PostGE2025 TCRA kiko wapi? Ngebe zote za kuzima Mitandao leo Dunia yote imejua kilichotokea na nyie mnatajwa kama sehemu ya Watuhumiwa

PostGE2025 TCRA kiko wapi? Ngebe zote za kuzima Mitandao leo Dunia yote imejua kilichotokea na nyie mnatajwa kama sehemu ya Watuhumiwa

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Lord Denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
23,494
Reaction score
57,869
Kwenye Jinai kuna watu wanaoitwa accomplices yaaani Watu wanaoshiriki kutenda uhalifu au kufanikisha Uhalifu.

Vyombo vya habari vya Kimataifa hasa CNN vimeeleza wazi kuhusu vyombo vya Ulinzi na Usalama vya Tanzania kuuwa watu na kuficha ushahidi.

Uzuri kwenye kuficha ushahidi vimesema wazi mitandao ilizimwa ili kuficha mauaji yanayofanyika.

Haya TCRA mmeona faida ya kufuata maagizo yasiyo ya kisheria?

Leo mnatajwa kama sehemu ya Wahalifu mliofanya Uhalifu dhidi ya Binadamu.

Mkurugenzi wa TCRA jiandae. Na wewe ni mteja mtarajiwa wa Makosa dhidi ya Binadamu pale ICC au sehemu yeyote Kesi itakapofunguliwa.

Pia soma
- Breaking News: - CNN LIVE: Evidence Tanzania Police Killed Protestors
 
Back
Top Bottom