Teh teh teh Wanajikopa wenyewe ndo tatizo lao wamesahau kabisa sasa hivi hata kukilisha chombo chao cha propaganda, unajua ATC pia ilikuwa hivihivi walijikopa mpaka imekufa yaani inakuwa na -ve budget kiasi kwamba inachujkua muda kuirudisha kwenye +ve umesikia walipewa kiasi gani? huwezi amini ni zilitosha umeme tu, Umesikia hiyo tanesco yenyewe? Hoi bin taabani ya leo ya kesho! Sijui DAWASCO labda wao wana nafuu, Bima ndio haoooooo sijui hata kama mazishi yalisha fanyioka, nani tena....Haitafungwa abadan kwa vile serikali lazima ibaki na chombo cha propaganda!
ndio maana!!!!!!!!!!!!!!!!Fungeni hiyo TBC haina faida kwa watanzania walio wengi, hiyo ni mali ya CCM na vibaraka wake.
CCM inakufa na vyombo vyake vya habari!
Mungu ibariki tz,mungu ibariki tbc
Vp jamaa zetu wa ''HUNILIPI SIKULIPI'', ''UMEFULIAAAA......'', ''PIGA CHINI''