TBC yadanganya, hatua stahiki zichukuliwe

TBC yadanganya, hatua stahiki zichukuliwe

TBC nimebakiza kipindi kimoja tu cha origino comedy ndicho huwa naangalia.
 
Kwa zama hizi kwa mashirika kama TBC si vyanzo vizuri vya habari.Tukumbuke yaliyomkuta Tido.
 
ingekuwa vizuri kama hiyo video ingepatikana whasap! Ili isambae kwa watu wengi zaidi waishuhudie.
 
hivi ni vithibitisho halisi kuwa hii station ya taifa imekuwa ni station ya ccm,cha msingi ni kuwaacha ccm weneyewe waangalie mpaka tutakapochukua serikali na kusafisha hawa wataalamu wajinga wasiojitambua na wasiojua tafsiri ya taifa na chama
 
Sasa jee kwa yale ambayo hatuyaoni moja kwa moja tuna sababu gani ya kuwaamini? Hiyo inadhibitisha kuwa habari zao zote ni uongo. Sasa chombo cha habari cha taifa kutambulika kama WAONGO ni aibu kubwa sana.
 
Habari wana JF,

Naanza na swali: Je, ni halali kwa televisheni ya taifa (TBC) kutangaza habari kwa kupotosha?

Hii imetokea leo katika uchambuzi wa magazeti kwani mtangazaji aliyekuwa akisoma magazeti anasoma habari ambayo haikupewa uzito wa juu na kuiacha kabisa habari iliyopewa uzito wa juu kisa inamzungumzia Lowassa. Je, huku si kukiuka kanuni za huduma ya utangazaji (maudhui) ya mwaka 2005?

Tizama mwenyewe hapa:

Kanuni ya 6(2) inasomeka hivi: Kila mwenye leseni ni lazima ahakikishe anatoa taarifa kwa usahihi na uhakika; anaripoti habari bila upendeleo na kuzingatia mizani, bila kukusudia au kuondoka katika ukweli, ama kwa kuvuruga au kwa kutoa taarifa zisizo sahihi.

Ni majuzi tu Mamlaka ya Mawasiliano TCRA imekichukulia hatua za kinidhamu kituo cha ITV kwa kuripoti habari zisizo na uhakika.

Hivyo kwa kuwa sharia ni msumeno basi na TBC nayo iadhibiwe kwa hili. La sivyo tutakuwa tuna double standards.

Naomba kuwasilisha.

Dah! Ingekuwa Radio ingeeleweka, lakini uko kwenye TV msikilizaji wako anaona na wewe unasema uongo! Funny
 
Last edited by a moderator:
Kweli kabisa hata mm niliiona inakuaje hii televisheni ya taifa inakua kama mtu/kikundi fulani au ndio maelekezo lkn mnaumbuka waziwazi!
 
Habari wana JF,

Naanza na swali: Je, ni halali kwa televisheni ya taifa (TBC) kutangaza habari kwa kupotosha?

Hii imetokea leo katika uchambuzi wa magazeti kwani mtangazaji aliyekuwa akisoma magazeti anasoma habari ambayo haikupewa uzito wa juu na kuiacha kabisa habari iliyopewa uzito wa juu kisa inamzungumzia Lowassa. Je, huku si kukiuka kanuni za huduma ya utangazaji (maudhui) ya mwaka 2005?

Tizama mwenyewe hapa:

Kanuni ya 6(2) inasomeka hivi: Kila mwenye leseni ni lazima ahakikishe anatoa taarifa kwa usahihi na uhakika; anaripoti habari bila upendeleo na kuzingatia mizani, bila kukusudia au kuondoka katika ukweli, ama kwa kuvuruga au kwa kutoa taarifa zisizo sahihi.

Ni majuzi tu Mamlaka ya Mawasiliano TCRA imekichukulia hatua za kinidhamu kituo cha ITV kwa kuripoti habari zisizo na uhakika.

Hivyo kwa kuwa sharia ni msumeno basi na TBC nayo iadhibiwe kwa hili. La sivyo tutakuwa tuna double standards.

Naomba kuwasilisha.


Hivi katika zama hizi kuna watu bado waangalia TBC? Mbona ilishasahaulika kitambo? Sijawahi kumkuta mtu yupo nyumbani kwake au kaka ofisini kwake anaangalia TBC. Mara ya mwisho niliiona hiyo chanel pale Lumumba mwaka 2005. Pole mkuu ingawa binafsi siamini kama bado TBC ipo.
 
Last edited by a moderator:
Habari wana JF,

Naanza na swali: Je, ni halali kwa televisheni ya taifa (TBC) kutangaza habari kwa kupotosha?

Hii imetokea leo katika uchambuzi wa magazeti kwani mtangazaji aliyekuwa akisoma magazeti anasoma habari ambayo haikupewa uzito wa juu na kuiacha kabisa habari iliyopewa uzito wa juu kisa inamzungumzia Lowassa. Je, huku si kukiuka kanuni za huduma ya utangazaji (maudhui) ya mwaka 2005?

Tizama mwenyewe hapa:

Kanuni ya 6(2) inasomeka hivi: Kila mwenye leseni ni lazima ahakikishe anatoa taarifa kwa usahihi na uhakika; anaripoti habari bila upendeleo na kuzingatia mizani, bila kukusudia au kuondoka katika ukweli, ama kwa kuvuruga au kwa kutoa taarifa zisizo sahihi.

Ni majuzi tu Mamlaka ya Mawasiliano TCRA imekichukulia hatua za kinidhamu kituo cha ITV kwa kuripoti habari zisizo na uhakika.

Hivyo kwa kuwa sharia ni msumeno basi na TBC nayo iadhibiwe kwa hili. La sivyo tutakuwa tuna double standards.

Naomba kuwasilisha.


Hivi katika zama hizi kuna mtu/watu bado wanaangalia TBC? Sijawahi kumkuta mtu amekaa nyumbani/ofisini akiangalia TBC. Mara ya mwisho kuona hiyo channel ilikuwa pale Lumumba mwaka 2005. Pole mkuu ingawa binafsi siamini kama bado hiyo chanel ipo.
 
Last edited by a moderator:
Habari wana JF,

Naanza na swali: Je, ni halali kwa televisheni ya taifa (TBC) kutangaza habari kwa kupotosha?

Hii imetokea leo katika uchambuzi wa magazeti kwani mtangazaji aliyekuwa akisoma magazeti anasoma habari ambayo haikupewa uzito wa juu na kuiacha kabisa habari iliyopewa uzito wa juu kisa inamzungumzia Lowassa. Je, huku si kukiuka kanuni za huduma ya utangazaji (maudhui) ya mwaka 2005?

Tizama mwenyewe hapa:

Kanuni ya 6(2) inasomeka hivi: Kila mwenye leseni ni lazima ahakikishe anatoa taarifa kwa usahihi na uhakika; anaripoti habari bila upendeleo na kuzingatia mizani, bila kukusudia au kuondoka katika ukweli, ama kwa kuvuruga au kwa kutoa taarifa zisizo sahihi.

Ni majuzi tu Mamlaka ya Mawasiliano TCRA imekichukulia hatua za kinidhamu kituo cha ITV kwa kuripoti habari zisizo na uhakika.

Hivyo kwa kuwa sharia ni msumeno basi na TBC nayo iadhibiwe kwa hili. La sivyo tutakuwa tuna double standards.

Naomba kuwasilisha.


Hivi katika zama hizi kuna mtu/watu bado wanaangalia TBC? Sijawahi kumkuta mtu amekaa nyumbani/ofisini akiangalia TBC. Mara ya mwisho kuona hiyo channel ilikuwa pale Lumumba mwaka 2005. Pole mkuu ingawa binafsi siamini kama bado hiyo chanel ipo.
 
Last edited by a moderator:
Mtoa mada hongera sana kwa kuliona hili. Nimeangalia na kurudia, nikaishia kucheka tu. Kweli hatua sahihi zichukuliwe. Kama hawataki basi wasikutusomee habari za magati kabisa.
 
TCRA Kwa Hili Tuko Makini Kuona Jumatatu Tunaona Hatua Zinachukuliwa Haraka Sana
Hujuma Za Kipuuzi Hizi Hazikubaliki
 
Kitaaluma ya uandishi habari inayopewa uzito ni ile yenye maandishi makubwa na yaliyokolezwa rangi. Kwa gazeti yanakuwa juu katika ukurasa wa mbele na wala sio unaofuata.

Huyo mama ambaye anasoma hayo magazeti lazima atakuwa na matatizo makubwa sana, na wala hajitambui kabisa. Kwanza kuna habari nyingine nahisi ametunga hapo kwani haiwezekani uvute sana kutafuta maneno wakati unasoma kiswahili.

Hiki ndio chombo ambacho kilitakiwa kwa mujibu wa muswaada wa media kutumia media outlets nyingine kutoa habari zenye maslahi ya Taifa, hivi Taifa ni CCM au wananchi?
 
HII NI TELEVISION YA TAIFA NA INAENDESHWA KWA KODI ZA WATANZANIA.. SASA INAKUWAJE INATUMIKA NA CCM??? HAYA NI MATUMIZI MABAYA YA VYOMBO VYA UMMA..

TUNAKATWA KODI KILA KUKICHA PESA YETU INAKWENDA KWEYE UPUUZIIII .HII TV BORA IFUTWEEEE NA JINA LIBADILISHWE.... MAANA ISHAKUWA NUKSI SASA....

:A S confused::A S confused:

Ndo wanazidi kuchochea moto Wa transformation bila kujijua
 
Sasa TBC si wawe wanachagua mapema gazeti la kusoma kuepuka aibu hii? Off course kuna siku watasema magazeti hayajafika... Kodi zetu hizo, wao hawajui.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom