Wakiamua hakuna cha kuwazuia, hana kwa kuropokea labda huko nchi za mbali...Kana siri nyingi za ushindi wa uchaguzi 2020
Wakiamua hakuna cha kuwazuia, hana kwa kuropokea labda huko nchi za mbali...
Ni ngumu kutofautisha maamuzi ya CCM na maamuzi ya serikali.
Hivyo kutoa siri za CCM sawa na kutoa siri za serikali, vivyo hivyo kutoa siri za serikali sawa na kutoa siri za CCM...
2015-2021 inetoa somo kubwa sana kwa vijana kuacha uchawa. Huyu si polepole ambae PS wote walitakiwa kushika simu zao ziwe standby maana haijulikani PS yupi atapigiwa simu kwenye kipindi hicho mubashara. Leo TCRA iliyo chini ya PS inamvimbia. Vijana tupunguze uchawa na kuheshimu watu, sponsor hufaKamati ya Maudhui ya TCRA imesema kipindi cha Shule ya Uongozi cha Mbunge Humphrey Polepole kinatolewa pasipo kuzingatia misingi, sheria na kanuni za huduma ya utangazaji. Kamati imeongeza kuwa maudhui ya kipindi ni ya upotoshaji na yanayoweza kusababisha taharuki kwa wananchi.
Sasa kiki ya penalt tayari, mpira wetu Polepole ana hanjahanja, goli nani analifunga!
======
KAMATI ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema kipindi cha Shule ya Uongozi cha Mbunge Humphrey Polepole kinatolewa pasipo kuzingatia misingi, sheria na kanuni za huduma ya utangazaji huku kamati hiyo ikisimamisha kipindi chake cha Shule ya uongozi na kumpa masharti ambayo anapaswa kuyatimiza ili kirudi hewani.
Akisoma hukumu hiyo, baada ya kusikiliza upande wa Kamati na Upande wa Utetezi, Mwenyekiti wa Kamati, Habbi Gunze amesema maudhui ya kipindi cha shule ya uongozi yalikuwa ni ya upotoshaji na yanayoweza kusababisha taharuki kwa wananchi.
"Kuhusu kuwapanga wamachinga, Humphrey Polepole Online TV iliwatuhumu viongozi wa Serikali kuhusu kutofuata maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Samia Suluhu ya kuwapanga vizuri wamachinga. Kituo hiki kimevunja kanuni na maadili ya uandishi na utangazaji kwa kutowapa nafasi viongozi hao kutoa ufafanuzi juu ya tuhuma alizotoa.
"Polepole alitoa maneno ya uongo na udharirishaji kwa viongozi akisema ni waoga na hawajitokeizi kutoa ufafanuzi kuhusu deni la Taifa bila kuwapa nafasi viongozi hao kufafanua madai yake wakati viongozi waandamizi wa serikali akiwemo Waziri wa fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba mwezi Juni alisema bungeni kuwa deni la taifa ni himilifu.
"Katika utetezi wake alisema amejikita katika utoaji wa elimu tu bila kuzingatia mizania na kwamba TV yake si kama vyombo vingine vya habari vinavyotoa maudhui ya habari, yeye anatoa elimu tu. Pia alidai kanuni hazijitoshelezi kwani hazielezi kwa mtu anayetoa maudhui ya elimu afanyeje, jambo ambaloi si kweli kwani kanuni zinajitosheleza na zinatoa mwongozo wote.
"Kamati imebaini kuwa Polepole TV haina waandishi wenye taaluma ya uandishi wa habari hivyo kukikua misingi ya uandishi na imemuelekeza ahakikishe anazingatia uchaguzi wa maneno yenye sitaha, kuzingatia misingi, kanuni na maadili ya utoaji maudhui mtandaoni.
Maamuzi ya Kamati
Kama imejiridhisha kuwa Polepole TV imekiuka shria za mawasiliano kwa njia ya kieletroniki, hivyo kwa mujibu wa kifungu cha 44, kifungu kidogo cha kwanza, sehemu G cha sheria ya mamlaka ya mawasiliano ya Tanzania, sura ya 172, na marejeo yake ya mwaka 2017, na kanuni ya 21, kanuni ndogo ya tatu na sehemu A ya kanuni tajwa hapo juu, Kamati inatoa adhabu zifuatavyo.
Kituo kinapewa onyo kali. Kipindi cha Shule ya Uongozi cha Humphrey Polepole TV kusimamishwa kwa muda mpaka pale atakapofanya yafyatayo. Kuwa na wafanyakazi wenye taaluma ya uandishi wa habari na utangazi na kuleta tija na ufanisi katika vipindi vyake. Kuhakikisha vipindi vyake vyote vinazingatia sheria, misingi na kanunia za uandishi na utangazaji wa habari pamoja na masharti ya leseni yake.
"Baada ya kuzingatia maelekezo hayo Kituo cha Humpohrey Polepole kitatakiwa kutoa taarifa TCRA ambapo TCRA ikijirishisha kuwa maelekzo yote yamezingatiwa kipindi cha Humphrey Polepole kitajrejea na kitakuwa chini ya uangalizi wa TCRA kwa muda wa miezi sita.
Uamuzi huu umetolewa leo jijini datr es Salaam, uamuzi wa kukata rufaa kupitia FCT upo wazi ndani ya siku 21.
Mwenyekiti wa Katai ya Maudhui ya TCRA, Habbi Gunze.
Mimi huwa sikuli mashoga kama wewe. Kaa mbali.
Mbona unajulikana kuwa unaliwaUmekuja kutangaza kaz yako halali??? Nenda Lumumba
Exactly, polepole hukumu inayomfaa Ni kifo, maana alikuwa anahamasisha kupindua mamlaka ya Nchi(uhaini)Alichokuwa anafanya ni kama uhaini....inatakiwa akamatwe wakati jeshi la polisi likiendelea na taratibu za uchunguzi 😆
Wahuni walibaki wengi sana serikalini magufuli alitakiwa kuitawala tz kwa miaka 30 ili kuwamaliza na kizazi chaoKamati ya Maudhui ya TCRA imesema kipindi cha Shule ya Uongozi cha Mbunge Humphrey Polepole kinatolewa pasipo kuzingatia misingi, sheria na kanuni za huduma ya utangazaji. Kamati imeongeza kuwa maudhui ya kipindi ni ya upotoshaji na yanayoweza kusababisha taharuki kwa wananchi.
Sasa kiki ya penalt tayari, mpira wetu Polepole ana hanjahanja, goli nani analifunga!
======
KAMATI ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema kipindi cha Shule ya Uongozi cha Mbunge Humphrey Polepole kinatolewa pasipo kuzingatia misingi, sheria na kanuni za huduma ya utangazaji huku kamati hiyo ikisimamisha kipindi chake cha Shule ya uongozi na kumpa masharti ambayo anapaswa kuyatimiza ili kirudi hewani.
Akisoma hukumu hiyo, baada ya kusikiliza upande wa Kamati na Upande wa Utetezi, Mwenyekiti wa Kamati, Habbi Gunze amesema maudhui ya kipindi cha shule ya uongozi yalikuwa ni ya upotoshaji na yanayoweza kusababisha taharuki kwa wananchi.
"Kuhusu kuwapanga wamachinga, Humphrey Polepole Online TV iliwatuhumu viongozi wa Serikali kuhusu kutofuata maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Samia Suluhu ya kuwapanga vizuri wamachinga. Kituo hiki kimevunja kanuni na maadili ya uandishi na utangazaji kwa kutowapa nafasi viongozi hao kutoa ufafanuzi juu ya tuhuma alizotoa.
"Polepole alitoa maneno ya uongo na udharirishaji kwa viongozi akisema ni waoga na hawajitokeizi kutoa ufafanuzi kuhusu deni la Taifa bila kuwapa nafasi viongozi hao kufafanua madai yake wakati viongozi waandamizi wa serikali akiwemo Waziri wa fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba mwezi Juni alisema bungeni kuwa deni la taifa ni himilifu.
"Katika utetezi wake alisema amejikita katika utoaji wa elimu tu bila kuzingatia mizania na kwamba TV yake si kama vyombo vingine vya habari vinavyotoa maudhui ya habari, yeye anatoa elimu tu. Pia alidai kanuni hazijitoshelezi kwani hazielezi kwa mtu anayetoa maudhui ya elimu afanyeje, jambo ambaloi si kweli kwani kanuni zinajitosheleza na zinatoa mwongozo wote.
"Kamati imebaini kuwa Polepole TV haina waandishi wenye taaluma ya uandishi wa habari hivyo kukikua misingi ya uandishi na imemuelekeza ahakikishe anazingatia uchaguzi wa maneno yenye sitaha, kuzingatia misingi, kanuni na maadili ya utoaji maudhui mtandaoni.
Maamuzi ya Kamati
Kama imejiridhisha kuwa Polepole TV imekiuka shria za mawasiliano kwa njia ya kieletroniki, hivyo kwa mujibu wa kifungu cha 44, kifungu kidogo cha kwanza, sehemu G cha sheria ya mamlaka ya mawasiliano ya Tanzania, sura ya 172, na marejeo yake ya mwaka 2017, na kanuni ya 21, kanuni ndogo ya tatu na sehemu A ya kanuni tajwa hapo juu, Kamati inatoa adhabu zifuatavyo.
Kituo kinapewa onyo kali. Kipindi cha Shule ya Uongozi cha Humphrey Polepole TV kusimamishwa kwa muda mpaka pale atakapofanya yafyatayo. Kuwa na wafanyakazi wenye taaluma ya uandishi wa habari na utangazi na kuleta tija na ufanisi katika vipindi vyake. Kuhakikisha vipindi vyake vyote vinazingatia sheria, misingi na kanunia za uandishi na utangazaji wa habari pamoja na masharti ya leseni yake.
"Baada ya kuzingatia maelekezo hayo Kituo cha Humpohrey Polepole kitatakiwa kutoa taarifa TCRA ambapo TCRA ikijirishisha kuwa maelekzo yote yamezingatiwa kipindi cha Humphrey Polepole kitajrejea na kitakuwa chini ya uangalizi wa TCRA kwa muda wa miezi sita.
Uamuzi huu umetolewa leo jijini datr es Salaam, uamuzi wa kukata rufaa kupitia FCT upo wazi ndani ya siku 21.
Mwenyekiti wa Katai ya Maudhui ya TCRA, Habbi Gunze.
Mwana kulitafuta,mwana kulipata,Polepole amefanya wrong timing.Nahisi amepata fundisho maishani.⁶. Wahuni walianza na ghetto lake. Sasa kwenye vipindi. Watakuja kusema halipi kodi. Wataenda kusema gaidi. Baada ya hapo panya chali…
Tulio nyuma yake ni jeshi kubwa na kuu kabisa wahuni wanamtegemea mkuu wa majeshi msaliti kudumu kwao ila nguvu ya uzarendo hakuna wa kuizuia hata siku mojaCcm hawapendi ukweli ndio ajifunze kua jambo la leo kesho linaweza kua kwako.
Wamfute na uanachama wampe kesi ya kuhujumu uchumi
Halafu yeye mwenyewe muhuni no 1, akakatika zake.Wahuni walibaki wengi sana serikalini magufuli alitakiwa kuitawala tz kwa miaka 30 ili kuwamaliza na kizazi chao
Mpumbavu ni wewe na wahuni wenzako!Good wakiwa madarakani wanakuwa wapumbafu sn
Kwa kifupi, Polepole amepoteza uwezo wa kupambanua mambo ya msingi. Sikutegemea awe hamnazo kiasi hiki. Kwenye masuala ya kanuni, kuna mstari mwekundu (red line) ambao ukiuvuka huwezi kugeuka na kurudi nyuma yake tena. Ni kama kufa kwa nadhiri.Hapana hizi sheria kali za maudhui ya mtandaoni/sheria ya huduma za habari na takwimu zilipitishwa kipindi polepole ni katibu NEC!!
Je hakujua hizo sheria ni kandamizi kiasi aje kulia lia sahivi? Kipindi anazuia blog zenye mawazo kinzani zisi operate alikua hajui umuhimu wa uhuru wa maoni?
Cha kuchekesha hyu polepole anaweza gombea Urais 2025 kupitia ACT alafu ataanza kulia lia tume huru ilihali alipokua na cheo CCM hakukumbuka umuhimuwa tume huru!!
Fundisho ni kuwa ukipata cheo andaa mazingira mazuri ya kesho yako kwa kutovunja madaraja yote uliyovuka kufikia hapo ulipo; otherwise ukipoteza cheo utashindwa kusimama tena maana atakayerithi kiti chako atatumia sheria hizo hizo mpya kukunyoosha
Unafikiri yanafanyika kwa bahati mbaya?Big up TCRA, huu sasa ni mwanzo mzuri wa kuelekea kwenye professionalism ya utangazaji, sio kila Tom, Dick and Harry, anaweza kuwa mtangazaji hata wa online TV, utangazaji ufanywe na watu wenye taaluma pekee.
Najipanga kufungua shule ya Utangazaji wa Redio na TV, naamini tayari nitapata mwanafunzi wangu wa kwanza wa kuanzia, HP, karibu shule, karibu kwenye fani!.
NB. TCRA pia toeni muongozo kwa Msajili wa Vyama vya Siasa, ahakikishe, wakurugenzi wa habari na uenezi, wa vyama vyote vya siasa, lazima wawe wataaluma wa taaluma husika, na sio wabwabwajaji tuu. Haya mambo ya kupeana tuu vyeo kwasababu mtu anajua sana kubwabwaja, ndio yametufikisha hapa!.
P
Hala hala karibu nchi yote utaona imejaa CHADEMA tupu. Si polisi, TANESCO, NIDA, DAWASA, CRDB, Ikulu, n.k.Akili zao zinafanana nao