Duh kumbe hili linagusa wengi, kwakweli TBC wanatuma kufanya kampeni za CCM kwenye mchakato wameenda mbali zaidi hata watu wanaojidai kuwahoji mitaani nao ni CCM. Kiukweli wanashindwa/kwa makusudi hawataki ku balance story. Hovyooo, tena bora yule cjui nani aliekuwepo mwanzoni kwenye kipindi cha jambo Dodoma alikuwa anahoji maswali ambayo CCM wanatakiwa kujibu.
Lakini huyu Mama ni kama sanamu kaletwa pale hana mbele wala nyuma, huu wizi wa kodi zetu kuna siku mtazilipa bila kupenda.
Wanajiona kuwa wao ni Wana CCM na kusjisahau kuwa wao ni Watanzania.