Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Wakati wa Utawala wa Magufuli ilikuwa ni kawaida kuyasikia TBC wakimtangaza Mtawala Muda wote Alipo na kutoisikia TBC ikitangaza habari na matukio ya vyama vya Upinzani Watanzania.
Hatukushangaa kwani amri ilikuwa ya Magufuli tu, leo tupo Awamu ya 6 bado TBC wanaendelea na Kutokutangaza Habari na matukio ya vyama vya upinzani.
Je, kuna ugomvi au ni agizo la mtawala?
TBC ni chombo cha umma kinaendeshwa kwa kodi za Watanzania Wote bila kujali Vyama vyao.
Tafadhali kitende HAKI kwa vyama vyote
Hatukushangaa kwani amri ilikuwa ya Magufuli tu, leo tupo Awamu ya 6 bado TBC wanaendelea na Kutokutangaza Habari na matukio ya vyama vya upinzani.
Je, kuna ugomvi au ni agizo la mtawala?
TBC ni chombo cha umma kinaendeshwa kwa kodi za Watanzania Wote bila kujali Vyama vyao.
Tafadhali kitende HAKI kwa vyama vyote