CaptainDunga
JF-Expert Member
- Jul 17, 2009
- 1,567
- 1,375
Nime achika au nimepita na mkeo mara ngapi?Unaathari au madhara gani kwangu/kwa taifa?
Au nikudukue nijue umeachika Mara ngapi?
Kiazi kweli!
Nime achika au nimepita na mkeo mara ngapi?Unaathari au madhara gani kwangu/kwa taifa?
Au nikudukue nijue umeachika Mara ngapi?
Kiazi kweli!
Achana nae Mkuu, Watu wengine inabidi uwe na Busara uachane nae; Maana Hata anacho comment hakielewi..Unajua maana ya end-to-end encryption wewe. Wacha sifa za kijinga
Unadukaje dukua yangu tuone. Acha kututisha mzee..Hii kitu haidukulikiUsiwe mweupe kichwani
WhatsApp yako hata Mimi nadukua.
As long as unatumia mitandao/simu haupo salama.
Umeandika vizuri lakini haupo sahihi...Km nliskiliza vizuri rais alitoa km changamoto ( kwamba ule mtambo uweze kudhibiti hata mawasialiano ya whatsapp nk)
Hakuna mfumo wa mawasiliano ambao upo 100% salama(fact)
Udukuzi unaweza fanyika katika maeno matatu..
1 kwenye chanzo(source)
2 kwenye kusafirishwa/mawimbi etc
3 kwa mtumiaji wa mwisho(destination).
Whatsapp kwa mfano encryption inafanyika kwenye source na inapofika destination ina kuwa decrypted...
Sasa inawezekana source au destination device ikadukuliwa na mawasiliano yakapatikana kama kawaida.
Sii lazima kuuingilia mtandao wa whatsapp wenyewe.
Mitandao pamoja na ulinzi wake.. imetengenezwa na binadam na hao hao wanajua jinsi ya kuingilia
As long as u have the appropriate tools and algorithm
Nawasilisha!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Huna akiliUsiwe mweupe kichwani
WhatsApp yako hata Mimi nadukua.
As long as unatumia mitandao/simu haupo salama.
You done it all mkuu!
Watu wakiambiwa hii mifumo inadukuliwa kirahisi wanadhani tunazungumzia kisiasa kwamba tuko upande wa govt kuwaingilia falagha zao!!
But mfumo wowote unachezewa easy kabisa!
Huko sio kudukua mkuu.Amini amini nawaambieni,
Whatsapp sio salama sana kama mnavyodhani. Ukiandika meseji ukafuta wenye mitambo yao wanaweza kuiona endapo wakitaka, ni wao tu kua na simu yako.
Hii hutokea kama wanahitaji ushahidi fulani, nawe umekamatwa mhanga kwenye hilo tukio, niishie hapo tu.
Ok facebookWhatsapp inamilikiwa na Google??
Anajidanganya na yale maujinga ya kuunganisha whatsApp web kwenye simu ya mchepuko wake!Unafahamu maana ya kudukua mkuu?
ha ha ha...Anajidanganya na yale maujinga ya kuunganisha whatsApp web kwenye simu ya mchepuko wake!
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kweli aache!Unajua maana ya end-to-end encryption wewe. Wacha sifa za kijinga
Sio kweli!Usiwe mweupe kichwani
WhatsApp yako hata Mimi nadukua.
As long as unatumia mitandao/simu haupo salama.
Lengo la kuweka huo mtambo ni kupata taarifa zinahusu mapato ili waweze kupata kodi stahiki
Kiingereza kibovu, shit!I wonder when you acting as you know me!
Imbecile.
Achana naye misifa huyo, mkumbuashe lile tukio la kigaidi Marekani. FBI waliwaomba Whatsapp wafunguwe end-end sms za mtuhumiwa, walikataliwa, ikabidi mpaka mtuhumiwa mwenyewe alipotoa ridhaa...Hajui lolote huyu, anafikiria ku-install spy apps kwenye simu ya demu wake ndio udukuaji. Sasa si kila mtu angekuwa hacker 😂😂😂