be unique
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 2,374
- 2,273
Why unalazimisha upewe huduma haipo kwenye uwezo wako?
Tcra wafanyaje? Wakulipie kifurushi cha juu zaidi?
Wewe unajua wao wanalipia kiasi gani hiyo Olympic?
Hii tabia ya kulalamika vitu ambavyo vya gharama kwa kujipa haki mnaitoa wapi?
Nikienda Serena nikakuta mshikaki elfu tano.
Nilalamikie mamlaka ziwalazimishe?
We si utazame ndondo cup ya Azam? Lazima utazame olympic kama huna uwezo wa kulipia?
Issue hapo sio gharama mkuu,kama channel ipo kwenye kifurushi cha bei ndogo kwanini mashindano yakiwekwa huko unaitoa hiyo channel wakati tangu mwanzo kabla ya mashindano ilikuwepo na inalipiwa kwa bei hiyo ndogo.