Kavunja sheria nyingi sana na hakuna hatua aliyo chukuliwaPeleka pingamizi tume ya uchaguzi ili Magufuli aondolewe miongoni mwa wagombea.
Sembuse sheria za uchaguzi
Kavunja sheria nyingi sana na hakuna hatua aliyo chukuliwaPeleka pingamizi tume ya uchaguzi ili Magufuli aondolewe miongoni mwa wagombea.
Ni ngumuBasi ipo haja ya mgombea wa CCM kuvuliwa ugombea wake na tume ya uchaguzi.
Hiyo ni international, je local inasemaje?The International Civil Aviation Authority (ICAO) sets the maximum retirement age at 65, which the FAA has adopted. However, some local civil aviation authorities have extended that age to address a shortage of pilots in their markets.
What to Know About the Mandatory Pilot Retirement Age
Asante sana DJMaandiko yanasema ficha upumbavu wako usiifiche hekima yako, hiyo sheria ipo na inatumika miaka yote kwa nini hamkuhoji?...
"State Aviation" Ina KIBALI cha KUHUDUMIA KAMPENI mpaka 31/10/2020 ili kuepuka usumbufu (Kwa mujibu wa barua ya TCCA)Mwaka 2015 Deo Filikunjombe alianguka na helicopter na kufariki na rubani wake mzee Slaa alikuwa anarusha helicopter hiyo akiwa na miaka 68 na hakua na kibali cha kuruka kwa umri huo. Hapa mamlaka inafaa kupongezwa kwa kulinda usalama wa mgombea wa CHADEMA. Tafuteni ndege ingine badala ya kusingizia Serikali.
Nyie ndio wababaishaji,wao TCCA wanafuata sheria na sio mihemko ya kisiasaHao TCCIA waache ubabaishaji
Shirika limeshindwa kuwa na rubani mwenye kukidhi vigezo.Uzembe Ni wa shirika au nbwa CHADEMA na mawala wao wa usafiri🤔? Maana wao ndo wameshindwa kutatua Hilo tatizo la rubani asiekidhi vigezo.
Wapi Mzee meko amechana mikoa miwili?Maandiko yanasema ficha upumbavu wako usiifiche hekima yako, hiyo sheria ipo na inatumika miaka yote kwa nini hamkuhoji? nani kawadanganya kwamba nyie ni special sana? sio nyie kila uchao mnalalamikia uvunjwaji wa sheria na vyombo, taasisi au watu kadhaa? wakifuata na kusimamia sheria pia ni kosa? hamjui hata mnataka nini, jiandaeni na 5% ya kura zote 28 October.
JPM anachana mikoa miwili kwa siku na anahutubia karibu kila kata, acheni uvivu, tembeeni barabarani muone kero za wananchi ili msijeropoka tena kwamba Magufuli anajenga miundombinu tu.
Maana yake haya tunayoyadili ni kama kutwanga maji kwenye kinu, hayawezi kubadili chochote.Kavunja sheria nyingi sana na hakuna hatua aliyo chukuliwa
Sembuse sheria za uchaguzi
Tumepoteza muda kujadili jambo lisiloweza kubadilika. Bora tungejikita kwenye mada nyingine za maana.Ni ngumu
Mwenyekiti - anateuliwa na Rais
Mkurugenzi wa tume- anateuliwa rais
Mbona ccm wanavunja sheria wanaangaliwa tu maana wamesimamisha mgombea ubunge wa njombe ambae alikutwa na kosa la ukwepaji kodi na akakiri akalipa na sasa mgombeaNyie ndio wababaishaji,wao TCCA wanafuata sheria na sio mihemko ya kisiasa
Halafu wanao changishwa fedha ya kampeni wanayo haki ya kupewa mgawanyo wote wa michango yao.Nimewaelewa Mamlaka ya anga . Sasa huyo rubani mzee kibali huwa anapata wapi au nyie hamuhusiki na vibali vya marubani ? Hamjui kuwa hao watoa huduma za helcopter wana rubani mzee ?
Halafu namshauri tu TL atumie magari tu maana bado tunachanga michango ya kampeni huku kitaa ameanza kukodi helcopter it is not fair 😂😂😂😂😂😂😂
ndio kwamba mnamuongezea credit
Huu mjadala wa kijinga sana mtu mwenye na akili hawezi kuchangia
👏👏👏Shirika limeshindwa kuwa na rubani mwenye kukidhi vigezo.
Chadema wameingiza siasa mahali pasipohitaji siasa kipindi hiki cha kampeni, walitaka huruma za watu lakini huwezi kupewa nchi kwa kutegemea huruma.
Msingida haja yake ni kuingiza nchi ktk mtifuano wa wenyewe kwa wenyewe , so far the authorities wameisha jua wanamwacha ajimalize mwenyewe kwani 28/10/2020 sio mbali.tuliongoea hum kwamba maridhiano , tulimanisha sana but ngoja twende , ukiambiwa ama zko ama zangu na wakati wajua uzito ulio nao jipange sana , msingida anajua anacho kifanya