Damaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 6,132
- 10,514
Unapozungumzia suala la kulinda privacy ya mawasiliano ya mtu basi wazungu huwa mstari wa mbele sana ijapokuwa Kuna wale mashushu au maspy wao ambao ndo hutoa taarifa kama kuna ishara mbaya ya hatari.
Ishu hizi za kujuana bwana Mussa anachat nini na bibi Asha ni mambo ya Most of dictatorship yaani anakuwa hana amani ya utawala.
Hiyo encryption ya whatsapp ni moja kati ya technology bora kwa sasa katika kulinda sms baina ya watu.
Kikubwa tusirumbane bali tupeane elimu tu na kukumbuka TRCA yetu kuna limit ya vitu inaweza kuaccess sio vyote. Note that0
Sent using Jamii Forums mobile app
Ishu hizi za kujuana bwana Mussa anachat nini na bibi Asha ni mambo ya Most of dictatorship yaani anakuwa hana amani ya utawala.
Hiyo encryption ya whatsapp ni moja kati ya technology bora kwa sasa katika kulinda sms baina ya watu.
Kikubwa tusirumbane bali tupeane elimu tu na kukumbuka TRCA yetu kuna limit ya vitu inaweza kuaccess sio vyote. Note that0
Sent using Jamii Forums mobile app
