Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,527
- 81,250
Wewe utakua umesomea usalama wa mawasiliano ya kichawi sio bure. Bora hata sisi self taught amateurs.Naomba nifunge mjadala huu kwa kusema kwamba nimesoma usalama wa mawasiliano ya angavu
"HAKUNA USALAMA KWENYE MIFUMO YA TECHNOLOGIA KWA ASILIMIAMIA 100"
wakati unawaza what's up haiwezi kudukuliwa, kumbe ni kitu chepesi sana sema haijawa public tu
" USIAMINI KUWA WHATSUP NA TELEGRAM KUWA INA USALAMA WA END TO END ENCRYPTION NEVER EVER"
KWENYE MAMBO YA USALAMA WA TECHNOLOGIA JIAMINI WEWE KAMA WEWE USIAMINI KUWA SIJUI KITU FLANI HAKIWEZI KUDUKULIWA NOO NOO MY DEAR
Nafunga mjadala
Sent using Jamii Forums mobile app
Whatsup!