Kristonsia Nkya
JF-Expert Member
- Jun 24, 2013
- 301
- 290
Mkimaliza mje na usajili wa kumia alama za ulimi
Sent by nokia tochi
Sent by nokia tochi
Wakimtambua ili iweje ? Kwani kwa kutumia hivyo vitu alivyotaja mtoto mada hawawezi kumtambua ? Mbona police wa cybercrime ukamata watu Kwa kutumia vitu alivyonyesha mtoa mada ?Finger print ni kwa ajili ya kumtambua na kumthibitisha mtumiaji wa line
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wanapotezea muda watuTabu yote ni vile hakuna national database...
Passport lazima uache finger prints, kwa national ID zoezi ni hilo hilo, sasa imehamia usajili wa simu, si ajabu ikaenda kwa mabenki na kwingineko...
Lets have kitu kama social security number, unatambuliwa na serikali pindi tu unazaliwa na vitu vingine vyote vina centralize hapo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli, macho ya mtu ndio alama sahihiAlama vidole ndio the ultimate security, hilo halina ubishi
si waseme tukaweke TU HAYO MADOLE Kuliko kutusumbua na matambulisho ambayo hatunayoAlama vidole ndio the ultimate security, hilo halina ubishi
Mkuu mi na tiara eyii walichukua Sasa Tena na hukuNimeenda kusajiri line wakachukua saini yangu, wakapiga picha yangu passport size, copies za IDs zangu
Alafu naona sms kuwa niende tena kusajiri upya
Kiukweli SITAENDA wacha wafunge tu line
NIDA walichukua alama za vidole
NEC walichukua alama za vidole
bado TCRA nao tena?
Kwani alama za vidole huwa zina tabia ya kubadilika baada ya muda?
Hawawezi kuchua kutoka kwa wenzao NEC, NIDA?
Alama za vidole ni unique
kila mtu na zake dunia nzima!
sasa zimewachanganya?
Hapa kwa kweli kila mtu ana mwisho wa uvumilivu wake
Sent from my iPhone using JamiiForums
Iko kitambulisho changu cha nida atakipata wapi ? Pia anayesajili si anapigwa picha yake halisi , ukiibiwa iko kitambulisho si unatoa taarifa polisi mkuuWatu wanaweza tumia kitambulisho chako cha NIDA kusajili line na hiyo laini akatumia mtu ambaye sio wewe. Sasa endapo wakitumia fingerprint za NIDA bila kukuchukua alama za vidole upya kama unavoshauri huoni kuwa utakuwa linked kwenye tukio la uhalifu ingawa wewe mwenyewe si muhusika bali kimetumika kitambulisho chako tu kusajilia laini ambayo imehusishwa na uhalifu?
Fingerprint lazima zichukuliwe ili kuhakikisha kuwa fingerprint zako zinakuwa linked directly na simkadi yako na picha yako bila ya shaka yoyote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Subirini KWANZA tupate Vitambulisho vya taifa .siyo tutumie namba Kama magari.sisi hatuna haraka.Ni vyema ungetuambia vitambulisho vya taifa mmefikia wapi, sio kusumbua watu kama watoto wakati hamna jipya.
Finger print ni kwa ajili ya kumtambua na kumthibitisha mtumiaji wa line
Sent using Jamii Forums mobile app
Iyo no 2 na no 6 nakaziaJE KUMEFANYIKA TATHIMINI YA KUTOSHA AU MATAMKO YA MVUA
NAJUA KUNA FAIDA LAKINI TUANGALIE HASARA ZIFUATAZO
1.MAPATO KUSHUKA –hapa ni kwamba sasa hakutakuwa na wageni kutumia mawasiliano ya simu za mkononi,awali passport hasa pale airport zilitumika sasa ununuzi wa vocha kushuka
2.MAWAKALA KUKOSA KAZI –hili zoezi linafanyika kwa simu maalumu na mawakala wote hawana hizi simu unategemea hao mawakala watakula nini,BOMU la MAJOBLESS linaibuka .
3. ZOEZI LIMEKUJA KAMA MVUA YA VULI- hapa nakumbuka maamuzi ya mwakyembe kutaka ndoa zifungwe kwa kutumia cheti cha kuzaliwa wakati hata yeye hakuwa nacho kwa wakati huo.
4. HAKUNA ANALYSIS YA KUTOSHA KWA NINI WATU HAWANA VITAMBULISHO-hapa nashanga kwa nini hivi vitambulisho mtu asiletewe mtaani kwake ofisi za serikali za mitaa itarahisisha mpaka vijijini kule kwenye nyumba za tope.
5.WATEJA KUTOELEWA NINI NI NINI-hapa tutegemee queue ya nguvu katika callcentre za makampuni ya simu ,wateja wengi watapiga simu kuuliza maswali
6.SIM CARD KUUZWA BEI ZA JUU-hapa itatokea watu kusajiri sim card na kuuza kwa bei kubwa kwa sababu demand yaani soko litakuwa kubwa na kitakacho tokea ni yaleyale watu kutumia simcard siyo yake
7.HUDUMA ZA MPESA,TIGOPEA KUPUNGUA-hapa wateja wataanza kutoa fedha zao kwenye simu kwa kuhofia kufungiwa simcard zao, huduma za simBanking zitapungua na serikali kukosa kodi zinazotokana na miamala ya electronic money transfer na pay bill mbalimbali .
Asante kwa kuona hiloKama simu fake mpaka leo zipo basi ujue hizo finger print ni porojo zilezile
Je hivyo vitambulisho vya NIDA. WAMESHATOA KWA WANANCHI?Mkuu hutaki kutambuliwa? Fingerprints ni kwa ajili ya kukutambua in relation to that Simcard. Bado fingerprints zinatumika nchini mwetu kumtambua mtu hata huko ulaya bado wanawatambua raia wao kwa njia ya fingerprints na DNA. Acha waanze kwanza kututambua kwa fingerprints. We need to start from somewhere mkuu!
Kwanza niwapongeze NIDA kwa kuja na online copy ambayo inapatika katika website yao so wasio na ID itahitaji namba tu amabyo utaipata ofisi za NIDA then utaingia kwa web yao utajibu maswali machache utadowload Id yako safii....
Niseme Mim Nina mwaka na nusu sasa sijaipata Id yangu line yangu ya VODA ishafungwa mwezi Wa saba sasa.... Tigo ndo hivyo napumulia machine hii inanipa woga hata Wa kufanya transactions.
SASA BASI:
LEO nimeenda ofisi za tigo baada ya kupata namba ya id na copy.
MAJIBU
SYSTEM zetu hazikubali copy wala namba labda ujaribu mwezi Wa tano kuanzia tarehe moja.
Nilichokaa kinyongee nkaondoka SMS mnitumie nyie nakuja kutii wito mnanletea mapicha picha.
Acha usome namba tu ili uache ufala wa kusifia sifia ujingaHellow watu wa Mungu, salam..
TCRA wamenishangaza sana, wanataka alama za vidole kwa kila mmiliki wa line ya simu.. Nimejiuliza maswali mengi mno sijapata jibu sababu sioni sababu yoyote ya msingi kufanya hivyo ukilinganisha na technology ya kisasa iliyopo.. Let's get down to details kwanini nawashangaa
1: Ukimiliki simu, TCRA wanajua line yako, simu yako, na IMEI ya simu yako..
2. Hata ukibadili line katika simu nyingine, ukawasha, still wanajua, unatumia simu gani, IMEI ipi, uko wapi at present position etc
3. Ukiamua, utumie mtandao kwa line yako, still TCRA wanajua IP address yako, uko wapi and a precise location.
4: Simu unazopiga, kuingia, sms, data usage, etc etc wanazo, hata utumie line mpya lakini haina jina still watapata details zote hizo..
5: Utaratibu wa sasa wa kusajili line mpya, unapigwa picha iliyo clear kabisa na ku upload ktk system, kisha kitambulisho ulichosajilia line kinapigwa picha na inaingizwa ktk system ya kampuni ya simu husika, na majibu yanarudi instantly, kuwa picha na kitambulisho vimekubalika, je picha ya passport size ya mmiliki wa line si zaidi ya finger print.
Swali rahisi kabisa, je alama ya vidole ndio security sign kubwa zaidi kuliko hizo correct digital details kama ni security mnahitaji? The answer is BIG NO definitely..
Je, alama ya vidole nchi nzima, let's say only 40% wenye line wamejiweza wakaenda, 60% hawajaweza, na mkawafungia tuseme, Serikali hawaoni watapoteza matrilioni ya shilingi kwa kuwapoteza hawa ambao hawajaenda kutoa alama ya vidole..?
Swali la mwisho na kubwa kabisa lenye kikwazo haswa, ukisema mwananchi aende na IDs za NIDA wengi hawana, IDs za Mpiga kura wengi hawana na wenye umri wa 18 and below hawana, ID za shule labda sekondari hapo wanazo ila akimaliza tu shule wanaacha so hizo hazifai, hili tu la IDs watapoteza wateja mamilioni, hii ina maana serikali itapoteza matrilioni ya shilingi kwa kupoteza wateja wengi mnooooo
Kama issue ni security, finger print sio realible these days, njia za kisasa za kidigitali nilizotaja hapo juu ndio very correct one and world wide are using..!!
Sijaelewa TCRA wamekaa na kujadili hasara kubwa itakayojitokeza sbb tu ya kutafuta finger prints za watu... Nimeshangaa sana. Siku hizi kumkamata mhalifu finger prints is nothing, just unatakiwa kujua line yake tu, basii. TCRA, msaidieni mh Rais wetu, apate mapato ya kutosha, hizi ideas zenu za kuja kuleta hasara kubwa unreasonably acheni. TCRA tayari mna TTMS, inawapatia kila kitu at your finger tips. Ukianzisha project hasa kama hii ya finger print nchi nzima lazima ufikiri mara elfu na elfu, big question is, DOES IT REALLY WORTH THE INVESTMENT? You can rethink again, mtapoteza trillions kwa maamuzi yasiyo na umuhimu mkubwa..!! Ni ushauri tu
Niliweka fingerprint wakati naprocess passportMkuu hutaki kutambuliwa? Fingerprints ni kwa ajili ya kukutambua in relation to that Simcard. Bado fingerprints zinatumika nchini mwetu kumtambua mtu hata huko ulaya bado wanawatambua raia wao kwa njia ya fingerprints na DNA. Acha waanze kwanza kututambua kwa fingerprints. We need to start from somewhere mkuu!