Uchaguzi 2020 TCAA yawajibu CHADEMA, yasikitishwa na upotoshaji wao

Maana yake haya tunayoyadili ni kama kutwanga maji kwenye kinu, hayawezi kubadili chochote.

Kaanza kutumia kisukuma kabla ya kampeni na hana kosa lolote kuongea na jamaa zake kwa lugha wanayoielewa.
Tunatwanga maji kwenye kinu- kwa sababu Tume kaiteua yeye mwenyewe Rais. Tunatwanga maji kwenye kinu- ni kwa sababu Tume sio huru,na hata alivyowekewa pingamizi na Lissu Tume haikujibu kisheria.

Kaanza kutumia kisukuma kabla ya kampeni- Maadili ya Uchaguzi yanatumika kipindi cha kampeni, hivyo kosa lipo kwa sababu matumizi ya lugha za makabila yamezuiwa na Maadili ya Uchaguzi ya 2020 ambayo na Ccm wamesaini.
 
Aibu chadema, kazi uongo tu kila siku
Mkuu unataka kusema nini hapa kwamba state Aviation hawajui sheria na kanuni za Aviation za nchi hii au hawataki pesa za mteja wao? Sasa weka prove kwamba kweli hicho kilichoandikwa kwenye barua ulioiweka hapa ndo sahihi?
 
Aibu chadema, kazi uongo tu kila siku

Ungeshirikisha kidogo Halmashauri ya kichwa chako kabla ya kubandika uharo wako ungejua kuwa hakuna uongo wowote CHADEMA waliousema. Shida ni kwamba kichwa chako kimekuwa mzigo badala ya rasilimali muhimu. Umeendelea kufikiri kwa kutumia tako. CHADEMA wamesema mgombea wao wa urais amezuiliwa kutumia helikopta kwa sababu zisizoeleweka tena akiwa ameshakaguliwa kiusalama pale airport.

Sababu zisizoeleweka wewe ilizijua ni nini? Huenda zilikuwa za huyo rubani lakini pengine hazikuelezwa kiufasaha au kulikuwa na ubabaishaji katika kuzitoa.

Fahamu kuwa CHADEMA waliomba kibali siku moja kabla na hawakupewa maelezo mpaka wanakwenda kupanda hiyo helikopta huku wananchi wakiwa viwanjani wanawasubiri. Hilo tangazo la mamlaka ya anga ni la kujiosha na limetoka kwa kuchelewa baada ya hasira za wananchi kuwaka.
 
Chadema njooni mkanushe kwamba sio kweli taarifa ya mamlaka
Tofauti na hapo nyie ni wazushi, pia wahuni tu.
Mumeomba wenyewe mkakataliwa kwa nini hamkutoa taarifa mapema kwa umma. Mkaona ni rahisi kuibebesha lawama mamlaka
Jitafakalini, sana nyinyi level zenu na properganda ni ubunge tu. Urais bado sana.
Sasa mbona wabunge nao mnawakata utafikiri wale ni ccm wenzenu?

Lissu alindwe vizuri asiguswe hata na nzi, huyo ndie rais 2020-2025.
 
Kwani local civil aviation authority ya Tanzania (TCAA) imeweka umri huo kuwa ni miaka mingapi? Je wameextend zaidi ya miaka hiyo 65?
Marehemu Pilot Silaa alizaliwa 1950 akafarki 2015. 2015-1950 = 65. Bado alikuwa ni Pilot.
 
We una hadhi gani wewe?

Ungekuwa na hadhi si ungekuwa inajibiwa na Lisu?

Mimi Kapuku na kujibu kapuku mwenzangu wala huna lolote,zaidi nenda kachukue buku saba zako mwanaizaya weye,mwana mtoka pabaya
Hizi hasira zako hazitasaidia Lisu kupata watu wengi kwenye mikutano na hatimaye kushinda urais! Zaidi sana ajiandae kurudi kwa beberu wake Amsterdam baada ya oktoba 28
 
Tunatwanga maji kwenye kinu- kwa sababu Tume kaiteua yeye mwenyewe Rais
Tunatwanga maji kwenye kinu- ni kwa sababu Tume sio huru,na hata alivyowekewa pingamizi na Lissu Tume haikujibu kisheria
Kaanza kutumia kisukuma kabla ya kampeni- Maadili ya Uchaguzi yanatumika kipindi cha kampeni, hivyo kosa lipo kwa sababu matumizi ya lugha za makabila yamezuiwa na Maadili ya Uchaguzi ya 2020 ambayo na Ccm wamesaini.
Mkuu naona unapoteza muda wako kulalamika wakati malalamiko yako hayawezi kubadili chochote.
 
Mkuu unataka kusema nini hapa kwamba state Aviation hawajui sheria na kanuni za Aviation za nchi hii au hawataki pesa za mteja wao? Sasa weka prove kwamba kweli hicho kilichoandikwa kwenye barua ulioiweka hapa ndo sahihi?
Hivi Mbowe baada ya kutekwa mbona hatoi mrejesho
 
Mkuu unataka kusema nini hapa kwamba state Aviation hawajui sheria na kanuni za Aviation za nchi hii au hawataki pesa za mteja wao? Sasa weka prove kwamba kweli hicho kilichoandikwa kwenye barua ulioiweka hapa ndo sahihi?
Sasa wewe unataka kusema sahihi ni kipi? Wa ushahidi upi?
 
Back
Top Bottom