2hery
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,700
- 4,616
Imekuwa ni kawaida ya makampuni ya simu kuanzisha promosheni au bahati nasibu na kuwatumia wateja wao sms za kuwataka waendelee kucheza michezo hiyo.
Kwa leo tuongelee kampuni ya Vodacom kupitia mchezo wao unaoitwa Tusua Mapene, ukitumia namba 15544. Huu mchezo umekuwa ukiwaibia wateja kwa kuwatumia SMS kila asubuni na jioni kwa SMS mbili zinazofuatana huku ukiambatana na makato ya tsh.300 pasipo ridhaa ya mtumiaji.
TCRA tunawaomba mfanye juu chini kuchunguza hii kadhia kwani huu ni unyonyaji mkubwa kwa wananchi.
Ikiwezekana msiishie hapo kwa Vodacom tu angalieni pia kampuni nyingine zinazojihusisha na promosheni kupitia simu maana wanatuma sms za promosheni hovyo na kuleta kero kwa wananchi.
Kwa leo tuongelee kampuni ya Vodacom kupitia mchezo wao unaoitwa Tusua Mapene, ukitumia namba 15544. Huu mchezo umekuwa ukiwaibia wateja kwa kuwatumia SMS kila asubuni na jioni kwa SMS mbili zinazofuatana huku ukiambatana na makato ya tsh.300 pasipo ridhaa ya mtumiaji.
TCRA tunawaomba mfanye juu chini kuchunguza hii kadhia kwani huu ni unyonyaji mkubwa kwa wananchi.
Ikiwezekana msiishie hapo kwa Vodacom tu angalieni pia kampuni nyingine zinazojihusisha na promosheni kupitia simu maana wanatuma sms za promosheni hovyo na kuleta kero kwa wananchi.