Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,545
- 63,023
Mkuu mbona wazambia na wakenya wana drive kwetu?Kilichonipeleka huko ni regional IP address
IP address ni kama plate number ya gari kwamba IP address za africa haziwezi ku operate kwa server iliyoko Europe ama China. Ni sawa na gari lako lenye plate number za tz haliwezi kuliendesha south Africa. Unless hicho kifungu sijakielewa wana maana gani ya kureport regional IP address. Kama wana maana IP address yoyote kutoka huko server iliko kwenye region hiyo hapo sawa.
Hii effectively kama ndivyo, unamwambia mwenye server zake china azihamishie Tanzania eti ku meet demands za TCRA.
Na pia kusajiri domain name kwa .tz ili iwe je? hiyo ni nick name tu haina lolote.
Au mfano wako sio halisi?