TBC yadanganya, hatua stahiki zichukuliwe

TBC yadanganya, hatua stahiki zichukuliwe

Nataman kesho magezet yote yawa na kichwa kimoja cha hbr kurasa za mbele na vijitangazo vidogo kurasa za mbele tuwaone sasa watasoma matangazo au itakuwaje??
Kama hampendi kaleni malimao jmn
 
Halafu hivi ni kweli TBC hawajui wanachohutawasikilizaji wao? Inakuwaje gazeti linalosomwa na watu went I kama MWANANCHI hawalusomi? Huwa wemekuwa wakisoma magazeti machache mno nadhani ingekuwa bora kama wangeacha kabisa. Eti halafu wanatumia lugha magazeti yaliyotufikia!
 
Nina mwaka mzima sijawahi kuangalia Taarifa ya habari ya TBC1, maana habari zao mara nyingi ni za kikoloni mno yaani zinazochuja mabaya ya serikali na kubuni mazuri.

Hiki hakiwezi kuwa chombo cha habari na sijui wanaoangalia wakoje au ndio hawa ambao hawajui kuwa viongozi wa serikali ni wala rushwa na mafisadi wa kutupwa.
 
Naomba mnikumbushe hivi tbc inapatika chanel namba ngapi kwenye kisimbusi cha azam..?
 
Tido mandão alifukuzwa kazi kwa kuwa fair on elections za 2010 ,Je unadhani nani anataka kufukuzwa kazi kipindi hiki,ukizingatia Serikali Imefeli kukuza uchumi,Ajira Hamna so hiyo ya TBC imekuwa ajira Lulu hamna mtangazaji wa TBC atakayetoa taarifa za UKAWA
 
Halafu magazeti yenyewe anachambua kana kwamba ndiye yeye pekee aliyonayo hapa studio.

Hawajui kuwa wanakuwa wanachambua magazeti studio na wakati huohuo raia nao wanakuwa wanayasoma!
 
Hahaaaaaa,hii aibu!Tcra kimbieni na hapa muwaambie waombe radhi kwa siku mbili mfululizo!
 
dah kwel tbccm hovyooo,,ss cjui msomaji alkua hajui km kamera inamulika pale
 
Kwa taarifa yake magazeti ktk siki hizi yataandika sana habari za Lowasa
 
Kwa kweli tulipofikia kama Taifa inaisha. Kama kunakuwa na upendeleo huu wa wazi kabisa, je haki itatendeka huko tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu?
 
Naitetea TBC hivi :ile ni television, siyo redio. Kwenye television tunaona na kusikia. Yaani tunapata habari kwa njia ya kuona na kwa njia ya kusikiliza kwa wakati huo huo tofauti na redio ambapotunapata hhabari kwa kusikiliza tu. Kama mtangazaji kasoma kichwa cha habari ambacho hakijapewa uzito wa juu basimmtangazaji huyo anastahili pongezi kwani amejua kichwa cha habari kikuu cha gazeti husika ni rahisi kuonekana kwa watazamaji hivyo bora ajikite kwenye Kichwa cha habari ambacho hakijapewa uzito wa juu na ambacho kinaweza kuwa nishida kuonekana kwa watazamaji.
Kama TBC ingekuwa ni redio basi hukumu yangu ingekuwa tofauti kabisa.
 
After october kutakua na major overhaul kwenye mashirika ya uma kama haya,haswa ili la tbc,aibu hii,mkurugenzi umeabishwa na raisi mumemuaibisha,viva ukawa,
 
HII NI TELEVISION YA TAIFA NA INAENDESHWA KWA KODI ZA WATANZANIA.. SASA INAKUWAJE INATUMIKA NA CCM??? HAYA NI MATUMIZI MABAYA YA VYOMBO VYA UMMA..

TUNAKATWA KODI KILA KUKICHA PESA YETU INAKWENDA KWEYE UPUUZIIII .HII TV BORA IFUTWEEEE NA JINA LIBADILISHWE.... MAANA ISHAKUWA NUKSI SASA....

:A S confused::A S confused:
 
Nadhani TBC wasilaumiwe hapa. Wanatuma meseji kwa watazamaji. Walijua kuwa vichwa vya magazeti vinaonekana na wao hawavidomi kama vilivyo. Hawajafanya makosa kwa hilo. Nina mashaka wengi humu hawajasoma fasihi. Itabidi mtafsiri zaidi ya kusikiliza maneno ya mtangazaji. Mimi ningekuwa afisa wa serikali ningemwajibisha msomaji. Kuna ujumbe anatuma kijanja. Kazi kwenu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom