Uchaguzi 2020 TCAA yawajibu CHADEMA, yasikitishwa na upotoshaji wao

Mwaka 2015 Deo Filikunjombe alianguka na helicopter na kufariki na rubani wake mzee Slaa alikuwa anarusha helicopter hiyo akiwa na miaka 68 na hakua na kibali cha kuruka kwa umri huo. Hapa mamlaka inafaa kupongezwa kwa kulinda usalama wa mgombea wa CHADEMA. Tafuteni ndege ingine badala ya kusingizia Serikali.
"State Aviation" Ina KIBALI cha KUHUDUMIA KAMPENI mpaka 31/10/2020 ili kuepuka usumbufu (Kwa mujibu wa barua ya TCCA)

Hivyo UTETEZI wa kwamba ndege haikuwa na RATIBA YA KURUKA SIYO SAHIHI. (NI UONGO)

Kibali kilichotolewa cha mpaka 31/10/2020 kwa ndege hiyo ni KWA KUMTUMIA RUBANI GANI?

Kama UMRI wakurusha ndege ni miaka 65,

kwa mara ya mwisho RUBANI HUYO alirusha hiyo ndege tarehe ngapi?

Mpaka anajiandaa kwenda kurusha ndege, hiyo SHERIA ya miaka 65 hakuijuwa?

Je, analo zuio la kurusha ndege kwa sababu ya UMRI(KUSTAAFU KWA LAZIMA)?

HATA HUVYO NI VUZURI KWA KUWA SHERIA IMEZINGATIWA
 
Uzembe Ni wa shirika au nbwa CHADEMA na mawala wao wa usafiri🤔? Maana wao ndo wameshindwa kutatua Hilo tatizo la rubani asiekidhi vigezo.
Shirika limeshindwa kuwa na rubani mwenye kukidhi vigezo.

CDM wameingiza siasa mahali pasipohitaji siasa kipindi hiki cha kampeni, walitaka huruma za watu lakini huwezi kupewa nchi kwa kutegemea huruma.
 
Maandiko yanasema ficha upumbavu wako usiifiche hekima yako, hiyo sheria ipo na inatumika miaka yote kwa nini hamkuhoji? nani kawadanganya kwamba nyie ni special sana? sio nyie kila uchao mnalalamikia uvunjwaji wa sheria na vyombo, taasisi au watu kadhaa? wakifuata na kusimamia sheria pia ni kosa? hamjui hata mnataka nini, jiandaeni na 5% ya kura zote 28 October.

JPM anachana mikoa miwili kwa siku na anahutubia karibu kila kata, acheni uvivu, tembeeni barabarani muone kero za wananchi ili msijeropoka tena kwamba Magufuli anajenga miundombinu tu.
Wapi Mzee meko amechana mikoa miwili?
 
Kavunja sheria nyingi sana na hakuna hatua aliyo chukuliwa
Sembuse sheria za uchaguzi
Maana yake haya tunayoyadili ni kama kutwanga maji kwenye kinu, hayawezi kubadili chochote.

Kaanza kutumia kisukuma kabla ya kampeni na hana kosa lolote kuongea na jamaa zake kwa lugha wanayoielewa.
 
Nyie ndio wababaishaji,wao TCCA wanafuata sheria na sio mihemko ya kisiasa
Mbona ccm wanavunja sheria wanaangaliwa tu maana wamesimamisha mgombea ubunge wa njombe ambae alikutwa na kosa la ukwepaji kodi na akakiri akalipa na sasa mgombea
 
Nimewaelewa Mamlaka ya anga . Sasa huyo rubani mzee kibali huwa anapata wapi au nyie hamuhusiki na vibali vya marubani ? Hamjui kuwa hao watoa huduma za helcopter wana rubani mzee ?

Halafu namshauri tu TL atumie magari tu maana bado tunachanga michango ya kampeni huku kitaa ameanza kukodi helcopter it is not fair 😂😂😂😂😂😂😂
Halafu wanao changishwa fedha ya kampeni wanayo haki ya kupewa mgawanyo wote wa michango yao.
 
Aibu chadema, kazi uongo tu kila siku.
Screenshot_20200911-070829_Twitter Lite.jpg
 
tuliongoea hum kwamba maridhiano , tulimanisha sana but ngoja twende , ukiambiwa ama zko ama zangu na wakati wajua uzito ulio nao jipange sana , msingida anajua anacho kifanya
Msingida haja yake ni kuingiza nchi ktk mtifuano wa wenyewe kwa wenyewe , so far the authorities wameisha jua wanamwacha ajimalize mwenyewe kwani 28/10/2020 sio mbali.

Sasa kwa tabia yake hii anawatia doa Mwenyekiti wa Saccos, saccos yenyewe, na wagombea wa saccos , walezi au wadhamini wa saccos na waasisi wa saccos.

Na hata pia Maalim anaweza kuonekana na yeye hamnazo kama Anti, Sasa sijui kama pia wananchi wengi wanaelewa hivyo , maana uelewa wa watu upo tofauti.

Lakini hizi movie zao ambazo zipi wazi bin shairi kama issue is helicopter zinawafungua macho.
 
Chadema njooni mkanushe kwamba sio kweli taarifa ya mamlaka. Tofauti na hapo nyie ni wazushi, pia wahuni tu.

Mumeomba wenyewe mkakataliwa kwa nini hamkutoa taarifa mapema kwa umma. Mkaona ni rahisi kuibebesha lawama mamlaka
Jitafakalini, sana nyinyi level zenu na properganda ni ubunge tu. Urais bado sana.
 
Back
Top Bottom