TBC Mnakera sana!

TBC Mnakera sana!

Jela hiyooo inakuita si unajua pale tbc wanalinda ffu wewe nenda tu mwenzio akah maana yalionikutaga pale kariakoo siku ya fujo ya waislam mmhm acha tu .
 
Nilipokuwa darasani, mhadhiri wangu mmoja alisema, "Penda kusikia na kuelewa kile usichokiamini wala kukipenda ili uwe na sababu za kutosha za uamuzi wako huo!" Badala ya kukata matangazo TBCI lazima wafahamu kuwa sisi wananchi tunataka kusikia hoja za pande zote ili tuwe na sababu za kutosha za maamuzi yetu , hata ikibidi kuyabadilisha kulinganisha na hoja!
 
Nimeshituka sana leo wakati Tundu Lissu anawasilisha maoni ya wachache wakakatisha matangazo, wakaweka hotuba ya Jk, baada ya Lissu kumaliza ndo wakajiunga tena wakati huo mwenyekiti alikuwa ndo anaahirisha Bunge. Nmewashangaa sana!
 
Akina Marin Hassan wamevimbiana mashavu pale TBC ila wanchokifanya ni ma.vi tu
pum.Baf.
 
TBC ni wapumbavu sana, walipoona Tundu Lisu leo asubuhi anawatoa watu tongotongo wakakata live broadcasting wakaweka hotuba ya kikwete alipoalikwa bungeni, Tundu Lisu alipomaliza tuu wakarudisha bunge na samweli 6 akamaliza bunge.
 
kwanini TBC wanatuudhi kiasi hiki Watanzania wenzangu??? TELEVISION nyingine mko wapi mtuokoe na hili JANGA??

Naamini TBC ni kituo PEKEE cha televisheni kilichopewa ruhusa ya kuweka camera ndani ya ukumbi wa bunge, wakati televisheni zingine wameambiwa wachukue picha kutoka TBC. Kwa maana hiyo, serikali imetumia mamlaka yake kuzuia uhuru wa wananchi kupata habari! Kila ikifika mahali serikali inachomwa bungeni, basi TBC watazima mitambo yao ili tusijue nini kinaendelea bungeni!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Wakati Channel Ten wanaonyesha madhara ya mvua Dar, Tbc ambayo ni Tv ya taifa hawana mpango, kwa raha zao wanaonyesha umbea. Tukifanyeje hiki kituo??? Ujinga mtupu. Nimechukia.
 
Kuanzia leo nimejifunza somo kuwa kuangalia TBC - CCM ni sawa na kuendekeza "michepuko!".....Lakini hawa wash......wanatulazimisha kuchepuka kwa sababu sijui wanahodhi haki ya kurusha matangazo ya moja kwa moja ya Bunge Maalumu la Katiba au vipi!??
 
Kibo10
===>Ukimuona mtu anaipenda na kuifurahia CCM na mambo yake ujue akili yake ina matatizo.
 
Last edited by a moderator:
Wakati Channel Ten wanaonyesha madhara ya mvua Dar, Tbc ambayo ni Tv ya taifa hawana mpango, kwa raha zao wanaonyesha umbea. Tukifanyeje hiki kituo??? Ujinga mtupu. Nimechukia.

Bado mnaitegemea tbc iwape habari?
 
Upumbavu kama huu ndio ulio7bisha mauaji ya kimbari kule Rwanda. Iko siku tutakamata mapanga na kuwashughulika hawa WANGESE wanaotunyima habari kwa makusudi.
 
Chanel ten wako juu. Huwezi kuwalinganisha na TBC. Makwaia ndo tu anawaangusha!
 
Wanafaa kuondolewa na tccra


TCCRA ni wapu - - - v u tena wa s---

hao ndo usiwategemee kabisa!
Shida tunazopata za kubaniwa bandwith na ISP wao wamekaa tu wanatungua mimacho

wantuangalia tunavyo download kwa 98kb/s
p u - - - v u zao !
 
Naangalia tu Kwasababu Ya Bunge otherwise siwapendi
 
wakati channel ten wanaonyesha madhara ya mvua dar, tbc ambayo ni tv ya taifa hawana mpango, kwa raha zao wanaonyesha umbea. Tukifanyeje hiki kituo??? Ujinga mtupu. Nimechukia.

yaani tbc ni inakera sanaa sijui kuna kamdudu gani mule ndani,maana matukio yayoendelea kwa sasa ni makubwa ila wao wapo na chereko muda wote,bongo flava ndani ya tbc duuh...channel 10 baada ya taarifa ya saa moja usiku wakawa na kipindi maalum kuhusu mafuriko jijini dar es salaam licha ya kuonyesha na sehemu zingine zilivyo haribiwa na mafuriko tbc imepoteza dira na pia tbc inahuju wananchi watanzania kutopata taarifa yakinifu. Inakera sana
 
Back
Top Bottom