Riziki Magembe
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 886
- 206
mwisho wake tbc ccm mwakani octoba
TBCCM ni janga la Taifa, Mwakani CCM ikibwagwa wafanyakazi wote wafungashe virago tu. Ifungwe kwa muda wakati watawala wapya wanapanga safu zao. Halafu ndipo wakabidhi mitambo na ofisi na baadaye watafutwe wafanyakazi wapya wa kuendeleza gurudumu la maendeleo.
Mnajidai haimtazami TBC lakini utafiti unaonyesha nyie ndio watazamaji wakuu, kila mara mnakuja na malalamiko yasiyo na kichwa wa mguu humu!
Samahani kwani UKAWA hawana tv station???!.
Ulitaka kwenye hivyo vipindi vya asubuhi wahojiwe makada wa CHADEMA wasio na staha katika lugha zao? TBC ni chombo cha umma na kinalinda maslahi ya Umma, wengi wanaohojiwa sio tu ni makada wa CCM pia ni viongozi wa serikali. Sioni ubaya hapo!