TBC Mnakera sana!

TBC Mnakera sana!

iki ki TBC hakina maana tena.na waandishi wake nao wachovu.wamezeeka hawana jipya.
 
Ulitaka kwenye hivyo vipindi vya asubuhi wahojiwe makada wa CHADEMA wasio na staha katika lugha zao? TBC ni chombo cha umma na kinalinda maslahi ya Umma, wengi wanaohojiwa sio tu ni makada wa CCM pia ni viongozi wa serikali. Sioni ubaya hapo!
Unajua hata km unaitwyea ccm embu tumia akili kidogo..ni sawa kumkata mtu km prof kabudi akiongea maswala kitaalamu na kuweka taarabu..!?
 
nimeshuhudia na nimeamini tbc ni habari za serikali na sio wamanchi,au kero za wananchi wao ni kuongozana na ozi wa sirikali
wanasoma habari hata picha hawaungi bwana
 
Mtangazaji Na Mkurugenzi Wa Tbc Orgino Alikuwa Tildo Bwana, Hata Mimi Nilifikia Mahali Kukaa Baa Kama Nipo Njiani Nisikilize Taarifa Ya Habari.MH. RAIS TUNAKUOMBA UMREJESHE TILDO MHANDO ILI NAMI NIWEKE CHANEL YA TBC MAANA NILISHAIFUTAGA SK NYINGI TANGU AONDOKE TBC TIDO MHANDO,
 
Back
Top Bottom