Siungi mkono TBC ikifungwa coz nahurumia wafanyakazi na familia zao zitazoaffectika kwa redundacy!!!
Vp jamaa zetu wa ''HUNILIPI SIKULIPI'', ''UMEFULIAAAA......'', ''PIGA CHINI''
bora ifungwe ili ccm wafungue tv yao wenyewe..maana msaada wao umekuwa wa kichama zaidi badala ya kutoa habari bila biase kwa wa tz.ikifungwa nitafurahi sana binafsi