kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,052
- 7,057
Watanzania wameamin lakin kwa TCRA sasa wanamtambo na hakuna mawasiliano watashindwa kunasa. Hahahah
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi umewai kujiuliza whatsapp ni bure na hawana matangazo sasa wanapataje faida!?Hao watu wanaishi Sayari ipi? Apple Mara nyingi tu imepelekwa mahakamani over the issues of cryptography..
Hata hao Whatsaap hawana uwezo wa kusoma msg yako...It's the same na password yako ya benki..
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mambo yana ethics br!Mbona mnaishia kutunishana misuli wazee...elezeeni tusiojua tuelewe... hapo hapo tutajua asiejua.
Kwamba wanasoma watu "wanachat nini zaidi" then wanauza hiyo idea kua "PESA"?Hivi umewai kujiuliza whatsapp ni bure na hawana matangazo sasa wanapataje faida!?
"...nyie ndio mnaomjaza ujinga jiwe..."Wewe hujui lolote na unajifanya mjuaji, nyie ndio mnaomjaza ujinga jiwe!
Sent using Jamii Forums mobile app
Heri ya mwaka mpya bablai 😀Mbona mnaishia kutunishana misuli wazee...elezeeni tusiojua tuelewe... hapo hapo tutajua asiejua.
Mbona wewe ni mbaguzi wa rangi! Unasema "Jitu jeusi".Hongera kwa kuhoa kikohozi!
Wanadhani wapo salama!
Wamiliki wenyewe wa hizo mambozi wanalia deilee na udukuzi!
Then jitu jeusi linakuja lina sema hii E2EE ndio top security!
Jitu jeusi jikite kwenye maada!
Mi natumia VPN vpi?Usiwe mweupe kichwani
WhatsApp yako hata Mimi nadukua.
As long as unatumia mitandao/simu haupo salama.
Sawa mkuuJitu jeusi jikite kwenye maada!
Maoni yangu yaheshimiwe!.
nakumbuka pm aliwahi kusema serikali imenunua mtambo ambao kama ndani kwako una bangi basi ule mtambo unapiga alarm.sijui uliishiaga wap au ulishabiwa
Mkuu sio maoni, huo ni ujinga na usipoambiwa utaendelea kuamini huo ujinga, kama unaweza dukua whatsap yangu sasahivi.Ujinga upi?
Kuwa mstaarabu na màoni ya watu.
Mkuu sio maoni, huo ni ujinga na usipoambiwa utaendelea kuamini huo ujinga, kama unaweza dukua whatsap yangu sasahivi.
Stori zao za vijiweni anataka kuzileta hapa.Vijana wakikaa Vijiweni wanakuwa na story zisizo na ukweli...
Whatsaap anaichukulia poa sababu anadownload buree.Sidhani kama anajua Zuckerberg aliinunua kwa $19 bilioni..hiyo hela nyingi kuliko bajeti ya Tanzania.
Halafu mbongo mmoja anaichukulia poa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bure vipi, wakati bila bando haisomi?Hivi umewai kujiuliza whatsapp ni bure na hawana matangazo sasa wanapataje faida!?
Hahaha hii itakua katika nchi ya kusadikikanakumbuka pm aliwahi kusema serikali imenunua mtambo ambao kama ndani kwako una bangi basi ule mtambo unapiga alarm.sijui uliishiaga wap au ulishaibiwa