niliambiwa nina daiwa nilipo mbana vizuri msimamizi wa pesa ( yule mu-ethiopia) aniambie ni deni la nini alishindwa kunipa majibu mwisho tukafikia kikomo cha mimi kupewa kadi kwanza baadaye ndo nifuatilie vizuri,katika hili wahanga ni wengi mno ni kawaida sana kuambiwa una deni na wakati hauna deni.

NB:kama ni muhitimu wa SAUT au upo chuo nakushauri tunza risiti za malipo kuanzia mwaka wa kwanza mpaka wa mwisho tupa resiti baada ya cheti kukiweka mkononi.

"Ukomo wa maisha ya duniani ni kifo"
 
Mbona imekaa kama bonge la jungu?
Mkuu huu ni ukweli nina rafiki yangu nimesomanae SAUT-Mwanza, kaka yake ni mhadhiri alikuwa anafundisha SAUT -Mtwara alihama sababu ya malipo duni na kuhamia SAUT - Mbeya navyo kuambia sasa kasha achana na SAUT yupo Mzumbe- Dar sababu ni mambo ya malipo.
 
mi nimesoma sauti, unayoyasema cjui kuhus parfomance ni nzuri by the way unapoelezea changamot fuln ni vema kuizungumzia ktk fikra chanya....
 
Habari,

Moja kwa moja kwenye hoja, Chuo cha SAUT-Mtwara kimechoche kudidimiza ubora wa wahitimu wa chou hicho kwa miaka kadhaa sasa, sababu kubwa ni kushidwa kuwalipa walimu na kuwatengenezea madeni makubwa huku wengi wakikimbia kusaka masilai serikalini, na kwenye vyuo binafsi. Kuna baadhi ya Idara zina Qualified personnel mmoja. Hivi kweli kwa hali hiyo kuna ufundishaji?

Kama chuo kinaweza kulipa Mwanataaluma chini ya 25% ya Mshahara, hii si nikuchezea watoto wa watu ambao wanasoma hapo?

Je, inawezekanaje elimu bora na yenye matokeo chanya kwa wahitimu na kwa Taifa? hawa wahitimu kutoka SAUT-Mtwara katika soko la ajira na performonce?

Wanataaluma sitahiki zao zipo mashakani maani taarifa ni kwamba THTU ilpigwa marufuku na KATIBU WA TEC, DR. KITIMA, hivyo wafanyakazi hawana jukwaa la kueleza kero zao, hata kwenye KAGUZI mbili za TCU walitishiwa kufuzwa bila malipo.

Serikali kupita TCU chukua hatua mapema
Hakuna chuo kikuu kibovu Tanzania, Wengi wa SAUT wana connection

Tatizo koneksheni ya kazi

Watu wa viongozi wengi ni vilaza na wanasoma huko na wanapata kazi

Wewe ungeongelea connection

Hakuna chuo kibovu au elimu mbovu SAUT,

Kwani kuna tofauti gani mtu wa chuo na mwanafunzi wa Form six kwa kozi za sanaa
 
Back
Top Bottom