TBC1 Inaipendelea CHADEMA na Kuihujumu CCM?

TBC1 Inaipendelea CHADEMA na Kuihujumu CCM?

ilikuwa ni aibu kwa ccm maana kulikuwa na watoto na hakukuwepo na watu wa kuonyesha.kumbuka kila tukio lina implication yake ktk mapokeo.tbc waliona ni bora kutoonyesha lolote kwa ccm kwani ilikuwa ni aibu ya karne.kulikuwepo na watoto na vumbi tu.usilete hoja kama za ccm zenye genetic za uwongo na chromosomose za kifisadi.

Sasa naanza kuelewa kwa nini hawakuwaonesha magamba!
 
Jana saa mbili usiku nilikuwa nikiangalia taarifa ya habari ya TBC1 na habari kuu jana ilikuwa ni kutua kwa mahelkopita huko Igunga kwa ajili ya kutumika katika mikutano ya kampeni. TBC1 walionyesha helkopita ya CCM ikitua na Makamba akapokelewa na Mwigulu na watu wengine. Kisha ikaonyeshwa kwa UFUPI SANA Mwigulu akihutubia na kisha makamba akasikika akisema maneno mawili matatu tu basi. Pia TBC1 haikuonyesha UMATI wa watu ambao hao viongozi wa CCM walikuwa wakihutubia!! Kwa kifupi coverage kwa CCM ilikuwa kidogo sana.

Kisha nikashuhudia coverage ya CHADEMA. Walianza kuonyesha helkopita ikiwa angani na maneno CHADEMA yakionekana, kisha wakaionyesha helkopita ikiwa eneo fulani ambalo naamini ni kituo cha mafuta ikiwa inakunywa mafuta. Baada ya hapo helkopita ya CHADEMA ikaonyeshwa ikitua huko Nkinga na Mwenyekiti wao akashuka na kuhutubia. Kinyume na walivyo cover hotuba ya CCM, hapa Mbowe alipewa muda mreeefu akihutubia kuhusu mambo ya siasa na dini na wakati huohuo TBC1 ikionyesha umati wa watu ambao Mbowe alikuwa akihutubia. Baada ya hotuba TBC1 walionyesha helkpita ya CHADEMA ikituka kuondoka eneo la mkutano.

Kwangu mimi naona TBC1 hawakuitendea haki CCM kwa kuipa coverage kidogo sana hasa juu ya helkopita ambayo imegeuka kuwa ni kete ya kisiasa huko Igunga. Pia TBC1 hawakumuonyesha mpambanaji Magufuli wakati akiunguruma huko Igunga.

i dont want to believe kama bado kuna watu wanaamini eti ccm inaweza kuruhusu kuhujumiwa na moja ya taasisi zake...yes, tbc1 is literally a ccm propaganda machine.... kwenye jambo hili (uchaguzi mdogo) ambalo wamelipa unprecented gravity. seriously.

obviously, smart people will realise there's some "catch" in what tbc1 televised last nite!
 
Kumbuka TBC1 ni chombo cha Umma ambacho kinatekeleza Sera ya Chama tawala ambacho ni CCM, siamini kama chombo cha umma kama TBC1 kinaweza kuhujuma kwa makusudi katika uchaguzi mdogo kama huu chama kilicho madarakani , ambao hata kama ccm itashindwa bado itaendelea kutawala. Hivyo, jiulize mara mbili kwa nini walifanya hivyo. Aidha, kumbuka kuwa hii ni taarifa ya habari ambayo imefanyiwa uhariri. ACHA KULETA SIASA ZA CHUKI KATIKA UTENDAJI WA UMMA.
 
Na wewe umetumwa na nani? Hizo ni akili mgando. Mbona wenzio wanachangia vizuri tu ila wewe unakimbilia kuwa mtu katumwa!!Acha mawazo mgando.

Wenzake ndo kina nani?wewe si mwenzake?
 
TBC wanajitahidi kuficha uchi na aibu ya CCM mbele ya waTZ kwani mikutano ile haikuwa na watu kwa hiyo hawakutaka watu wajue ila sisi tulijua . Kwa hiyo hawakuipendelea CDM waliipendelea CCM ili isidhalilike.
 
Jana saa mbili usiku nilikuwa nikiangalia taarifa ya habari ya TBC1 na habari kuu jana ilikuwa ni kutua kwa mahelkopita huko Igunga kwa ajili ya kutumika katika mikutano ya kampeni. TBC1 walionyesha helkopita ya CCM ikitua na Makamba akapokelewa na Mwigulu na watu wengine. Kisha ikaonyeshwa kwa UFUPI SANA Mwigulu akihutubia na kisha makamba akasikika akisema maneno mawili matatu tu basi. Pia TBC1 haikuonyesha UMATI wa watu ambao hao viongozi wa CCM walikuwa wakihutubia!! Kwa kifupi coverage kwa CCM ilikuwa kidogo sana.

Kisha nikashuhudia coverage ya CHADEMA. Walianza kuonyesha helkopita ikiwa angani na maneno CHADEMA yakionekana, kisha wakaionyesha helkopita ikiwa eneo fulani ambalo naamini ni kituo cha mafuta ikiwa inakunywa mafuta. Baada ya hapo helkopita ya CHADEMA ikaonyeshwa ikitua huko Nkinga na Mwenyekiti wao akashuka na kuhutubia. Kinyume na walivyo cover hotuba ya CCM, hapa Mbowe alipewa muda mreeefu akihutubia kuhusu mambo ya siasa na dini na wakati huohuo TBC1 ikionyesha umati wa watu ambao Mbowe alikuwa akihutubia. Baada ya hotuba TBC1 walionyesha helkpita ya CHADEMA ikituka kuondoka eneo la mkutano.

Kwangu mimi naona TBC1 hawakuitendea haki CCM kwa kuipa coverage kidogo sana hasa juu ya helkopita ambayo imegeuka kuwa ni kete ya kisiasa huko Igunga. Pia TBC1 hawakumuonyesha mpambanaji Magufuli wakati akiunguruma huko Igunga.

Hakuna kitu,ni technique ya TBC Kujisafisha baada ya kuibania CDM kwa mda mrefu
 
Kwa speech ya mbowe ilivokuwa yenye mantiki kubwa kwa wanataifa wote hata mwandishi wa uhuru angeiripoti, TCB walifikiri kuonyesha makamba akisema wameteka ardhi na anga ni kujibu mapigo ya chadema,
Binafsi nafikiri walionyesha helikopta ya CDM ikitua kujaza mafuta ili kuonyesha kuwa Helcopta ya CDM haina hata mafuta yaa kufika IGUNGA bila kuongeza njiani,kumbe ndo wanatanua coverage, ni ukilaza tu wa waandishi ndo unaifanya wengine walalamike CCM inahujumiwa,
Tukumbuke ule mchakato majimboni, mwanzo ulibezwa na makamba kwa kusema wanaohudhuria ni wahuni wa kariakoo,baada ya kupoteza majimbo mengi wakadhani tatizo ni Mhando. Kapewa mshana wanasema wanahujumiwa napendekeza apewe bi Kiroboto yule wa DALADALA labda atasimamia coverage vizuri.
 
TBC1 na Chadema wapi na wapi au mnaloeta vichekesho jamvini ?
 
Jana saa mbili usiku nilikuwa nikiangalia taarifa ya habari ya TBC1 na habari kuu jana ilikuwa ni kutua kwa mahelkopita huko Igunga kwa ajili ya kutumika katika mikutano ya kampeni. TBC1 walionyesha helkopita ya CCM ikitua na Makamba akapokelewa na Mwigulu na watu wengine. Kisha ikaonyeshwa kwa UFUPI SANA Mwigulu akihutubia na kisha makamba akasikika akisema maneno mawili matatu tu basi. Pia TBC1 haikuonyesha UMATI wa watu ambao hao viongozi wa CCM walikuwa wakihutubia!! Kwa kifupi coverage kwa CCM ilikuwa kidogo sana.

Kisha nikashuhudia coverage ya CHADEMA. Walianza kuonyesha helkopita ikiwa angani na maneno CHADEMA yakionekana, kisha wakaionyesha helkopita ikiwa eneo fulani ambalo naamini ni kituo cha mafuta ikiwa inakunywa mafuta. Baada ya hapo helkopita ya CHADEMA ikaonyeshwa ikitua huko Nkinga na Mwenyekiti wao akashuka na kuhutubia. Kinyume na walivyo cover hotuba ya CCM, hapa Mbowe alipewa muda mreeefu akihutubia kuhusu mambo ya siasa na dini na wakati huohuo TBC1 ikionyesha umati wa watu ambao Mbowe alikuwa akihutubia. Baada ya hotuba TBC1 walionyesha helkpita ya CHADEMA ikituka kuondoka eneo la mkutano.

Kwangu mimi naona TBC1 hawakuitendea haki CCM kwa kuipa coverage kidogo sana hasa juu ya helkopita ambayo imegeuka kuwa ni kete ya kisiasa huko Igunga. Pia TBC1 hawakumuonyesha mpambanaji Magufuli wakati akiunguruma huko Igunga.
Wewe hujajua kuwa taarifa ya habari zikiwemo habari za Magamba ni kichefuchefu kwa walio na akili timamu na si kwako wewe huna tofauti na mwehu asiyejua nini anafanya,pole sana.
 
Katika list ya vitu vinavyohitaji kukombolewa kutoka CCM ni pamoja na:
1. TBC
2. BAKWATA
3. Polisi
4. Usalama wa Taifa
5. Gazeti la Habarileo na Daily News
6. Dr. John Magufuli
 
Mimi niliacha kuiangalia hiyo stesheni muda mrefu sana. Wana tabia ya kuwapendelea sana Magwanda, sijui wamepewa hela na Mbowe?

Duh! Yamekuwa hayo tena! Naona mnahatarisha kibarua cha mkurugenzi wa TBC. Yasijekumpata ya Mhando!!!
 
Jana saa mbili usiku nilikuwa nikiangalia taarifa ya habari ya TBC1 na habari kuu jana ilikuwa ni kutua kwa mahelkopita huko Igunga kwa ajili ya kutumika katika mikutano ya kampeni. TBC1 walionyesha helkopita ya CCM ikitua na Makamba akapokelewa na Mwigulu na watu wengine. Kisha ikaonyeshwa kwa UFUPI SANA Mwigulu akihutubia na kisha makamba akasikika akisema maneno mawili matatu tu basi. Pia TBC1 haikuonyesha UMATI wa watu ambao hao viongozi wa CCM walikuwa wakihutubia!! Kwa kifupi coverage kwa CCM ilikuwa kidogo sana.

Kisha nikashuhudia coverage ya CHADEMA. Walianza kuonyesha helkopita ikiwa angani na maneno CHADEMA yakionekana, kisha wakaionyesha helkopita ikiwa eneo fulani ambalo naamini ni kituo cha mafuta ikiwa inakunywa mafuta. Baada ya hapo helkopita ya CHADEMA ikaonyeshwa ikitua huko Nkinga na Mwenyekiti wao akashuka na kuhutubia. Kinyume na walivyo cover hotuba ya CCM, hapa Mbowe alipewa muda mreeefu akihutubia kuhusu mambo ya siasa na dini na wakati huohuo TBC1 ikionyesha umati wa watu ambao Mbowe alikuwa akihutubia. Baada ya hotuba TBC1 walionyesha helkpita ya CHADEMA ikituka kuondoka eneo la mkutano.

Kwangu mimi naona TBC1 hawakuitendea haki CCM kwa kuipa coverage kidogo sana hasa juu ya helkopita ambayo imegeuka kuwa ni kete ya kisiasa huko Igunga. Pia TBC1 hawakumuonyesha mpambanaji Magufuli wakati akiunguruma huko Igunga.

Sidhani kama ni sahihi kufikia conclusion ya tbc kuipendelea chadema kwa kuangalia taarifa ya habari moja tu tena ya siku moja.

Unapozungumzia upendeleo unatakiwa uiangalie tbc kwa upana kidogo na kwa kipindi cha kutosha, na hapa ulitakiwa uipime tbc kuanzia siku ya kwanza ya kampeni za igunga hadi hiyo jana ndipo ungeweza kujua kwa uhakika kama tbc inaipendelea chadema na kuihujumu ccm.

Hata hivyo kwa wafuatiliaji wa taarifa za habari za tbc kwa kipindi hiki cha kampeni za uchaguzi mdogo igunga, atakushangaa sana kwa huu utafiti wako mkuu, maana ni upotofu kulingana na hali halisi tunayoiona kila siku.

Lakini hata hivyo uchambuzi wako unanipeleka kukuuliza swali, ni kwa nini ccm ndio wahujumiwe ilihali unafahamu kwamba igunga kuna vyama vinane vinachuano huko? hata kama utasema vingine ni vidogo na pengine wagombea wake hawafahamiki, kwa nini umeshindwa kutaja kwamba CUF nao wanahujumiwa?
 
Mtenda aki2ndewa huona kaonewa, yaani leo hii CCM mnailaumu TBC1?

Kwa ufupi cjui linaloendelea TBC1 manake nilishaidelete hiyo station toka kwenye receiver yangu!
 
Kwa speech ya mbowe ilivokuwa yenye mantiki kubwa kwa wanataifa wote hata mwandishi wa uhuru angeiripoti, TCB walifikiri kuonyesha makamba akisema wameteka ardhi na anga ni kujibu mapigo ya chadema,
Binafsi nafikiri walionyesha helikopta ya CDM ikitua kujaza mafuta ili kuonyesha kuwa Helcopta ya CDM haina hata mafuta yaa kufika IGUNGA bila kuongeza njiani,kumbe ndo wanatanua coverage, ni ukilaza tu wa waandishi ndo unaifanya wengine walalamike CCM inahujumiwa,
Tukumbuke ule mchakato majimboni, mwanzo ulibezwa na makamba kwa kusema wanaohudhuria ni wahuni wa kariakoo,baada ya kupoteza majimbo mengi wakadhani tatizo ni Mhando. Kapewa mshana wanasema wanahujumiwa napendekeza apewe bi Kiroboto yule wa DALADALA labda atasimamia coverage vizuri.
Nimekusoma mkuu hapo kwenye Red Unamaanisha TBC ee?
 
Jana saa mbili usiku nilikuwa nikiangalia taarifa ya habari ya TBC1 na habari kuu jana ilikuwa ni kutua kwa mahelkopita huko Igunga kwa ajili ya kutumika katika mikutano ya kampeni. TBC1 walionyesha helkopita ya CCM ikitua na Makamba akapokelewa na Mwigulu na watu wengine. Kisha ikaonyeshwa kwa UFUPI SANA Mwigulu akihutubia na kisha makamba akasikika akisema maneno mawili matatu tu basi. Pia TBC1 haikuonyesha UMATI wa watu ambao hao viongozi wa CCM walikuwa wakihutubia!! Kwa kifupi coverage kwa CCM ilikuwa kidogo sana.

Kisha nikashuhudia coverage ya CHADEMA. Walianza kuonyesha helkopita ikiwa angani na maneno CHADEMA yakionekana, kisha wakaionyesha helkopita ikiwa eneo fulani ambalo naamini ni kituo cha mafuta ikiwa inakunywa mafuta. Baada ya hapo helkopita ya CHADEMA ikaonyeshwa ikitua huko Nkinga na Mwenyekiti wao akashuka na kuhutubia. Kinyume na walivyo cover hotuba ya CCM, hapa Mbowe alipewa muda mreeefu akihutubia kuhusu mambo ya siasa na dini na wakati huohuo TBC1 ikionyesha umati wa watu ambao Mbowe alikuwa akihutubia. Baada ya hotuba TBC1 walionyesha helkpita ya CHADEMA ikituka kuondoka eneo la mkutano.

Kwangu mimi naona TBC1 hawakuitendea haki CCM kwa kuipa coverage kidogo sana hasa juu ya helkopita ambayo imegeuka kuwa ni kete ya kisiasa huko Igunga. Pia TBC1 hawakumuonyesha mpambanaji Magufuli wakati akiunguruma huko Igunga.

Hii ni ishara tosha ya nini kinaendelea na ukweli ni kwamba Igunga ni uwanja wa mazoezi ya safari ndefu ya 2015 ya watu ambao TBC wameikamata na kwa kweli safari imeanza na tusishangae makubwa zaidi baada ya Igunga. Ukweli ni kwamba TBC haiko tena mikononi mwa JK wala Pinda inaendeshwa na watu wengine kabisa ambao ndio wenye amri hata baada ya Tido kuondoka. Huto Mshana yuko kama hayupo maana hajui kinachoendelea
 
Jana saa mbili usiku nilikuwa nikiangalia taarifa ya habari ya TBC1 na habari kuu jana ilikuwa ni kutua kwa mahelkopita huko Igunga kwa ajili ya kutumika katika mikutano ya kampeni. TBC1 walionyesha helkopita ya CCM ikitua na Makamba akapokelewa na Mwigulu na watu wengine. Kisha ikaonyeshwa kwa UFUPI SANA Mwigulu akihutubia na kisha makamba akasikika akisema maneno mawili matatu tu basi. Pia TBC1 haikuonyesha UMATI wa watu ambao hao viongozi wa CCM walikuwa wakihutubia!! Kwa kifupi coverage kwa CCM ilikuwa kidogo sana. <br />
<br />
Kisha nikashuhudia coverage ya CHADEMA. Walianza kuonyesha helkopita ikiwa angani na maneno CHADEMA yakionekana, kisha wakaionyesha helkopita ikiwa eneo fulani ambalo naamini ni kituo cha mafuta ikiwa inakunywa mafuta. Baada ya hapo helkopita ya CHADEMA ikaonyeshwa ikitua huko Nkinga na Mwenyekiti wao akashuka na kuhutubia. Kinyume na walivyo cover hotuba ya CCM, hapa Mbowe alipewa muda mreeefu akihutubia kuhusu mambo ya siasa na dini na wakati huohuo TBC1 ikionyesha umati wa watu ambao Mbowe alikuwa akihutubia. Baada ya hotuba TBC1 walionyesha helkpita ya CHADEMA ikituka kuondoka eneo la mkutano. <br />
<br />
Kwangu mimi naona TBC1 hawakuitendea haki CCM kwa kuipa coverage kidogo sana hasa juu ya helkopita ambayo imegeuka kuwa ni kete ya kisiasa huko Igunga. Pia TBC1 hawakumuonyesha mpambanaji Magufuli wakati akiunguruma huko Igunga.
<br />
<br />
Magufuli naye ni mpambanaji wa nini?
 
Back
Top Bottom