Lakini sidhani hata huko nje ulaya kila mtu anaafford kununua t-shirt ya £60,lakini bado wanavaa nguo nzuri zenye quality..sisi tunakwama wapi??
Ni lazima tukubali hawa wachina wanatuletea vitu vya hovyo sana kwenye nguo..
Unanunua dukani nguo nzuri kwelikweli inang'aa machoni.
Lakini cha ajabu ukiifua mara moja au mbili tu haitazamiki tena ni kama ulikuwa unanyang'anyana na ngombe.
Wataalam wetu TBS Pale bandarii huwa mnakagua nini?
Haya manguo hamyaoni au hamhusiki na ukaguzi wake?
Mtusaidie tunaibiwa.
Karibu kijanaAiseee mzeee umeongea nondo sana hapa!!!!!!!!!!!
Kuna mtu alikuwa amehitaji haya mapicha sijui kama atayaona. Nadhani ni Kilangi masanjaTatizo la nguo kuchuja na kupauka lilinitesa sana,hususan mimi mpenzi wa cadet na jinsi.Katika kutafuta suluhisho,ikanijia akili ya kusoma label zile ndani ya nguo.Hapo ndo tongotongo likanitoka!!!!!!!!!!!
Mara yako ya mwisho kufuata maelezo ya jinsi ya kuifua/kuitunza nguo ni lini?
View attachment 1180558View attachment 1180560View attachment 1180561
mkuu juko nje zipo tshr za 20 000 kibao tena nchu za mgahatibi za high quality hawa wafanyabiashara wetu wanaenda kununua nguo za plastic (nylon na polyster)za dolar 1 wanatyletea huku!Lakini sidhani hata huko nje ulaya kila mtu anaafford kununua t-shirt ya £60,lakini bado wanavaa nguo nzuri zenye quality..sisi tunakwama wapi??
Ni lazima tukubali hawa wachina wanatuletea vitu vya hovyo sana kwenye nguo..
Tbs ni shirika la hovyo sana vitu vingi sana vinavyouzwa hapa nchini havina ubora lakini tbs wapo na wanalipwa mishahara kila mwezi
Kuanzia nguo, redio, tv, viatu, mpaka dawa za meno tena hizi wanauza mpaka kwenye mabasi ya mkoani
Mnauziwa kulingana na uwezo wa soko. Mfano dukani kuwe na Levi's jeans OG bei £60 au Lacoste t-shirt £65 au Tims £160 wangapi wataweza kununua kiasi cha duka ku-sustain biashara? Hizo za Kariakoo ndio size za majority na kibiashara ndio zinafaa. Nunua nyingi fua mara moja kwa mwezi zitamudu ila ukitaka kufua kila wiki hamna rangi utaacha ona
Kuna mtu alikuwa amehitaji haya mapicha sijui kama atayaona. Nadhani ni Kilangi masanja
TBS hii haikagui ubora inakagua muonekano yaani kama ni shati liwe na sehemu ya kuingiza mikono na kichwa. Nakushauri ukinunua vaa tu bila kufua au fua kwa petroli itabaki na ubora wake.
nichomanisha zote ni za kkoo ila za zaman zinadumHalafu nguo nyingine unafua kama hizo za Kariakoo tu ila matokeo tofauti
Unaweza kudadavua mkuu?TBS wanachoweza ni kuendeleza udin tu hakuna kitu kingineee
Unaweza kununua iyo shati ya 250000 mliman city, then ukaenda kariakoo ukaikuta kwa 20,000.Mara nyingi bei ya kitu huendana na ubora wake, usitegemee shati ya 2500 ifanane na ya 25000.
Halafu Mtanzania ukimwambia hili shati bei yake 25000 kulingana na ubora wake atakwambia mbona kariakoo yapo mengi tu 2500 hajui kama ni kopi ya mwisho ya mchina.
Yote kwa yote umasikini wetu ndio chanjo, mahitaji mengi kuliko kipato.
[emoji23][emoji23][emoji23]Unaweza kununua iyo shati ya 250000 mliman city, then ukaenda kariakoo ukaikuta kwa 20,000.
Kweli kabisa mkuu.Viatu wanavyolipia laki na nusu kwenda juu,k/koo tunanunua kwa elfu 50 mpaka 70.Hili neno "ORIGINAL" ni fursa kwa baadhi ha wafanyabiashara[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Unaweza kununua iyo shati ya 250000 mliman city, then ukaenda kariakoo ukaikuta kwa 20,000.