Labla itakuwa kiwango cha reli Standard GaugeHuu ndio ujinga wenye kiwango cha juu zaidi ya lami[emoji34] [emoji34] [emoji34]
[emoji12] [emoji12]Labla itakuwa kiwango cha reli Standard Gauge
Dikteta uchwara na Serikali dhalimu katika ubora wao. Baada ya kushindwa kupambana na wamiliki wa Jamii Forums sasa wanataka kutishia wanachama wa JF na mitandao mingine nchini ili kutunyima uhuru wa kumjadili huyu dikteta uchwara na Serikali dhalimu. Watu wametumia majina bandia hapa JF kwa zaidi ya miaka kumi bila athari yoyote ile ndani ya nchi yetu, sijui huyu uchwara kipi kinachomuogopesha.
Ndo maana wanakimbilia matamko ili mkuu awasikie ila angeshtuka akawataka watekeleze matamko kisheria ndo angepata vichwa vya kutumbua.Kuna maneno yamezoeleka kuhalalisha hoja. Eti ni kosa kisheria, ukimuuliza kutaja kifungu ananuna.
Ingekuwa amri yangu ningeifuta TCRA..
ni wewe tu subiri uchukuliwe hatua kali za kisheriaSasa wenye akaunti fake si ndio tumejaa hapa! Au sijaelewa!
Watawaonea wenye majina yao halisi kama Mwakadinde, Pinda, Matombo, n.kKwani kuna ukomo wa majina? Basi watoe Majina elekezi maana kuna wengine wana majina mpaka 7
Nipo hapa mkuu nakupatapata.
Yaani kumbe kuna mpambano "behind the scenes" kati ya Max na hawa jamaa?
Kwa kweli kwa uzoefu wangu wa miaka 10 nipo hapa nimeona mengi sana.
TCRA iiache JF bana.