mafutamingi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,775
- 2,198
Na wewe ulienda kufanya nini TBC? Wenzako tulishatoka huko zamani!
Kama leo tbc taifa wamepata aibu ya mwaka kwa kukata matangazo live bungeni
Napenda kutoa angalizo kwa TANESCO wasije kuibeba falsafa hii ya TBC siku ya jumatatu
TBC ni ya umma na TANESCO pia fanyeni kazi kwa manufaa ya watanzania
Nadhani mtawalaumu tu TBC
(ijapo siipendi pia) kwani inaonyesha wao wanapokea maelekezo kuwa muda
huu watoke hewani nk! Maana kabala ya TBC1 kutoka hewani, tayari Star Tv
ambao nao wanarusha matangazo haya ya BMK walijiondoa hewani wakti Rev
Msigwa akiongea...yakuwa wanalazimika kutoka hewani kutokana na sababu
zilizo nje ya uwezo wao! Hii nikuonyesha mpango mahususi uliopikwa na
wapikaji ya taarifa gani zisiende kwa umma!
Wanaotengeneza hizi propaganda, wanashindwa kuelewa kuwa wanawapandisha
hasira wananchi wengi wanaofuatilia hili bunge kwa kushuhudia upuuzi
wao, tazama Lissu kuondolewa hewani leo, jana Mbatia akiwa anaongea
(kama Lissu leo)...umeme ulikatwa karibu nchi nzima!
umeongea point nzuri sana!hawa wafanyakaji wanapokea oda na wakisema wakatae wataenda wapi maskini,ila watanzania sio wajinga tena
Wameahaidiwa vyeo vya ukuu wa
wilaya (vyeo ambavyo hata kichaa anaweza kuteuliwa). Huyu aliyekata
matangazo leo mtamsikia kesho anazawadiwa ukuu wa wilaya.
Wadau wenzangu habari.nashangaa sana hiitelevision ya taifa kwa kuzimamatangazo yanayoendelea katika bunge la katiba.hebu tuliangalie hili kwa kina imepelekea hadi bunge kuahirishwa hadi siku ya jumatatu.
Ulitaka kwenye hivyo vipindi vya asubuhi wahojiwe makada wa CHADEMA wasio na staha katika lugha zao? TBC ni chombo cha umma na kinalinda maslahi ya Umma, wengi wanaohojiwa sio tu ni makada wa CCM pia ni viongozi wa serikali. Sioni ubaya hapo!
Pana msemo usemao "ukisangaa ya Musa utaona ya Firauni". Kesho si ajabu umeme kukatwa wakati huo.Wadau wenzangu habari.nashangaa sana hiitelevision ya taifa kwa kuzimamatangazo yanayoendelea katika bunge la katiba.hebu tuliangalie hili kwa kina imepelekea hadi bunge kuahirishwa hadi siku ya jumatatu.
Kwanini nyie wana ukwata msiipige Bomu Kama Soweto mwambie lema akusaidie
Mshauri Chemba coz ndiye aliye mastermind la Soweto.Kwanini nyie wana ukwata msiipige Bomu Kama Soweto mwambie lema akusaidie