Sagungu 1914
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 943
- 617
Kwa hiyo hawa TCRA wanaona hili la akaunti feki tu ILA hili la makampuni ya simu na mabenki kunyonya raia kwa kuwapandishia gharama za vifurushi vya internet na nk hawalioni.Shame on you.
Nilisoma mahali ila siyo humu hii Serikali dhalimu ikiitaka JF itoe details kuhusu baadhi ya wachangiaji. Sijui ni details za aina gani na yeye kuonyesha kwamba hayuko tayari kufanya hivyo ili kulinda free speech ya Watanzania wote bila kujali itikadi zetu, dini, rangi au kabila. Na alikuwa tayari amekutana na wanasheria wa kuitetea JF kupinga vitisho vya hii Serikali dhalimu.
Tatizo ni dikteta mwenge uwezo mdogo chini ya kiwangoMsituzingue na mkitaka mzifunge ila suala la jina halisi la mtu nyinyi mnajuaje ili mradi mtu havunji sheria tatueni kero zetu acheni kufuatilia vitu kama ivo
Huyo aliyeyasema hayo sidhani kama anataaluma ya ICT. Ajifunze sheria ya privacy inasemaje. Kila mtandao una privacy policies zake, ambazo kama mteja wao aliyekubali kucomply na policies hizo anahaki zote za kutumia huduma zinazotolewa na mtandao husika. TCRA kusema watachukulia sheria watu hao ambao hawaja violate privacy policies za mtando husika sijui wao hizo hatua wanawachukulia kwa grounds zipi?Mmeshindwa tu kuyasimamia Makampuni ya simu kwenye usajili wa line tu, ije kwenye mitandao? Facebook wenyewe wameshindwa hayo Ndio maana kuna account fake, sasa tuambieni Sheria ya JF inaruhusu watu kutumia majina fake, nyinyi mmasema ni kosa kisheria, ina maana mnampango Jf ikate roho?
Siku mkianza kukamata fake account basi ndio itakuwa mwisho wangu kutumia mitandao
Yap nakumbuka hiyo issue.
Lakini hiyo ilikuwa wkati ule tulipokuwa tukipewa vitu vya uhakika kutoka kwa reliable sources kupitia akina Invicibles.
Hivyo ile trend ya data ilikuwa ikitishia Amani huko majikoni.
Lakini sasa hivi mkulu amezuia hiyo kitu, ndiyo maana Cyber Crime Act ikaletwa.
Lakini kwa ujumla watu wanatakiwa kuwa waangalifu na kile wakisemacho na madhali kitakuwa ndani ya wigo wa uhuru wa maoni na haki ya kikatiba, sidhani kama mtu ataathirika.
Kwa mawazo yangu: kuvaa identity ya mtu eg kufungua account kwa kutumia jina la mtu eg Edward Lowassa (huku sio wewe) na kupost huku ukiwaaminisha watu ndiye yeye hapo linakuwa kosa. Lakini kutumia nick names eg ''kiroboto mtoboa siri'' sio kosa.Unajua hii nchi watu wanatumia nguvu kubwa sana kupambana na vitu vya kijinga sana..
Sasa kama mtu anatumia utambulisho fake na wala hajihusishi na vitendo vya kitapeli au kuvunja sheria unahangaika naye wa nini??