Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,406
Mnaocheza hizo kamali wote wooote mnanananiliwa.....kuibiwa
Hizi sms mara nyingi uwa wanatumiwa walewalioshiliki huu mchezo. Ni mara chache sana kutumiwa sms mtu ambae hajacheza
Hiyo izi ni sms zinatumwa ili kukujulisha nini kinaendelea nchini. Kuna watu wanatumia simu za battani azina whatsApp wala jf lakini wanatumiwa sms umepokea mb 100 za WhatsApp. Je? Na hao nao wakilalamika itakuaje?Kila mtanganyika siyo mcheza biko nadhani na si kweli kama inatumwa kwa wachezaji pekee na hilo wanajua. Hata kama walituma kwa waliocheza basi kuwe na jinsi ya kujitoa ikiwa ni hivyo ambavyo si la.
TCRA wana-dhamana na mamlaka ya kuchunguza na kukomesha. Zama za kuwapatia watu habari wasizohitaji umepita na la sivyo tutawachukulia hatua za kisheria hao wote wanaotuma hovyo message kwenye simu namba bila ridhaa kutoka pande zote.
Hii ni onyo kufanya ipasavyo kwa watu na biashara zao.
Asante kwa mchango wako.
Okay je na hizi nnazotumiwa mm za Peruzi na sijawahi kushiriki kwenye hayo mavitu yao?Hizi sms mara nyingi uwa wanatumiwa walewalioshiliki huu mchezo. Ni mara chache sana kutumiwa sms mtu ambae hajacheza
Watakua wanakulisha sasa uanze kuperuziOkay je na hizi nnazotumiwa mm za Peruzi na sijawahi kushiriki kwenye hayo mavitu yao?
Pambaf zake tena, kwa ushaur wake huo kaona kamalizaa kabisa tatizo lako mkuuHilo tatizo limekuwa kero sana kwangu, zinaingia hata SMS 20 kwa siku, niliwasiliana na watoa huduma wakaniambia kama download application za kublock SMS zinaweza kukusaidia pumbaf kabisa yule jamaa aliyekuwa zamu siku ile
Sijawahi wala sina mpango wa kushiriki michezoHizi sms mara nyingi uwa wanatumiwa walewalioshiliki huu mchezo. Ni mara chache sana kutumiwa sms mtu ambae hajacheza