Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,068
- 43,510
sio siri bwana mnaboa na hizi habari kila mtu anakuja na kitu chake kulalamika humu.
Kipindi mwenye hii forum anaianzisha hili jukwaa sila malalamishi ila limeekwa tujifunze tupeane habari za technologia na vitu kama hivyo lakini kila siku watu wanaleta tabia zetu za kibongo za ulalamishi humu.
Kuna website inaitwa tcra.go.tz hii imetengenezwa kwa ajili ya vitu kama hivi nenda pale click contact us then kwa kutumia details hizo watumie malalamiko yako. Na sio humu ambapo sidhani hata kama hao viongozi wa tcra wanakuja soma hio post yako
Kipindi mwenye hii forum anaianzisha hili jukwaa sila malalamishi ila limeekwa tujifunze tupeane habari za technologia na vitu kama hivyo lakini kila siku watu wanaleta tabia zetu za kibongo za ulalamishi humu.
Kuna website inaitwa tcra.go.tz hii imetengenezwa kwa ajili ya vitu kama hivi nenda pale click contact us then kwa kutumia details hizo watumie malalamiko yako. Na sio humu ambapo sidhani hata kama hao viongozi wa tcra wanakuja soma hio post yako