Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 61,592
- 126,173
Akikujibu usisahau kuniitaUnaponunua wewe
Hebu niambie tajiri Leo sikukuu wapi?
Akikujibu usisahau kuniitaUnaponunua wewe
Hebu niambie tajiri Leo sikukuu wapi?
Nipo kwenye sekta hii kitambo naongea kulingana na uzoefu wangu.Acha kuongea ww, ata ayo ya 25k matatizo yake ni yaleyale
Infact mashati mengi congo ni 18 mpaka 27k
Apo ni kuibiwa tu otherwise uwe mtaalam sana
Mengi mazuri ni ya ovyo ukikaa nayo mwezi
Hapa bana pagumu sana kwa kweli. Sababu kuna nguo zingine zinauzwa zikiwa zimeshanika au kupauka kabisa na watu still wanazinunua.Unanunua dukani nguo nzuri kwelikweli inang'aa machoni.
Lakini cha ajabu ukiifua mara moja au mbili tu haitazamiki tena ni kama ulikuwa unanyang'anyana na ngombe.
Wataalam wetu TBS Pale bandarii huwa mnakagua nini?
Haya manguo hamyaoni au hamhusiki na ukaguzi wake?
Mtusaidie tunaibiwa.
Kodi kwenye mitumba inavyozidi kuwa kubwa na wafanyabiashara ndio wanaagiza ronya ronya zaidi.Kweli kabisa. Mimi nimeachana na hizo special za kizushi nagonga used.Sema Tz tunakosea,tumediscourage mitumba kwa kuweka kodi kubwa, wenzetu Kenya biashara imeshamiri balaa.Sasa hivi vitu vikali vinatoka NBI, bei zake ni moto.
Tatizo nafikiri ni material wanazo tengenezea nguo ..mfano shati nyingi za maduka ya congo kariakoo inavutia ikiwa dukani jaribu kuivaa na kufua ndio utajua shida iko wapi
Niliwai kwenda kariakoo naambiwa jezi original 35,000 ilikuwa inashangaza sana maana jezi adidas wanauza 180,000 apo lazima upate wasiwasi
Na ata aya maduka ya mlimani city red tag,gsm,Woolworth nako quality sio zile za nguo zenyewe at least streetsoul
Sometimes nguo za mtumba grade 1 zile ni nzuri ila upate muuzaji mzuri ambaye uta afford bei yake ..maana unaweza letewa shati ukaambiwa 30,000 mwisho wa siku unadai ngoja niende kariakoo
Kikubwa bongo kimavazi bado tuendelee kuchanga changa ivyo ivyo ,maana tunavaa kulingana na kipato chetu
Mitumba mingi inatoka US na Europe ni nguo za kiwango cha juu. Ukipata grade 1 kama mpya
Na wauzaji washawajulia Wabongo. Wanajua wakiweka bei juu mtaani ni OGMi nimehamia huko maana hizi za dukani hatari sana.
Kuna siku nimenunua splash cardet 70K nikaifua ikapauka nikasema sinunui tena
Mtumbani ukienda 70K unapata nguo 7 Grade 1
dadaKuepukana na hiyo adha kanunue mtumba au nenda kwenye maduka wanayouza nguo og
Mi nimehamia huko maana hizi za dukani hatari sana.
Kuna siku nimenunua splash cardet 70K nikaifua ikapauka nikasema sinunui tena
Mtumbani ukienda 70K unapata nguo 7 Grade 1