Tetesi: Wanaofadhili upotoshaji wa Bandari washikana uchawi

Billal Saadat

Senior Member
Nov 30, 2022
169
356
Tuliwaambia ushirika wa wachawi haudumu viongozi waandamizi wa CHADEMA na kikundi cha sauti ya watanzania wameanza kutupiana shutuma za kutafuna fedha za zilizotolewa kwa nia Ovu ya kufanya upotoshaji.

Kama tulivyowaeleza hapo awali suala la bandari kuna watu wengi they just benefiting from the current status ya bandari yetu wamekuwa wakitoa Pesa kwa Dkt. Slaa, Mbowe, Maria Sarungi na wengine wanaopotosha ili waendelee kunufaika na hali ya bandari kutokufanya vizuri.

Baadhi ya watu wamekuwa wakitoa mafungu ya Pesa wakichangia upotoshaji wa mkataba kati ya Tanzania na Dubai wameanza kuzungukana na siri zimeanza kutoka hadharani kuwa viongozi wa CHADEMA na Wanaharakati hupewa hela kwa ajili ya kufanya upotoshaji huo na kazi kufanyika kinyume na matarajio ya wafadhili hao.

Yapo makundi matatu ambayo ni wanufaika na hali ya Bandari wakiongozwa na TICTS pamoja na makampuni yanayotaka kupewa tenda ya kuendesha bandari pamoja na taasisi fulani ya dini na fedha hizo zimekuwa zikipitia kwa Dkt. Slaa, Mbowe na Maria Sarungi.

Makundi haya yamejaribu kutoa Pesa kwa CHADEMA ili kufanya iwe national issue kwa kuitumia CHADEMA kama Jukwaa lao na kuwalipa hela ya kufanya upotoshaji huo. Lakini mambo yameonekana kukwama jambo la kwanza ni maandamano kupinga ubinafsishwaji wa bandari yaliyoandaliwa na BAVICHA na lingine mkutano wa Buliyaga-Temeke ulioandaliwa na Chadema.

Katika mpango uliovuja wa sauti za shutuma za fedha wanazozitoa kwa ajili ya upotoshaji zinatumika kwa maslahi binafsi, zipo hela zilizochangwa kwenda umoja wa Wanawake Chadema zimeliwa na Catherine Ruge na kuna ugomvi mkali unaendelea na kumtaka Catherine kurejesha fedha hizo haraka.


Hela zilizotolewa kwenye maandamano na kupewa Maria Sarungi zimeliwa huku Vijana wakitekelezwa kwa kupewa support ya mitandaoni tu kiasi cha dola elfu 45,000 kilitumwa kwa Maria Sarungi. Inasemekana vijana wamepata shilingi laki 500,000 tu ambayo ilitumika kuprint mabango na Tshirt wanazotuma Vijana wa CHADEMA.

Baadhi ya Vijana wamekuwa wakimlamikia Maria Sarungi kutokupokea simu zao wakati aliwahaidi angewalipa shilingi milioni tano ya kuratibu maandamano hayo. John Pambalu mwenyekiti wa wa BAVICHA Taifa alisikika Juzi akiwa Ukerewe kuwa wanawatumia kwa maslahi yao binafsi na wao hawafaidiki na ipo siku atafanya maamuzi magumu muda wowote kuanzia sasa.

Kiwango kingine ambacho wametaka kujua matumizi yake ni Pesa zilizochangwa kwenda kwa Dkt Slaa zaidi ya Dola laki 150,000 ambazo zilikuwa kwa ajili ya Logistics za mkutano wa Buliyaga Temeke na mkutano kushindwa vibaya katika matarajio waliyoyataka..? Na Dkt. Slaa ameomba fedha nyingine ya kuunganisha nguvu na Chadema kikao kimefanyika.

Kiasi kingine ambacho hakijafahamika kimetolewa kwa ajili ya kutumika kanda ya Victoria kwa Mikoa ya Kagera na Mwanza hakijawekwa wazi dondoo tulizozipata ni kuwa Viongozi wa CHADEMA wameanza kuwa blackmail wafadhili kwa kutisha kuvujisha siri kwenye vyombo vya dola kuwa wanahusika kwenye uhaini and this is too much alisikika mmoja wafadhili hao anayetokea mkoa wa Kagera.

Hali ya mkutano wa Kagera inawezekana yakatokea kama ya mkutano wa Temeke, Juzi ulifanyika mkutano mkuu hapa kagera wa Chadema ambao haukuisha vizuri baada ya wanachama kugawanyika pande mbili vilevile mfadhili mkuu ambaye kutoka TICTS anataka kuficha yeye siyo mfadhili hivyo ametoa support lakini juu chini anapinga ufanyikie hapo.
96b1cb7b-6117-48fc-80e4-ef0f5ee7f754.jpg

IMG_8151.jpg

IMG_8211.jpg
 
Tuliwaambia ushirika wa wachawi haudumu viongozi waandamizi wa CHADEMA na kikundi cha sauti ya watanzania wameanza kutupiana shutuma za kutafuna fedha za zilizotolewa kwa nia Ovu ya kufanya upotoshaji.

Kama tulivyowaeleza hapo awali suala la bandari kuna watu wengi they just benefiting from the current status ya bandari yetu wamekuwa wakitoa Pesa kwa Dkt. Slaa, Mbowe, Maria Sarungi na wengine wanaopotosha ili waendelee kunufaika na hali ya bandari kutokufanya vizuri.

Baadhi ya watu wamekuwa wakitoa mafungu ya Pesa wakichangia upotoshaji wa mkataba kati ya Tanzania na Dubai wameanza kuzungukana na siri zimeanza kutoka hadharani kuwa viongozi wa CHADEMA na Wanaharakati hupewa hela kwa ajili ya kufanya upotoshaji huo na kazi kufanyika kinyume na matarajio ya wafadhili hao.

Yapo makundi matatu ambayo ni wanufaika na hali ya Bandari wakiongozwa na TICTS pamoja na makampuni yanayotaka kupewa tenda ya kuendesha bandari pamoja na taasisi fulani ya dini na fedha hizo zimekuwa zikipitia kwa Dkt. Slaa, Mbowe na Maria Sarungi.

Makundi haya yamejaribu kutoa Pesa kwa CHADEMA ili kufanya iwe national issue kwa kuitumia CHADEMA kama Jukwaa lao na kuwalipa hela ya kufanya upotoshaji huo. Lakini mambo yameonekana kukwama jambo la kwanza ni maandamano kupinga ubinafsishwaji wa bandari yaliyoandaliwa na BAVICHA na lingine mkutano wa Buliyaga-Temeke ulioandaliwa na Chadema.

Katika mpango uliovuja wa sauti za shutuma za fedha wanazozitoa kwa ajili ya upotoshaji zinatumika kwa maslahi binafsi, zipo hela zilizochangwa kwenda umoja wa Wanawake Chadema zimeliwa na Catherine Ruge na kuna ugomvi mkali unaendelea na kumtaka Catherine kurejesha fedha hizo haraka.


Hela zilizotolewa kwenye maandamano na kupewa Maria Sarungi zimeliwa huku Vijana wakitekelezwa kwa kupewa support ya mitandaoni tu kiasi cha dola elfu 45,000 kilitumwa kwa Maria Sarungi. Inasemekana vijana wamepata shilingi laki 500,000 tu ambayo ilitumika kuprint mabango na Tshirt wanazotuma Vijana wa CHADEMA.

Baadhi ya Vijana wamekuwa wakimlamikia Maria Sarungi kutokupokea simu zao wakati aliwahaidi angewalipa shilingi milioni tano ya kuratibu maandamano hayo. John Pambalu mwenyekiti wa wa BAVICHA Taifa alisikika Juzi akiwa Ukerewe kuwa wanawatumia kwa maslahi yao binafsi na wao hawafaidiki na ipo siku atafanya maamuzi magumu muda wowote kuanzia sasa.

Kiwango kingine ambacho wametaka kujua matumizi yake ni Pesa zilizochangwa kwenda kwa Dkt Slaa zaidi ya Dola laki 150,000 ambazo zilikuwa kwa ajili ya Logistics za mkutano wa Buliyaga Temeke na mkutano kushindwa vibaya katika matarajio waliyoyataka..? Na Dkt. Slaa ameomba fedha nyingine ya kuunganisha nguvu na Chadema kikao kimefanyika.

Kiasi kingine ambacho hakijafahamika kimetolewa kwa ajili ya kutumika kanda ya Victoria kwa Mikoa ya Kagera na Mwanza hakijawekwa wazi dondoo tulizozipata ni kuwa Viongozi wa CHADEMA wameanza kuwa blackmail wafadhili kwa kutisha kuvujisha siri kwenye vyombo vya dola kuwa wanahusika kwenye uhaini and this is too much alisikika mmoja wafadhili hao anayetokea mkoa wa Kagera.

Hali ya mkutano wa Kagera inawezekana yakatokea kama ya mkutano wa Temeke, Juzi ulifanyika mkutano mkuu hapa kagera wa Chadema ambao haukuisha vizuri baada ya wanachama kugawanyika pande mbili vilevile mfadhili mkuu ambaye kutoka TICTS anataka kuficha yeye siyo mfadhili hivyo ametoa support lakini juu chini anapinga ufanyikie hapo.
View attachment 2701117
View attachment 2701119
View attachment 2701121
Umeamka asubuhi kutoka kitandani kwa mumeo unaanza kubwabwaja bila ushahidi!! Tz raha sana
 
Tuliwaambia ushirika wa wachawi haudumu viongozi waandamizi wa CHADEMA na kikundi cha sauti ya watanzania wameanza kutupiana shutuma za kutafuna fedha za zilizotolewa kwa nia Ovu ya kufanya upotoshaji.

Kama tulivyowaeleza hapo awali suala la bandari kuna watu wengi they just benefiting from the current status ya bandari yetu wamekuwa wakitoa Pesa kwa Dkt. Slaa, Mbowe, Maria Sarungi na wengine wanaopotosha ili waendelee kunufaika na hali ya bandari kutokufanya vizuri.

Baadhi ya watu wamekuwa wakitoa mafungu ya Pesa wakichangia upotoshaji wa mkataba kati ya Tanzania na Dubai wameanza kuzungukana na siri zimeanza kutoka hadharani kuwa viongozi wa CHADEMA na Wanaharakati hupewa hela kwa ajili ya kufanya upotoshaji huo na kazi kufanyika kinyume na matarajio ya wafadhili hao.

Yapo makundi matatu ambayo ni wanufaika na hali ya Bandari wakiongozwa na TICTS pamoja na makampuni yanayotaka kupewa tenda ya kuendesha bandari pamoja na taasisi fulani ya dini na fedha hizo zimekuwa zikipitia kwa Dkt. Slaa, Mbowe na Maria Sarungi.

Makundi haya yamejaribu kutoa Pesa kwa CHADEMA ili kufanya iwe national issue kwa kuitumia CHADEMA kama Jukwaa lao na kuwalipa hela ya kufanya upotoshaji huo. Lakini mambo yameonekana kukwama jambo la kwanza ni maandamano kupinga ubinafsishwaji wa bandari yaliyoandaliwa na BAVICHA na lingine mkutano wa Buliyaga-Temeke ulioandaliwa na Chadema.

Katika mpango uliovuja wa sauti za shutuma za fedha wanazozitoa kwa ajili ya upotoshaji zinatumika kwa maslahi binafsi, zipo hela zilizochangwa kwenda umoja wa Wanawake Chadema zimeliwa na Catherine Ruge na kuna ugomvi mkali unaendelea na kumtaka Catherine kurejesha fedha hizo haraka.


Hela zilizotolewa kwenye maandamano na kupewa Maria Sarungi zimeliwa huku Vijana wakitekelezwa kwa kupewa support ya mitandaoni tu kiasi cha dola elfu 45,000 kilitumwa kwa Maria Sarungi. Inasemekana vijana wamepata shilingi laki 500,000 tu ambayo ilitumika kuprint mabango na Tshirt wanazotuma Vijana wa CHADEMA.

Baadhi ya Vijana wamekuwa wakimlamikia Maria Sarungi kutokupokea simu zao wakati aliwahaidi angewalipa shilingi milioni tano ya kuratibu maandamano hayo. John Pambalu mwenyekiti wa wa BAVICHA Taifa alisikika Juzi akiwa Ukerewe kuwa wanawatumia kwa maslahi yao binafsi na wao hawafaidiki na ipo siku atafanya maamuzi magumu muda wowote kuanzia sasa.

Kiwango kingine ambacho wametaka kujua matumizi yake ni Pesa zilizochangwa kwenda kwa Dkt Slaa zaidi ya Dola laki 150,000 ambazo zilikuwa kwa ajili ya Logistics za mkutano wa Buliyaga Temeke na mkutano kushindwa vibaya katika matarajio waliyoyataka..? Na Dkt. Slaa ameomba fedha nyingine ya kuunganisha nguvu na Chadema kikao kimefanyika.

Kiasi kingine ambacho hakijafahamika kimetolewa kwa ajili ya kutumika kanda ya Victoria kwa Mikoa ya Kagera na Mwanza hakijawekwa wazi dondoo tulizozipata ni kuwa Viongozi wa CHADEMA wameanza kuwa blackmail wafadhili kwa kutisha kuvujisha siri kwenye vyombo vya dola kuwa wanahusika kwenye uhaini and this is too much alisikika mmoja wafadhili hao anayetokea mkoa wa Kagera.

Hali ya mkutano wa Kagera inawezekana yakatokea kama ya mkutano wa Temeke, Juzi ulifanyika mkutano mkuu hapa kagera wa Chadema ambao haukuisha vizuri baada ya wanachama kugawanyika pande mbili vilevile mfadhili mkuu ambaye kutoka TICTS anataka kuficha yeye siyo mfadhili hivyo ametoa support lakini juu chini anapinga ufanyikie hapo.
View attachment 2701117
View attachment 2701119
View attachment 2701121

Hizo ni tetesi pasi ushahidi wa sauti kama ulivyosema au ushahidi wa video ni stori tu. Huenda ukawa kweli wanapata hizo pesa au pia umetumwa kuchafua na unajivika joho la mfitnishi kama utakosa ushahidi.
 
Mim sijui yupi amelipwa hela,

Ila nataka hoja zipangiliwe kwa hoja? usilite mambo yasio kua na ushahidi humu,
akili yangu inasema ...miaka yote wanufaika nabandari si walikwepo?..
Anza kunambia nani anataka kuwanyanganya tonge lao na kulipeleka DUBAI.?
Mpaka wafikie hatua ya kuomba msaada kwa akina slaa,?
Au umesahau kusema kua kuna wala tonge wapya wanataka kuingia bandarini?
Maana wanao pinga, hawapingi usiwepo mkataba,wao wanatak maboresho ya makataba?
 
Chawa wa mama mnahangaika tu, suala la mkataba wa hovyo wa bandari ni zezeta pekee atakayeliunga mkono, hayupo mwenye akili timamu atakayefanya hivyo kwenye zile terms za hovyo kabisa.
 
Tuliwaambia ushirika wa wachawi haudumu viongozi waandamizi wa CHADEMA na kikundi cha sauti ya watanzania wameanza kutupiana shutuma za kutafuna fedha za zilizotolewa kwa nia Ovu ya kufanya upotoshaji.

Kama tulivyowaeleza hapo awali suala la bandari kuna watu wengi they just benefiting from the current status ya bandari yetu wamekuwa wakitoa Pesa kwa Dkt. Slaa, Mbowe, Maria Sarungi na wengine wanaopotosha ili waendelee kunufaika na hali ya bandari kutokufanya vizuri.

Baadhi ya watu wamekuwa wakitoa mafungu ya Pesa wakichangia upotoshaji wa mkataba kati ya Tanzania na Dubai wameanza kuzungukana na siri zimeanza kutoka hadharani kuwa viongozi wa CHADEMA na Wanaharakati hupewa hela kwa ajili ya kufanya upotoshaji huo na kazi kufanyika kinyume na matarajio ya wafadhili hao.

Yapo makundi matatu ambayo ni wanufaika na hali ya Bandari wakiongozwa na TICTS pamoja na makampuni yanayotaka kupewa tenda ya kuendesha bandari pamoja na taasisi fulani ya dini na fedha hizo zimekuwa zikipitia kwa Dkt. Slaa, Mbowe na Maria Sarungi.

Makundi haya yamejaribu kutoa Pesa kwa CHADEMA ili kufanya iwe national issue kwa kuitumia CHADEMA kama Jukwaa lao na kuwalipa hela ya kufanya upotoshaji huo. Lakini mambo yameonekana kukwama jambo la kwanza ni maandamano kupinga ubinafsishwaji wa bandari yaliyoandaliwa na BAVICHA na lingine mkutano wa Buliyaga-Temeke ulioandaliwa na Chadema.

Katika mpango uliovuja wa sauti za shutuma za fedha wanazozitoa kwa ajili ya upotoshaji zinatumika kwa maslahi binafsi, zipo hela zilizochangwa kwenda umoja wa Wanawake Chadema zimeliwa na Catherine Ruge na kuna ugomvi mkali unaendelea na kumtaka Catherine kurejesha fedha hizo haraka.


Hela zilizotolewa kwenye maandamano na kupewa Maria Sarungi zimeliwa huku Vijana wakitekelezwa kwa kupewa support ya mitandaoni tu kiasi cha dola elfu 45,000 kilitumwa kwa Maria Sarungi. Inasemekana vijana wamepata shilingi laki 500,000 tu ambayo ilitumika kuprint mabango na Tshirt wanazotuma Vijana wa CHADEMA.

Baadhi ya Vijana wamekuwa wakimlamikia Maria Sarungi kutokupokea simu zao wakati aliwahaidi angewalipa shilingi milioni tano ya kuratibu maandamano hayo. John Pambalu mwenyekiti wa wa BAVICHA Taifa alisikika Juzi akiwa Ukerewe kuwa wanawatumia kwa maslahi yao binafsi na wao hawafaidiki na ipo siku atafanya maamuzi magumu muda wowote kuanzia sasa.

Kiwango kingine ambacho wametaka kujua matumizi yake ni Pesa zilizochangwa kwenda kwa Dkt Slaa zaidi ya Dola laki 150,000 ambazo zilikuwa kwa ajili ya Logistics za mkutano wa Buliyaga Temeke na mkutano kushindwa vibaya katika matarajio waliyoyataka..? Na Dkt. Slaa ameomba fedha nyingine ya kuunganisha nguvu na Chadema kikao kimefanyika.

Kiasi kingine ambacho hakijafahamika kimetolewa kwa ajili ya kutumika kanda ya Victoria kwa Mikoa ya Kagera na Mwanza hakijawekwa wazi dondoo tulizozipata ni kuwa Viongozi wa CHADEMA wameanza kuwa blackmail wafadhili kwa kutisha kuvujisha siri kwenye vyombo vya dola kuwa wanahusika kwenye uhaini and this is too much alisikika mmoja wafadhili hao anayetokea mkoa wa Kagera.

Hali ya mkutano wa Kagera inawezekana yakatokea kama ya mkutano wa Temeke, Juzi ulifanyika mkutano mkuu hapa kagera wa Chadema ambao haukuisha vizuri baada ya wanachama kugawanyika pande mbili vilevile mfadhili mkuu ambaye kutoka TICTS anataka kuficha yeye siyo mfadhili hivyo ametoa support lakini juu chini anapinga ufanyikie hapo.
View attachment 2701117
View attachment 2701119
View attachment 2701121
Upotoshaji mkubwa hivi kweli mnatetea uuzwaji wa bandari zetu mnafikiri hao DP watawasaidia chochote?
 
Tuliwaambia ushirika wa wachawi haudumu viongozi waandamizi wa CHADEMA na kikundi cha sauti ya watanzania wameanza kutupiana shutuma za kutafuna fedha za zilizotolewa kwa nia Ovu ya kufanya upotoshaji.

Kama tulivyowaeleza hapo awali suala la bandari kuna watu wengi they just benefiting from the current status ya bandari yetu wamekuwa wakitoa Pesa kwa Dkt. Slaa, Mbowe, Maria Sarungi na wengine wanaopotosha ili waendelee kunufaika na hali ya bandari kutokufanya vizuri.

Baadhi ya watu wamekuwa wakitoa mafungu ya Pesa wakichangia upotoshaji wa mkataba kati ya Tanzania na Dubai wameanza kuzungukana na siri zimeanza kutoka hadharani kuwa viongozi wa CHADEMA na Wanaharakati hupewa hela kwa ajili ya kufanya upotoshaji huo na kazi kufanyika kinyume na matarajio ya wafadhili hao.

Yapo makundi matatu ambayo ni wanufaika na hali ya Bandari wakiongozwa na TICTS pamoja na makampuni yanayotaka kupewa tenda ya kuendesha bandari pamoja na taasisi fulani ya dini na fedha hizo zimekuwa zikipitia kwa Dkt. Slaa, Mbowe na Maria Sarungi.

Makundi haya yamejaribu kutoa Pesa kwa CHADEMA ili kufanya iwe national issue kwa kuitumia CHADEMA kama Jukwaa lao na kuwalipa hela ya kufanya upotoshaji huo. Lakini mambo yameonekana kukwama jambo la kwanza ni maandamano kupinga ubinafsishwaji wa bandari yaliyoandaliwa na BAVICHA na lingine mkutano wa Buliyaga-Temeke ulioandaliwa na Chadema.

Katika mpango uliovuja wa sauti za shutuma za fedha wanazozitoa kwa ajili ya upotoshaji zinatumika kwa maslahi binafsi, zipo hela zilizochangwa kwenda umoja wa Wanawake Chadema zimeliwa na Catherine Ruge na kuna ugomvi mkali unaendelea na kumtaka Catherine kurejesha fedha hizo haraka.


Hela zilizotolewa kwenye maandamano na kupewa Maria Sarungi zimeliwa huku Vijana wakitekelezwa kwa kupewa support ya mitandaoni tu kiasi cha dola elfu 45,000 kilitumwa kwa Maria Sarungi. Inasemekana vijana wamepata shilingi laki 500,000 tu ambayo ilitumika kuprint mabango na Tshirt wanazotuma Vijana wa CHADEMA.

Baadhi ya Vijana wamekuwa wakimlamikia Maria Sarungi kutokupokea simu zao wakati aliwahaidi angewalipa shilingi milioni tano ya kuratibu maandamano hayo. John Pambalu mwenyekiti wa wa BAVICHA Taifa alisikika Juzi akiwa Ukerewe kuwa wanawatumia kwa maslahi yao binafsi na wao hawafaidiki na ipo siku atafanya maamuzi magumu muda wowote kuanzia sasa.

Kiwango kingine ambacho wametaka kujua matumizi yake ni Pesa zilizochangwa kwenda kwa Dkt Slaa zaidi ya Dola laki 150,000 ambazo zilikuwa kwa ajili ya Logistics za mkutano wa Buliyaga Temeke na mkutano kushindwa vibaya katika matarajio waliyoyataka..? Na Dkt. Slaa ameomba fedha nyingine ya kuunganisha nguvu na Chadema kikao kimefanyika.

Kiasi kingine ambacho hakijafahamika kimetolewa kwa ajili ya kutumika kanda ya Victoria kwa Mikoa ya Kagera na Mwanza hakijawekwa wazi dondoo tulizozipata ni kuwa Viongozi wa CHADEMA wameanza kuwa blackmail wafadhili kwa kutisha kuvujisha siri kwenye vyombo vya dola kuwa wanahusika kwenye uhaini and this is too much alisikika mmoja wafadhili hao anayetokea mkoa wa Kagera.

Hali ya mkutano wa Kagera inawezekana yakatokea kama ya mkutano wa Temeke, Juzi ulifanyika mkutano mkuu hapa kagera wa Chadema ambao haukuisha vizuri baada ya wanachama kugawanyika pande mbili vilevile mfadhili mkuu ambaye kutoka TICTS anataka kuficha yeye siyo mfadhili hivyo ametoa support lakini juu chini anapinga ufanyikie hapo.
View attachment 2701117
View attachment 2701119
View attachment 2701121
makuwadi ya dpworld vibaraka yake ualiyohongwa na warabu koko kuyoka dubai yanatumia hela za hongo kuunga mkono upumbavu wa serikali ya majiz ya kura.
 
Hukuwa na haja ya kuandika liuongo lote hilo na kujizidishia dhambi na laana kutoka kwa wavuja jasho wa Nchi hii, kiufupi bandari mumeuza, tena kwa bei ya kutupa kama sio kugawa bure kwa rushwa ambayo naamini umepata punje tu ya hela walizokula wenzako.
Ushauri wangu kwako, tulia ule posho yako taratibu, ila kaa ukijua kama wewe ni raia wa Nchi hii na unashika mimba au unatungisha mimba basi ujue watoto wako watakojoa juu ya kaburi lako.
 
Tuliwaambia ushirika wa wachawi haudumu viongozi waandamizi wa CHADEMA na kikundi cha sauti ya watanzania wameanza kutupiana shutuma za kutafuna fedha za zilizotolewa kwa nia Ovu ya kufanya upotoshaji.

Kama tulivyowaeleza hapo awali suala la bandari kuna watu wengi they just benefiting from the current status ya bandari yetu wamekuwa wakitoa Pesa kwa Dkt. Slaa, Mbowe, Maria Sarungi na wengine wanaopotosha ili waendelee kunufaika na hali ya bandari kutokufanya vizuri.

Baadhi ya watu wamekuwa wakitoa mafungu ya Pesa wakichangia upotoshaji wa mkataba kati ya Tanzania na Dubai wameanza kuzungukana na siri zimeanza kutoka hadharani kuwa viongozi wa CHADEMA na Wanaharakati hupewa hela kwa ajili ya kufanya upotoshaji huo na kazi kufanyika kinyume na matarajio ya wafadhili hao.

Yapo makundi matatu ambayo ni wanufaika na hali ya Bandari wakiongozwa na TICTS pamoja na makampuni yanayotaka kupewa tenda ya kuendesha bandari pamoja na taasisi fulani ya dini na fedha hizo zimekuwa zikipitia kwa Dkt. Slaa, Mbowe na Maria Sarungi.

Makundi haya yamejaribu kutoa Pesa kwa CHADEMA ili kufanya iwe national issue kwa kuitumia CHADEMA kama Jukwaa lao na kuwalipa hela ya kufanya upotoshaji huo. Lakini mambo yameonekana kukwama jambo la kwanza ni maandamano kupinga ubinafsishwaji wa bandari yaliyoandaliwa na BAVICHA na lingine mkutano wa Buliyaga-Temeke ulioandaliwa na Chadema.

Katika mpango uliovuja wa sauti za shutuma za fedha wanazozitoa kwa ajili ya upotoshaji zinatumika kwa maslahi binafsi, zipo hela zilizochangwa kwenda umoja wa Wanawake Chadema zimeliwa na Catherine Ruge na kuna ugomvi mkali unaendelea na kumtaka Catherine kurejesha fedha hizo haraka.


Hela zilizotolewa kwenye maandamano na kupewa Maria Sarungi zimeliwa huku Vijana wakitekelezwa kwa kupewa support ya mitandaoni tu kiasi cha dola elfu 45,000 kilitumwa kwa Maria Sarungi. Inasemekana vijana wamepata shilingi laki 500,000 tu ambayo ilitumika kuprint mabango na Tshirt wanazotuma Vijana wa CHADEMA.

Baadhi ya Vijana wamekuwa wakimlamikia Maria Sarungi kutokupokea simu zao wakati aliwahaidi angewalipa shilingi milioni tano ya kuratibu maandamano hayo. John Pambalu mwenyekiti wa wa BAVICHA Taifa alisikika Juzi akiwa Ukerewe kuwa wanawatumia kwa maslahi yao binafsi na wao hawafaidiki na ipo siku atafanya maamuzi magumu muda wowote kuanzia sasa.

Kiwango kingine ambacho wametaka kujua matumizi yake ni Pesa zilizochangwa kwenda kwa Dkt Slaa zaidi ya Dola laki 150,000 ambazo zilikuwa kwa ajili ya Logistics za mkutano wa Buliyaga Temeke na mkutano kushindwa vibaya katika matarajio waliyoyataka..? Na Dkt. Slaa ameomba fedha nyingine ya kuunganisha nguvu na Chadema kikao kimefanyika.

Kiasi kingine ambacho hakijafahamika kimetolewa kwa ajili ya kutumika kanda ya Victoria kwa Mikoa ya Kagera na Mwanza hakijawekwa wazi dondoo tulizozipata ni kuwa Viongozi wa CHADEMA wameanza kuwa blackmail wafadhili kwa kutisha kuvujisha siri kwenye vyombo vya dola kuwa wanahusika kwenye uhaini and this is too much alisikika mmoja wafadhili hao anayetokea mkoa wa Kagera.

Hali ya mkutano wa Kagera inawezekana yakatokea kama ya mkutano wa Temeke, Juzi ulifanyika mkutano mkuu hapa kagera wa Chadema ambao haukuisha vizuri baada ya wanachama kugawanyika pande mbili vilevile mfadhili mkuu ambaye kutoka TICTS anataka kuficha yeye siyo mfadhili hivyo ametoa support lakini juu chini anapinga ufanyikie hapo.
View attachment 2701117
View attachment 2701119
View attachment 2701121
Zamu hii Mtatolea Tumboni..Rudisheni Ardhi ya Taifa
 
Tuliwaambia ushirika wa wachawi haudumu viongozi waandamizi wa CHADEMA na kikundi cha sauti ya watanzania wameanza kutupiana shutuma za kutafuna fedha za zilizotolewa kwa nia Ovu ya kufanya upotoshaji.

Kama tulivyowaeleza hapo awali suala la bandari kuna watu wengi they just benefiting from the current status ya bandari yetu wamekuwa wakitoa Pesa kwa Dkt. Slaa, Mbowe, Maria Sarungi na wengine wanaopotosha ili waendelee kunufaika na hali ya bandari kutokufanya vizuri.

Baadhi ya watu wamekuwa wakitoa mafungu ya Pesa wakichangia upotoshaji wa mkataba kati ya Tanzania na Dubai wameanza kuzungukana na siri zimeanza kutoka hadharani kuwa viongozi wa CHADEMA na Wanaharakati hupewa hela kwa ajili ya kufanya upotoshaji huo na kazi kufanyika kinyume na matarajio ya wafadhili hao.

Yapo makundi matatu ambayo ni wanufaika na hali ya Bandari wakiongozwa na TICTS pamoja na makampuni yanayotaka kupewa tenda ya kuendesha bandari pamoja na taasisi fulani ya dini na fedha hizo zimekuwa zikipitia kwa Dkt. Slaa, Mbowe na Maria Sarungi.

Makundi haya yamejaribu kutoa Pesa kwa CHADEMA ili kufanya iwe national issue kwa kuitumia CHADEMA kama Jukwaa lao na kuwalipa hela ya kufanya upotoshaji huo. Lakini mambo yameonekana kukwama jambo la kwanza ni maandamano kupinga ubinafsishwaji wa bandari yaliyoandaliwa na BAVICHA na lingine mkutano wa Buliyaga-Temeke ulioandaliwa na Chadema.

Katika mpango uliovuja wa sauti za shutuma za fedha wanazozitoa kwa ajili ya upotoshaji zinatumika kwa maslahi binafsi, zipo hela zilizochangwa kwenda umoja wa Wanawake Chadema zimeliwa na Catherine Ruge na kuna ugomvi mkali unaendelea na kumtaka Catherine kurejesha fedha hizo haraka.


Hela zilizotolewa kwenye maandamano na kupewa Maria Sarungi zimeliwa huku Vijana wakitekelezwa kwa kupewa support ya mitandaoni tu kiasi cha dola elfu 45,000 kilitumwa kwa Maria Sarungi. Inasemekana vijana wamepata shilingi laki 500,000 tu ambayo ilitumika kuprint mabango na Tshirt wanazotuma Vijana wa CHADEMA.

Baadhi ya Vijana wamekuwa wakimlamikia Maria Sarungi kutokupokea simu zao wakati aliwahaidi angewalipa shilingi milioni tano ya kuratibu maandamano hayo. John Pambalu mwenyekiti wa wa BAVICHA Taifa alisikika Juzi akiwa Ukerewe kuwa wanawatumia kwa maslahi yao binafsi na wao hawafaidiki na ipo siku atafanya maamuzi magumu muda wowote kuanzia sasa.

Kiwango kingine ambacho wametaka kujua matumizi yake ni Pesa zilizochangwa kwenda kwa Dkt Slaa zaidi ya Dola laki 150,000 ambazo zilikuwa kwa ajili ya Logistics za mkutano wa Buliyaga Temeke na mkutano kushindwa vibaya katika matarajio waliyoyataka..? Na Dkt. Slaa ameomba fedha nyingine ya kuunganisha nguvu na Chadema kikao kimefanyika.

Kiasi kingine ambacho hakijafahamika kimetolewa kwa ajili ya kutumika kanda ya Victoria kwa Mikoa ya Kagera na Mwanza hakijawekwa wazi dondoo tulizozipata ni kuwa Viongozi wa CHADEMA wameanza kuwa blackmail wafadhili kwa kutisha kuvujisha siri kwenye vyombo vya dola kuwa wanahusika kwenye uhaini and this is too much alisikika mmoja wafadhili hao anayetokea mkoa wa Kagera.

Hali ya mkutano wa Kagera inawezekana yakatokea kama ya mkutano wa Temeke, Juzi ulifanyika mkutano mkuu hapa kagera wa Chadema ambao haukuisha vizuri baada ya wanachama kugawanyika pande mbili vilevile mfadhili mkuu ambaye kutoka TICTS anataka kuficha yeye siyo mfadhili hivyo ametoa support lakini juu chini anapinga ufanyikie hapo.
View attachment 2701117
View attachment 2701119
View attachment 2701121
Punguza porojo miiiiingi
Unajifikirisha ili upate nini
Bandari ni mali ya Tanganyika na WaTanganyika
Hii safari mtaongea mengiiiii
 
makuwadi na vibaraka wa warabu koko wa dubai mnahaha kuyatetea baada ya kuhongwa.
Mtajiju huko huko sisi washangiliaji tu wala sina maslahi na bandari kabisa wala sipigi kura huko poleni sana

Nachangia kama forum ya kitaifa tu wala isikuumize sana kwani sio kila anaeongea kiswahili ni mswahili
 
Tuliwaambia ushirika wa wachawi haudumu viongozi waandamizi wa CHADEMA na kikundi cha sauti ya watanzania wameanza kutupiana shutuma za kutafuna fedha za zilizotolewa kwa nia Ovu ya kufanya upotoshaji.

Kama tulivyowaeleza hapo awali suala la bandari kuna watu wengi they just benefiting from the current status ya bandari yetu wamekuwa wakitoa Pesa kwa Dkt. Slaa, Mbowe, Maria Sarungi na wengine wanaopotosha ili waendelee kunufaika na hali ya bandari kutokufanya vizuri.

Baadhi ya watu wamekuwa wakitoa mafungu ya Pesa wakichangia upotoshaji wa mkataba kati ya Tanzania na Dubai wameanza kuzungukana na siri zimeanza kutoka hadharani kuwa viongozi wa CHADEMA na Wanaharakati hupewa hela kwa ajili ya kufanya upotoshaji huo na kazi kufanyika kinyume na matarajio ya wafadhili hao.

Yapo makundi matatu ambayo ni wanufaika na hali ya Bandari wakiongozwa na TICTS pamoja na makampuni yanayotaka kupewa tenda ya kuendesha bandari pamoja na taasisi fulani ya dini na fedha hizo zimekuwa zikipitia kwa Dkt. Slaa, Mbowe na Maria Sarungi.

Makundi haya yamejaribu kutoa Pesa kwa CHADEMA ili kufanya iwe national issue kwa kuitumia CHADEMA kama Jukwaa lao na kuwalipa hela ya kufanya upotoshaji huo. Lakini mambo yameonekana kukwama jambo la kwanza ni maandamano kupinga ubinafsishwaji wa bandari yaliyoandaliwa na BAVICHA na lingine mkutano wa Buliyaga-Temeke ulioandaliwa na Chadema.

Katika mpango uliovuja wa sauti za shutuma za fedha wanazozitoa kwa ajili ya upotoshaji zinatumika kwa maslahi binafsi, zipo hela zilizochangwa kwenda umoja wa Wanawake Chadema zimeliwa na Catherine Ruge na kuna ugomvi mkali unaendelea na kumtaka Catherine kurejesha fedha hizo haraka.


Hela zilizotolewa kwenye maandamano na kupewa Maria Sarungi zimeliwa huku Vijana wakitekelezwa kwa kupewa support ya mitandaoni tu kiasi cha dola elfu 45,000 kilitumwa kwa Maria Sarungi. Inasemekana vijana wamepata shilingi laki 500,000 tu ambayo ilitumika kuprint mabango na Tshirt wanazotuma Vijana wa CHADEMA.

Baadhi ya Vijana wamekuwa wakimlamikia Maria Sarungi kutokupokea simu zao wakati aliwahaidi angewalipa shilingi milioni tano ya kuratibu maandamano hayo. John Pambalu mwenyekiti wa wa BAVICHA Taifa alisikika Juzi akiwa Ukerewe kuwa wanawatumia kwa maslahi yao binafsi na wao hawafaidiki na ipo siku atafanya maamuzi magumu muda wowote kuanzia sasa.

Kiwango kingine ambacho wametaka kujua matumizi yake ni Pesa zilizochangwa kwenda kwa Dkt Slaa zaidi ya Dola laki 150,000 ambazo zilikuwa kwa ajili ya Logistics za mkutano wa Buliyaga Temeke na mkutano kushindwa vibaya katika matarajio waliyoyataka..? Na Dkt. Slaa ameomba fedha nyingine ya kuunganisha nguvu na Chadema kikao kimefanyika.

Kiasi kingine ambacho hakijafahamika kimetolewa kwa ajili ya kutumika kanda ya Victoria kwa Mikoa ya Kagera na Mwanza hakijawekwa wazi dondoo tulizozipata ni kuwa Viongozi wa CHADEMA wameanza kuwa blackmail wafadhili kwa kutisha kuvujisha siri kwenye vyombo vya dola kuwa wanahusika kwenye uhaini and this is too much alisikika mmoja wafadhili hao anayetokea mkoa wa Kagera.

Hali ya mkutano wa Kagera inawezekana yakatokea kama ya mkutano wa Temeke, Juzi ulifanyika mkutano mkuu hapa kagera wa Chadema ambao haukuisha vizuri baada ya wanachama kugawanyika pande mbili vilevile mfadhili mkuu ambaye kutoka TICTS anataka kuficha yeye siyo mfadhili hivyo ametoa support lakini juu chini anapinga ufanyikie hapo.
View attachment 2701117
View attachment 2701119
View attachment 2701121
Naona CDM ndio wanaangushiwa jumba bovu 🤣🤣 mbona hujawataja wale walioenda Dubai kula raha na kukutana na wazeiya wa DP world?
 
Back
Top Bottom