Tbc1 walichokifanya no aibu sibora wapeleke mitambo yao Lumumba tujue kuwa ni yachama kuliko kutumia majengo ya serikali kwa manufaa ya chama cha ccm
Wana JF,
Ni kwa kawaida ya serikali kufanya mabadiliko au kuwafukuza wafanyazi wake wenye weledi pindi wakionyesha weledi wao katika kazi kwa ubora wao, lakini huku wanakumbana na shinikizo nyingi kutoka serikalini, kama vile kupindisha habari, kukuza habari zisizo habari na kudanganya ikitokea , watangazaji, wanahabari waratibu wa habari huwa wana wakati mgumu wa kufukuzwa kazi kipindi cha uchaguzi ikiwa wataenda tofauti na maelekezo ya kutoka kitengo.
My Take.
Hatujui safari hii watamfukuza nani maana lowasa ndio katawala media, huku nyuma yake wakuu wa nchi wakisema huo ni moto wa mabua utazima, tu, hayo ni makapi yatakauka tu.
Wana JF,
Ni kwa kawaida ya serikali kufanya mabadiliko au kuwafukuza wafanyazi wake wenye weledi pindi wakionyesha weledi wao katika kazi kwa ubora wao, lakini huku wanakumbana na shinikizo nyingi kutoka serikalini, kama vile kupindisha habari, kukuza habari zisizo habari na kudanganya ikitokea , watangazaji, wanahabari waratibu wa habari huwa wana wakati mgumu wa kufukuzwa kazi kipindi cha uchaguzi ikiwa wataenda tofauti na maelekezo ya kutoka kitengo.
My Take.
Hatujui safari hii watamfukuza nani maana lowasa ndio katawala media, huku nyuma yake wakuu wa nchi wakisema huo ni moto wa mabua utazima, tu, hayo ni makapi yatakauka tu.
Ndo maana tumejiandaa kufanya mabadiliko october