TBC1 Inaipendelea CHADEMA na Kuihujumu CCM?

TBC1 Inaipendelea CHADEMA na Kuihujumu CCM?

Na wewe umetumwa na nani? Hizo ni akili mgando. Mbona wenzio wanachangia vizuri tu ila wewe unakimbilia kuwa mtu katumwa!!Acha mawazo mgando.

Soma takwimu za tafiti uone TBC na Daily News ambazo ni state media zinazoendeshwa na kodi ya nchi zinavyoipendelea magamba. Sasa wewe kutoka ktk single observation ya jana tu umekimbilia kuconclude TBC wanaibeba cdm wakati picha kubwa ni kinyume chake.
 
Sina chama mpaka sasa,but cdm mkikosa coverage kwenye tbc1 mnalalamika etic hombo kinachoendeshwa na kodi za watz kinependelea chama tawala mkipata coverage tatizo,nahisi kama mkipata nchi mtalipiza kisasi sana,naomba kitokee chama chenye muunganiko wa ccm,cdm,cuf na tlp ntajiunga nacho..
Mimi sio mwandisha wa habari, ila hata hivyo nisingeweze kupiga picha ya helikopta yoyote tu kwasababu inapita anga la Igunga. Helikopta ya Chadema ipo well identified kwamaana inajina CHADEMA ubavuni. Ya ccm nadhani haina alama yoyote so ningumu kwa mwandishi wa habari kuchukua picha kwa kila helikopta inayopita angani kwakuwa tu ni helikopta kama haina utambulisho wa chama. Mbona hujasema CUF kinahujumiwa pia??? Hapo ndo utajua thinking ya chadema ipo mbali sana na ya CCM na chadema wapo far ahead ya ccm in creativity. CCM ni watu wa kuigaiga na kukurupuka. Sasa hivi nao ccm wataanzisha TV yao baada ya kusikia chadema wameanzisha.


Chadema hakiitaji promo hasa ya TBC, chenyewe tu kinajiuza sio kama CCM ambacho kinahitaji kutumia nguvu nyingi sana kushawishi watu maana kinautendaji wa kibabaishaji. check thread hii https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/174295-upendeleo-wa-wazi-tbc-habari.html
 
Wanaopiga kura ni watu wa Igunga. Kukuonyesha umati hukusaidii kuongeza kura kule. Wananchi wa Igunga wanajijua wenyewe kuwa walikuwa wengi au wachache, wazee au vijana, watu wazima au watoto, wanawake au wanaume nk.
 
Nilitafuta ki-like pale nikakikosa....but I really liked this from Ezan...


[h=2] This message has been deleted by Ezan. [/h] ReasonMatusi mabaya dhidi ya member mwenzangu Mwita25
 
Soma takwimu za tafiti uone TBC na Daily News ambazo ni state media zinazoendeshwa na kodi ya nchi zinavyoipendelea magamba. Sasa wewe kutoka ktk single observation ya jana tu umekimbilia kuconclude TBC wanaibeba cdm wakati picha kubwa ni kinyume chake.

Mimi sijaongelea utafiti huo uliofanywa sijui na akina nani. Mimi nimesema yaliyojiri jana na facts za jana ndizo hizo. Kwqa maana hiyo unnataka niseme kwa jana TBC1 iliipendelea CHADEMA ila kwa ujumla huwa TBC1 inaipendelea CCM au?
 
Ni uongo..........usiku huo wote tuliangalia taarifa ya habari.......ni propaganda tu za jamii ya magamba...........hata hivyo ccm isifanye tbc1 nguruwe wa kafala.................
Tunaombea haki itendeke kwani sasa mawaziri wa cccm wamejaa igunga bada la ya kuhudumia jamii
 
jana saa mbili usiku nilikuwa nikiangalia taarifa ya habari ya tbc1 na habari kuu jana ilikuwa ni kutua kwa mahelkopita huko igunga kwa ajili ya kutumika katika mikutano ya kampeni. Tbc1 walionyesha helkopita ya ccm ikitua na makamba akapokelewa na mwigulu na watu wengine. Kisha ikaonyeshwa kwa ufupi sana mwigulu akihutubia na kisha makamba akasikika akisema maneno mawili matatu tu basi. Pia tbc1 haikuonyesha umati wa watu ambao hao viongozi wa ccm walikuwa wakihutubia!! Kwa kifupi coverage kwa ccm ilikuwa kidogo sana.

Kisha nikashuhudia coverage ya chadema. Walianza kuonyesha helkopita ikiwa angani na maneno chadema yakionekana, kisha wakaionyesha helkopita ikiwa eneo fulani ambalo naamini ni kituo cha mafuta ikiwa inakunywa mafuta. Baada ya hapo helkopita ya chadema ikaonyeshwa ikitua huko nkinga na mwenyekiti wao akashuka na kuhutubia. Kinyume na walivyo cover hotuba ya ccm, hapa mbowe alipewa muda mreeefu akihutubia kuhusu mambo ya siasa na dini na wakati huohuo tbc1 ikionyesha umati wa watu ambao mbowe alikuwa akihutubia. Baada ya hotuba tbc1 walionyesha helkpita ya chadema ikituka kuondoka eneo la mkutano.

Kwangu mimi naona tbc1 hawakuitendea haki ccm kwa kuipa coverage kidogo sana hasa juu ya helkopita ambayo imegeuka kuwa ni kete ya kisiasa huko igunga. Pia tbc1 hawakumuonyesha mpambanaji magufuli wakati akiunguruma huko igunga.

ndo kwanza nimewasikia mimi, nilishalalamika na kuwataka jamii foramu kurekebisha
 
Sasa ndugu mtoa mada kama mkutano wa ccm ulihudhuriwa na watu 20 unategemea waoneshe nini? Na hata hao viongozi wa ccm January, Magufuri na wassira hakujuwa hata waongee nini zaidi ya kuona utamu wa kupanda chopa tu! Mfano Wassira yeye alipopewa nafasi ya kuhutubia, alichoongea ni kwamba yeye ndio Tyson na wamekwenda Igunga kwa kazi moja tu, ni ushindi. Kwa tafsiri yangu maneno kama haya huweza kutoka mdomoni mwa mtu zuzu huku akidhani anaowahutubia ni mazuzu wenzake. Siasa nyepesi na za kishamba za kuwakaririsha watu kama makasuku Eti unachukuwa unaweka waaaaah! Hazina nafasi tena ndani ya Taifa hili.
 
Labda waliogopa kuonyesha aibu, huwezi kuonyesha uchi wa baba yako hadharani!
 
Na wewe umetumwa na nani? Hizo ni akili mgando. Mbona wenzio wanachangia vizuri tu ila wewe unakimbilia kuwa mtu katumwa!!Acha mawazo mgando.

Hata wewe pia umetumwa na magamba,sasa kama hujatumwa nini kinakuwasha?
 
soma takwimu za tafiti uone tbc na daily news ambazo ni state media zinazoendeshwa na kodi ya nchi zinavyoipendelea magamba. Sasa wewe kutoka ktk single observation ya jana tu umekimbilia kuconclude tbc wanaibeba cdm wakati picha kubwa ni kinyume chake.

kila siku hbr zao ni za magamba, jana kwa mara ya kwanza ndo nimesikia hbr za cdm, cjackia za cuf.

Kama wmeshindwa kutumia mali za umma kwa kuhabarisha, tutawatoa wote siku umma ukishika hatamu
 
coverage hutolewa kutokana na point na sivinginevyo! kama hauna point waonyeshe hewa?ilikuwa ni aibu kwa ccm maana kulikuwa na watoto na hakukuwepo na watu wa kuonyesha.kumbuka kila tukio lina implication yake ktk mapokeo.tbc waliona ni bora kutoonyesha lolote kwa ccm kwani ilikuwa ni aibu ya karne.kulikuwepo na watoto na vumbi tu.usilete hoja kama za ccm zenye genetic za uwongo na chromosomose za kifisadi.

Wee umetumwa na magamba. Haya kachukue posho yako kama unalipwa kwa post. Unaweza itenganisha vipi TBC na magamba wakati ni kitu kilekile? Ile TBC si ni idara ya uenezi ya magamba
 
wanaopiga kura ni watu wa igunga. Kukuonyesha umati hukusaidii kuongeza kura kule. Wananchi wa igunga wanajijua wenyewe kuwa walikuwa wengi au wachache, wazee au vijana, watu wazima au watoto, wanawake au wanaume nk.

tunachohitaji ni kutupa matukio ya igunga ili ambao hatuko igunga tuwe updated kupitia chombo hiki cha umma. Wenyewe hawafanyi hivyo, kila ccm utadhani ndo wenyewe pekee walioko igunga. Tutawatimua kazi siku ikifika.
 
coverage hutolewa kutokana na point na sivinginevyo! Kama hauna point waonyeshe hewa?ilikuwa ni aibu kwa ccm maana kulikuwa na watoto na hakukuwepo na watu wa kuonyesha.kumbuka kila tukio lina implication yake ktk mapokeo.tbc waliona ni bora kutoonyesha lolote kwa ccm kwani ilikuwa ni aibu ya karne.kulikuwepo na watoto na vumbi tu.usilete hoja kama za ccm zenye genetic za uwongo na chromosomose za kifisadi.

waoneshe ili watu tujue. Mbona watu wakijaa wanaonesha ccm? Waache ujinga, tutawatimu nakwambia siku ikifika. Kwa bahati wanarekodi hivyo tuna kumbukumbu za ujinga wao.
 
Jana saa mbili usiku nilikuwa nikiangalia taarifa ya habari ya TBC1 na habari kuu jana ilikuwa ni kutua kwa mahelkopita huko Igunga kwa ajili ya kutumika katika mikutano ya kampeni. TBC1 walionyesha helkopita ya CCM ikitua na Makamba akapokelewa na Mwigulu na watu wengine. Kisha ikaonyeshwa kwa UFUPI SANA Mwigulu akihutubia na kisha makamba akasikika akisema maneno mawili matatu tu basi. Pia TBC1 haikuonyesha UMATI wa watu ambao hao viongozi wa CCM walikuwa wakihutubia!! Kwa kifupi coverage kwa CCM ilikuwa kidogo sana.

Kisha nikashuhudia coverage ya CHADEMA. Walianza kuonyesha helkopita ikiwa angani na maneno CHADEMA yakionekana, kisha wakaionyesha helkopita ikiwa eneo fulani ambalo naamini ni kituo cha mafuta ikiwa inakunywa mafuta. Baada ya hapo helkopita ya CHADEMA ikaonyeshwa ikitua huko Nkinga na Mwenyekiti wao akashuka na kuhutubia. Kinyume na walivyo cover hotuba ya CCM, hapa Mbowe alipewa muda mreeefu akihutubia kuhusu mambo ya siasa na dini na wakati huohuo TBC1 ikionyesha umati wa watu ambao Mbowe alikuwa akihutubia. Baada ya hotuba TBC1 walionyesha helkpita ya CHADEMA ikituka kuondoka eneo la mkutano.

Kwangu mimi naona TBC1 hawakuitendea haki CCM kwa kuipa coverage kidogo sana hasa juu ya helkopita ambayo imegeuka kuwa ni kete ya kisiasa huko Igunga. Pia TBC1 hawakumuonyesha mpambanaji Magufuli wakati akiunguruma huko Igunga.

Acha uongo wewe! Me nimeona taarifa na ccm wamepewa air time yakutosha tu sema watu walikuwa wachache! Ungeangalia ITV ungethibitisha maneno yangu!
 
Mimi sijaongelea utafiti huo uliofanywa sijui na akina nani. Mimi nimesema yaliyojiri jana na facts za jana ndizo hizo. Kwqa maana hiyo unnataka niseme kwa jana TBC1 iliipendelea CHADEMA ila kwa ujumla huwa TBC1 inaipendelea CCM au?

Exactly. Na kwa msingi huo nasuspect hata motive behind ya TBC kufanya hivyo jana. Probably explanation mojawapo ya tukio la jana ni kua Inawezekana TBC wanajishaua kuondoa hisia za hatia zinazowatafuna mioyoni mwao kwa upendeleo.
 
kila siku hbr zao ni za magamba, jana kwa mara ya kwanza ndo nimesikia hbr za cdm, cjackia za cuf.

Kama wmeshindwa kutumia mali za umma kwa kuhabarisha, tutawatoa wote siku umma ukishika hatamu

Mkuu inashangaza na ndio maana nasuspect hata nia ya TBC kuwaonesha chadema kwa mapana hivyo jana. Siku zao zinahesabika hawa.
 
Hilo la jana lisikupe shida sana mkuu,kama haukuridhika juu ya ccm kutokuoneshwa si ungebadilisha stesheni ili upate unachokitaka? Sio kulalamika tu while unajua wazi kua Tbc1 wanaipendelea zaidi ccm na hilo lipo wazi
 
Back
Top Bottom