Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,189
KweliMimi ninavyojua hawawezi kukutumia meseji kama hujawahi cheza hata siku moja ukicheza wanajua wewe ni mteja kwahiyo wanakuhamasisha .
KweliMimi ninavyojua hawawezi kukutumia meseji kama hujawahi cheza hata siku moja ukicheza wanajua wewe ni mteja kwahiyo wanakuhamasisha .
Hizo zote mkuu ni hasira za kupunwa,wangeshinda usingeona malalamiko humu ndani..Mimi ninavyojua hawawezi kukutumia meseji kama hujawahi cheza hata siku moja ukicheza wanajua wewe ni mteja kwahiyo wanakuhamasisha .
Hahaa.. hii michezo inaitwa ya kubahatisha! wote wanaocheza wanajaribu ku bahatisha.. Maisha ya ku bahatisha siyo mazuri, jaribuni kuishi kwa hakika. Tuongezeni kujiamini tusipende kubahatisha.Hizo zote mkuu ni hasira za kupunwa,wangeshinda usingeona malalamiko humu ndani..
Aise hii kitu wanatuma tu hata kama hujawahi kucheza. Mfano mimi mwenyewe.Ukitumiwa msg ujue ushawahi cheza hiyo michezo sijawahi tumiwa text za tatu mzuka kabisa sababu sijawahi cheza ila biko nacheza sana na text zao naletewa
Natumia line ya airtel na tigo sijawai cheza wala sijawai tumiwa hizo sms.wanatuma kwa wacheza kamari (bahati nasibu) tu na waliowai kucheza hata kama uchezi tena.Aise hii kitu wanatuma tu hata kama hujawahi kucheza. Mfano mimi mwenyewe.
Kama tunashare simu sawa.Natumia line ya airtel na tigo sijawai cheza wala sijawai tumiwa hizo sms.wanatuma kwa wacheza kamari (bahati nasibu) tu na waliowai kucheza hata kama uchezi tena.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tanguliza Chochote Rushwa Ajabu
Mbona mimi situmiwi au ulikua unabet?Wanazingua Sana mkuu! Yani kwa siku unaweza kuta sms kumi na zaidi za Biko na tatu mzuka mpaka kero
Sijawai Bet mkuu!Mbona mimi situmiwi au ulikua unabet?
+kupatanaWanazingua Sana mkuu! Yani kwa siku unaweza kuta sms kumi na zaidi za Biko na tatu mzuka mpaka kero
Ni hivi kiongozi. Hutakiwi kuadhibiwa kwa kigezo cha kuwa eti uliwahi kubeti jana au mwaka juzi. Ilitakiwa waweke sehemu ya mtu kujiondoa kwenye huduma hiyo ili kama sasa hivi hataki basi asipokee tena hizo meseji.Mbona mimi situmiwi au ulikua unabet?