TBC yadanganya, hatua stahiki zichukuliwe

TBC yadanganya, hatua stahiki zichukuliwe

Hii ni aibu kwa hiki kituo cha utangazaji....
 
Kwakweli nmeishiwa mbavu sio kwamba nacheka me pia nmeshikwa na aibu kabisa hii sio media ya serikali ni ya chama sasa ngoja tuwafundishe adabu na wote watoke hapo waajiriwe watu wengine kabisa
 
Tena bila aibu anasema kabisa "habar iliyopewa kipaumbele" huku habar iliyopewa kipaumbele tena ikiwa na picha anaicha.
Daaaa wapi tunaekea????
Yanifanya nikumbuke kisa cha mbuni kujificha uso mwili upo wazi akizani haonekani.
 
Walimchakachua samweli sitta kwa kusema aliwaruhusu wapinzani bungeni...

Tiddo nae akachakachuliwa

Sasa hivi watamfukuza nape na kikwete mwenyewe
 
Walimchakachua samweli sitta kwa kusema aliwaruhusu wapinzani bungeni...

Tiddo nae akachakachuliwa

Sasa hivi watamfukuza nape na kikwete mwenyewe
umenikumbusha mbali hata sita walichachua kwa kuruhusu upinzani kusababisha wapangue baraza la mawaziri mara kadhaa, Richmond na EPA zilishika kasi.
 
Swali, Nani wa kumfunga kamba kengele? Kesi ya Mbuzi na Fisi utampelekea Chui awe hakimu?
 
Mie naona kama TBCCM ina umwa ugonjwa wa " #UNYAFUZI "
kwani kwa mtu ambaye haja jitoa utimamu hawez kufanya hicho
walichokifnya kwenye usomaji wa magazeti hayo.
nashukuru sana kwa uwepo wa vyombo vya habari (redio, magazeti, blogs, t.v)
za vyombo binafsi hapa nchini.
 
Wamiliki wa haya magazeti waifungulie tbc kesi yakushusha mapato yao kwa kushindwa kusoma habari zao kuu.. Na kama itashindikiana sioni umuhimu wa haya magazeti kuendelea kufanya kazi na tbc.
 
Hii kweli ni television ya taifa inabagua habari namna iyo ni bora ibadilishwe jina tu
 
Mimi ameniacha hoi pale anaposema; "Habari zilizopewa uzito wa juu..."!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom