TCRA, Tunaomba ufafanuzi

TCRA, Tunaomba ufafanuzi

sio siri bwana mnaboa na hizi habari kila mtu anakuja na kitu chake kulalamika humu.

Kipindi mwenye hii forum anaianzisha hili jukwaa sila malalamishi ila limeekwa tujifunze tupeane habari za technologia na vitu kama hivyo lakini kila siku watu wanaleta tabia zetu za kibongo za ulalamishi humu.

Kuna website inaitwa tcra.go.tz hii imetengenezwa kwa ajili ya vitu kama hivi nenda pale click contact us then kwa kutumia details hizo watumie malalamiko yako. Na sio humu ambapo sidhani hata kama hao viongozi wa tcra wanakuja soma hio post yako
 
unaongelea theory au practical experience?

"theory" - Mimi binafsi naendelea kusubiri "jibu sahihi"...! TV nyumbani nimezima kwa muda (by the way kuna faida nimezipata kwa kutokuangalia TV)...!
 
Naona usanii unaendelea kulitafuna taifa!kwa waelewa wa mambo tumeshanusa harufu chafu ya ufisadi ndani ya TCRA.nisiseme mengi bali nijikite kwenye swali langu au letu!

Ili niweze kuona local channels zote ninunue king'amuzi kipi?

This is a very serious question from the common mwananchi.
Na ule mpango wa kuzima simu 'feki' umeishia wapi au Dec 31, 2012 haijafika?
 
Ndungu zangu msijingize kwenye matatizo ya vingamuzi vya startimes, na wengineo wa teknolojia kama hiyo,USHAURI WA BURE:Kingamuzi bora kuliko vyote ni cha teknolojia ya SATELLATE.,kama free to air dishes,zuku,dstv.Kwa nini usumbuke na startimes?Kwamfano kama upo Dar utapata free to air dish ft 6 kwa bei ya sh 130000 tu,utapata lnb,dish,receiver,cable. Kwa vifaa hivyo utapta chanel 11 za bure,kama TBC1,ITV1,STARTV,CH10,CITZEN KENYA,MOZAMBIQUE1,MOZAMBIQUE2,TIM,EATV,TV IMANI,.Hapo ni lnb moja tu.Ukiongeza gharama za fundi ni kama 20000 tu.Tena hakuna cha zungusha,hapo,rudi,haaa imetoka!Kwa hiyo gharama ya 150000 tu umemaliza maisha yako yote,hakuna cha kulipia wala bill.Sasa linganisha bei,startimes kununua set68000/ malipo ya mwezi 9000/,kwa mwaka 176000.Na wakati huo zaidi startimes utapata chanel za kidosi tu.Kwenye dish lako ukitaka kuongeza chanel ni huru,waweza pat zaidi ya chanel 1000 ukiongeza disqswith na lnb 3. FUNGUKA,SOMA ALAMA ZA NYAKATI.
 
sio siri bwana mnaboa na hizi habari kila mtu anakuja na kitu chake kulalamika humu.

Kipindi mwenye hii forum anaianzisha hili jukwaa sila malalamishi ila limeekwa tujifunze tupeane habari za technologia na vitu kama hivyo lakini kila siku watu wanaleta tabia zetu za kibongo za ulalamishi humu.

Kuna website inaitwa tcra.go.tz hii imetengenezwa kwa ajili ya vitu kama hivi nenda pale click contact us then kwa kutumia details hizo watumie malalamiko yako. Na sio humu ambapo sidhani hata kama hao viongozi wa tcra wanakuja soma hio post yako

kwani chief umelazimishwa kusoma,mbona una kiherehere..usijifanye moderator wa post za watu! Unalaumu ishu ya kulalamika wakati we mwenyewe katika post yako unalalamika.
 
Ndungu zangu msijingize kwenye matatizo ya vingamuzi vya startimes, na wengineo wa teknolojia kama hiyo,USHAURI WA BURE:Kingamuzi bora kuliko vyote ni cha teknolojia ya SATELLATE.,kama free to air dishes,zuku,dstv.Kwa nini usumbuke na startimes?Kwamfano kama upo Dar utapata free to air dish ft 6 kwa bei ya sh 130000 tu,utapata lnb,dish,receiver,cable. Kwa vifaa hivyo utapta chanel 11 za bure,kama TBC1,ITV1,STARTV,CH10,CITZEN KENYA,MOZAMBIQUE1,MOZAMBIQUE2,TIM,EATV,TV IMANI,.Hapo ni lnb moja tu.Ukiongeza gharama za fundi ni kama 20000 tu.Tena hakuna cha zungusha,hapo,rudi,haaa imetoka!Kwa hiyo gharama ya 150000 tu umemaliza maisha yako yote,hakuna cha kulipia wala bill.Sasa linganisha bei,startimes kununua set68000/ malipo ya mwezi 9000/,kwa mwaka 176000.Na wakati huo zaidi startimes utapata chanel za kidosi tu.Kwenye dish lako ukitaka kuongeza chanel ni huru,waweza pat zaidi ya chanel 1000 ukiongeza disqswith na lnb 3. FUNGUKA,SOMA ALAMA ZA NYAKATI.

Mkuu huo wote ni uvivu wa kutumia akili. Mimi nimekuwa nasikitika sana,kwamba watu wengi nchi hii kumbe hata vitu vidogo sana vinawanyima usingizi.TCRA wanafanya promo ya ving'amuzi vya kulipia,wakati walitakiwa kuweka wazi kwamba kuna options mbili,yaani king'amuzi cha kulipia na king'amuzi cha fta ambacho ni cha bure!

Anyway,inavyoonekana watu wa dar walikuwa hawajui kabisa hii option ya pili,ndio maana wanang'ang'ana na startimes na zuku,kisha malalamiko chungu tele.Sisi wa mikoani wengine tumeanza kutumia madishi kwa zaidi ya miaka 10 sasa na hatujapata tatizo lolote.Mambo yote burudani.

Sisi kwetu tunasema,wajinga ndio waliwao.Siku wakistuka wanatukuta tunafanya mpango wa kwenda Mars!
 
Ndungu zangu msijingize kwenye matatizo ya vingamuzi vya startimes, na wengineo wa teknolojia kama hiyo,USHAURI WA BURE:Kingamuzi bora kuliko vyote ni cha teknolojia ya SATELLATE.,kama free to air dishes,zuku,dstv.Kwa nini usumbuke na startimes?Kwamfano kama upo Dar utapata free to air dish ft 6 kwa bei ya sh 130000 tu,utapata lnb,dish,receiver,cable. Kwa vifaa hivyo utapta chanel 11 za bure,kama TBC1,ITV1,STARTV,CH10,CITZEN KENYA,MOZAMBIQUE1,MOZAMBIQUE2,TIM,EATV,TV IMANI,.Hapo ni lnb moja tu.Ukiongeza gharama za fundi ni kama 20000 tu.Tena hakuna cha zungusha,hapo,rudi,haaa imetoka!Kwa hiyo gharama ya 150000 tu umemaliza maisha yako yote,hakuna cha kulipia wala bill.Sasa linganisha bei,startimes kununua set68000/ malipo ya mwezi 9000/,kwa mwaka 176000.Na wakati huo zaidi startimes utapata chanel za kidosi tu.Kwenye dish lako ukitaka kuongeza chanel ni huru,waweza pat zaidi ya chanel 1000 ukiongeza disqswith na lnb 3. FUNGUKA,SOMA ALAMA ZA NYAKATI.

Ndugu upo sahihi lkn hilo ni wazo la muda mfupi. Kumbuka king'amuzi ni biashara ya makampuni na serikali hivyo wanaweza kula dili la kufunga hata hizo FTA za kwenye satelite,refer Agape wamehama intelsat 906 na huko walipo wamefunga. Muhimu haya makampuni yatoe huduma bora na waache channel za tanzania free km tcra wanavyoelekeza ili wale wanaotaka channel za ziada ndio walipie
 
hapana msijali ili kupata tyme ya kuchagua king'amuz bora inabd. kuwa makn na nivizuri kununua madsh wakat tukijiandaa kupata king'amuzi
 
Ndungu zangu msijingize kwenye matatizo ya vingamuzi vya startimes, na wengineo wa teknolojia kama hiyo,USHAURI WA BURE:Kingamuzi bora kuliko vyote ni cha teknolojia ya SATELLATE.,kama free to air dishes,zuku,dstv.Kwa nini usumbuke na startimes?Kwamfano kama upo Dar utapata free to air dish ft 6 kwa bei ya sh 130000 tu,utapata lnb,dish,receiver,cable. Kwa vifaa hivyo utapta chanel 11 za bure,kama TBC1,ITV1,STARTV,CH10,CITZEN KENYA,MOZAMBIQUE1,MOZAMBIQUE2,TIM,EATV,TV IMANI,.Hapo ni lnb moja tu.Ukiongeza gharama za fundi ni kama 20000 tu.Tena hakuna cha zungusha,hapo,rudi,haaa imetoka!Kwa hiyo gharama ya 150000 tu umemaliza maisha yako yote,hakuna cha kulipia wala bill.Sasa linganisha bei,startimes kununua set68000/ malipo ya mwezi 9000/,kwa mwaka 176000.Na wakati huo zaidi startimes utapata chanel za kidosi tu.Kwenye dish lako ukitaka kuongeza chanel ni huru,waweza pat zaidi ya chanel 1000 ukiongeza disqswith na lnb 3. FUNGUKA,SOMA ALAMA ZA NYAKATI.

Mkuu Citizen inapatikana deg 64 kwa frq zipi?
 
Mkuu huo wote ni uvivu wa kutumia akili. Mimi nimekuwa nasikitika sana,kwamba watu wengi nchi hii kumbe hata vitu vidogo sana vinawanyima usingizi.TCRA wanafanya promo ya ving'amuzi vya kulipia,wakati walitakiwa kuweka wazi kwamba kuna options mbili,yaani king'amuzi cha kulipia na king'amuzi cha fta ambacho ni cha bure!

Anyway,inavyoonekana watu wa dar walikuwa hawajui kabisa hii option ya pili,ndio maana wanang'ang'ana na startimes na zuku,kisha malalamiko chungu tele.Sisi wa mikoani wengine tumeanza kutumia madishi kwa zaidi ya miaka 10 sasa na hatujapata tatizo lolote.Mambo yote burudani.

Sisi kwetu tunasema,wajinga ndio waliwao.Siku wakistuka wanatukuta tunafanya mpango wa kwenda Mars!

safi mkubwa umewagusa patamu!
 
Huyu jamaa aliyeanzisha hii thread kakosea. Eti kasema kuna king'amuzi kimoja tu wakati viko vingi balaa mf.DSTV,Easy tv,Zuku,Abudhabi ni uamuzi wako tu. ni wewe mwenyewe ujipange
 
Ndungu zangu msijingize kwenye matatizo ya vingamuzi vya startimes, na wengineo wa teknolojia kama hiyo,USHAURI WA BURE:Kingamuzi bora kuliko vyote ni cha teknolojia ya SATELLATE.,kama free to air dishes,zuku,dstv.Kwa nini usumbuke na startimes?Kwamfano kama upo Dar utapata free to air dish ft 6 kwa bei ya sh 130000 tu,utapata lnb,dish,receiver,cable. Kwa vifaa hivyo utapta chanel 11 za bure,kama TBC1,ITV1,STARTV,CH10,CITZEN KENYA,MOZAMBIQUE1,MOZAMBIQUE2,TIM,EATV,TV IMANI,.Hapo ni lnb moja tu.Ukiongeza gharama za fundi ni kama 20000 tu.Tena hakuna cha zungusha,hapo,rudi,haaa imetoka!Kwa hiyo gharama ya 150000 tu umemaliza maisha yako yote,hakuna cha kulipia wala bill.Sasa linganisha bei,startimes kununua set68000/ malipo ya mwezi 9000/,kwa mwaka 176000.Na wakati huo zaidi startimes utapata chanel za kidosi tu.Kwenye dish lako ukitaka kuongeza chanel ni huru,waweza pat zaidi ya chanel 1000 ukiongeza disqswith na lnb 3. FUNGUKA,SOMA ALAMA ZA NYAKATI.

naombeni freq na symbol rate za Citizen, na Trenet kwny position hii ya local chnl
 
dahh citizen inaonekana poua kwa c band no scratch so kwa xaxa kwenye hii c band ya local channel zpo kumi na moja au kuna wengne mnapata zaid ya hzo
 
Back
Top Bottom