These guys have been flooding my Inbox with these nonsence, its kinda emberassing too much[emoji625] Tumerudi hewani Karibu Jamvini,bet na Biko Sports ujishindie mshiko na safari ya kushuhudia el classico,jamvi la leo lina deportivo vs las palmas na Girona vs Levante,ingia www.bikosports.co.tz
[emoji753] Chelsea vs Everton, Tottenham Vs West Ham United, Getafe Vs Alavase. Odds Tamu Kulikoni www.bikosports.co.tz
Cheza Tusepe Spain
TusepeSpain kuangalia Live El-Classico Desemba 20. Kila ubashiri unakupa nafasi 1 ya droo. LEO Sociedad-Espan(3usiku),Depor-Girona(4 usiku) www.bikosports.co.tz
KERO KERO KERO
Hahahaha wizi wa Waziwazi tu.... Keshapangwa zaman tuMm huwa nashangaa pale mshindi wa biko anapopigiwa sim kuwa ameshinda milioni hamsini,hashtuki na furaha kama kalazimishwa.
Promo wanayopiga ni hatari.
Wanapewa na kampuni husika ya simuAiseeee
Nimechoka kila baada ya muda mfupi napata jumbe toka biko sport ikinikumbusha habari za betting
Huu ni usumbufu kwa watumiaji wa voda, najua hii itakuwa ni kero kwa wengi bila shaka, naomba njia naiepuka vipi
Halafu sijui wanatoa wapi idhini ya kuchukua namba zetu na kuanza kututumia ujumbe wa usumbufu muda wote
Watz tunatumiwa wengine wamepiga pesaWanapewa na kampuni husika ya simu
Akili ndogo...Kama hutaki usumbufu wa hizo meseji zima simu.
Ni kweli. Kama ni tatizo kwa wengi itahitaji liangaliwe kwa mapana zaidi.Mnaonaje tujiunge tuwashtaki BIKO na TATU MZUKA kwakutuma mesage zenye usumbufu mkubwa sana, hatujawaomba watutumie mesage ya promo, mwanasheria ajitokeze atupe mbinu za kwenda kuwashtaki ni kero sasa