KweliKwanza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,520
- 2,820
Mnauziwa kulingana na uwezo wa soko. Mfano dukani kuwe na Levi's jeans OG bei £60 au Lacoste t-shirt £65 au Tims £160 wangapi wataweza kununua kiasi cha duka ku-sustain biashara? Hizo za Kariakoo ndio size za majority na kibiashara ndio zinafaa. Nunua nyingi fua mara moja kwa mwezi zitamudu ila ukitaka kufua kila wiki hamna rangi utaacha ona
We jamaa unaongea kulingana na top luxiury za ulaya
Ila ata uko jeans nyingi ni za 15 to 30$, na za 30$ ni top quality, kutokana na unaponunua
Ko uko na uku bei sio tofauti kivile
Na miaka ya zaman kariakoo kulikuwa na nguo bei hyohyo zinazodumu sana,
Kikubwa ni wanajua uku hatufatilii na ndo pakupiga biashara kwa kuleta visivyodum ili suply isishuke