TCRA inachunguza mabadiliko ya mabando ya simu yaliyofanyika kimyakimya

"endapo mtumiaji amenunua kifurushi halafu akapata tofauti na alicholipia, awasiliane nasi"

Kesi yote imeishia hapa, lao moja.
Yaani mtandao wa simu utakuwa na kosa endapo tu kwenye menu watakuonesha kwa TZS 500 unapata MB 500, halafu ukanunua ukapata mb 120.

Ila kama kwenye menu wamekuonesha kwa tzs 500 unapata MB 120 na ukanunua ukapata kweli hizo MB 120, huo ni mzigo wako na hakuna kesi.
 
Imetoka hiyoooo,ikirudi panchayat


Ova
IMG-20220502-WA0009.jpg
 
"endapo mtumiaji amenunua kifurushi halafu akapata tofauti na alicholipia, awasiliane nasi"

Kesi yote imeishia hapa, lao moja.
Yaani mtandao wa simu utakuwa na kosa endapo tu kwenye menu watakuonesha kwa TZS 500 unapata MB 500, halafu ukanunua ukapata mb 120.

Ila kama kwenye menu wamekuonesha kwa tzs 500 unapata MB 120 na ukanunua ukapata kweli hizo MB 120, huo ni mzigo wako na hakuna kesi.
Wewe bado upo gizani, wizi mwingine mimi sijawahi kumaliza bando langu mpaka zero, zikibaki mb 50 tu sunema zinaanza mwenyewe hata uwe kauzu utarecharge tu, na ukikomaa zikibaki mb 30 utaishia Facebook na picha haziload, JF ndio sahau kabisa haifungui, huu ni uharamia.
 
Baada ya malalamiko mitandaoni kuwa kampuni za mawasiliano ya simu Nchini Tanzania zimefanya mabadiliko ya kushusha vifurushi vya huduma za intaneti (mb's) pasipo kutoa taarifa kwa wateja wao, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema inafuatilia
Inafuatilia for how long ina maana wao hawatumii hizo huduma? Au hawana mifumo inayosoma kinachoendelea huko?
 
Ngoja niwakumbushe mwaka Jana kabla ya JPM kutuacha ilikuwa hivi

1000gb1
2000gb3
3000gb4
5000gb7
10000gb15
Halafu hiyo ilikuwa ni tigo na halotel
Tigo,, Halotel,,Airtel,walikuwa na kifurush Cha usiku 1500 gb15
Lakini baada ya mazishi mambo yakadilika hapo hapo baada ya kupata Actor wa sinema hii nchi Bora iuzwe tu
 
Ngoja niwakumbushe mwaka Jana kabla ya JPM kutuacha ilikuwa hivi

1000gb1
2000gb3
3000gb4
5000gb7
10000gb15
Halafu hiyo ilikuwa ni tigo na halotel
Tigo,, Halotel,,Airtel,walikuwa na kifurush Cha usiku 1500 gb15
Lakini baada ya mazishi mambo yakadilika hapo hapo baada ya kupata Actor wa sinema hii nchi Bora iuzwe tu
 
Sasa hivi hapa nimenunua kifulushi Cha 2000 ilikuwa tunapata gb 1.500 now imekuwa gb 1.300
 
Very unprofessional regulatory action kutoka TCRA! Kwahiyo TCRA haina mfumo uliounganishwa na kampuni za simu kutrace bills za matumizi anazochajiwa mteja hata wasubiri sms za wateja? Infact, hili si suala la kuchunguzwa, huenda kuchunguza ni plan ya kufunika kombe.
 
Nimeshangaa huyu waziri kug'aka kuwa Dar Mpya wameripoti uzushi juu ya mabando ya intaneti kupungua. Mfano Tigo walikuwa na kifurushi cha Sh 1500 na ulikuwa ukipata Gb 1 kwa wiki. Lakini sasa ni Mb 900 kwa bei ileile.

Voda wao walikuwa na Gg 1 kwa elfu mbili kwa wiki lakini sasa ni Mb 800.

Sasa Darmpya wana kosa gani kuripoti hii kadhia mpaka unag'aka?

View attachment 2208778
Huwa nanunua kifurushi cha 20,000 kwa Gb 15 sasa imekuwa 13. Hali mbaya
Screenshot_2022-05-03-04-31-07-50.jpg
 
Baada ya malalamiko mitandaoni kuwa kampuni za mawasiliano ya simu Nchini Tanzania zimefanya mabadiliko ya kushusha vifurushi vya huduma za intaneti (mb's) pasipo kutoa taarifa kwa wateja wao, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema inafuatilia.

TCRA imesema: “Tumeona malalamiko kutoka kwa wadau mtandaoni kuwa watoa huduma wa mitandao ya simu wamebadilisha vifurushi kimyakimya, endapo kuna mtumiaji amenunua kifurushi, halafu akapata tofauti na kile alicholipia, awasiliane nasi.

“Mamlaka inafuatilia suala hili kwa watoa huduma ili kuweza kubaini ukweli.”

Yaani kilichofanyika ni kuwa kwa fedha ileile unapata MB chache tofauti na ilivyokuwa awali, mfano unanunua kifurushi cha Tsh 2000 ulikuwa unapata GB 1, sasa hivi ukinunua kwa gharama ileile unapata MB 900 Aau MB 800.
Awasiliane nanyi kwa namba isiyojulikana wakati mnao uwezo wa kuona mauzo yaliyofanyika! Huo ni usanii wa kuwafanya walalamikaji ni mabwege.
 
Uku mtaani chapati ya shilingi elfu 1 ilikuwa kubwa sasa hivi imepunguzwa ukubwa imekuwa nyepesi kwa bei hiyo hiyo ya elfu 1
 
Vodacom 50,000 ilikua 50GB, ikashushwa kua 37GB na leo ni 32GB.

Hii inatokea ndani ya muda mfupi wa serikali ya Royal Tour.

Hadi kufikia 2025 tutakua tumeipata fresh.
Hao voda ni washenzi sana ....hizo zitqshuka mpka 10gb tunakoenda...maana mwanzo zilikuwa 50gb
 
Back
Top Bottom