Tronics guru
JF-Expert Member
- May 19, 2016
- 7,876
- 7,390
hahaha et wanasema sababu ni ile E2EE !Naona watu wanabishana sana humu..infact, m sio mtaalam wa maswala ya mawasiliano.
Kwann whatsapp haiwez kudukuliwa?? Sababu za kitalaam plz!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa vijana wanadhani wapo 18century!
