hery_edson
Senior Member
- Sep 24, 2014
- 151
- 164
Tatizo ni kwamba wanashindwaje kuchukua details tulizotoa kwenye kupatikana kwa National ID maana system n moja kwa nini wasi integrate hzo system zao......Kazi lazima iwe haraka na ifuate taratibu zake za kusajiriwa,hamuwezi acheni.
Fingerprint ni muhimu kote duniani