TBC journalist Jerry Muro held over alleged graft

TBC journalist Jerry Muro held over alleged graft

Nani sasa anashughulikia,polisi,TAKUKURU au Waziri mkuu mwenyewe?

keep wondering my dear sisy!!!!!!!!!

yapo mengi ya kushangaaa kwenye hili!!

BTW: hongera kwa kumpindua ZD kwa iribini!!!
 
kuna kila dalili ya kufanya tusifikiri wala kuhoji mambo mengine ya msingi, jambo lipo polisi tusubiri wafanye uchunguzi wao sio chombo kama bunge kuingilia
 
risiti hutengenezwa mtaani tu....tusubiri zithibitishwe then tuanze kuhoji
mkuu ndio maana nikarudi nyuma kumnukuu jerry muro kwamba anamiliki hivi vitu miaka minne sasa huku risiti iliopatikana inaonesha alinunua pingu may 20 2008.je kuanzia may 20 2008 mpaka leo miaka minne imefika?

labda mie nilimsikia vibaya.
 
Mnafikiri Polisi watafanya uchunguzi huru hapo?
Tunaomba iundwe Tume tumechoka ifanye kazi mtasikia tu imeundwa wanakula 100mil.
 
Nitashukuru kama Pinda atatekeleza analichokisema,sio aishie kusema tu halafu asilitekeleze.
 
hapa tutakaa tunaumiza vichwa vyetu bure kitendawili tega majibu wanayo wenyewe wahusika ..

kama mwizi akikamatwa anafungwa mashati au kamba ndo afikishwe police basi ni haki yake kujimilikisha pingu kiuhalali 😉
 
"MIMI KAMA KAMANDA KOVA, NINASEMA HIZI RISITI ALIZOTULETEA LEO ASUBUHI BWANA JERRY NI FEKI, SIO HALALI; KUTOKANA NA HILO BASI HIZI RISITI TUMEZIPELEKA KWA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI KWA UCHUNGUZI ZAIDI",
hahaha
hahaha
lazima kova apige hizo, unadhani atasema nini tena zaidi ya hilo! NONE SENSE KOVA
 
tunaomba tu kijana wa watu asipotee ktk mazingira ya kutatanisha
 
Bunge la jamhuri ya muungano wa tanganyika na zanzibar limeambiwa leo hii na waziri mkuu wake mh pinda
swala la jerry muro wameomba watashugulikia kwa umakini zaii na haraka zaidi huku riport ikiwa wazi kwa kila mtanzania...

Kazi kubwa hongera jerry hata ukifa leo umeingia kwenye
kumbukumbu ya hoja za bunge kukujadili;ilikuwa patashika walipoanza kumjadili....
Kila la kheri haki itaonekana br kuwa mpole

Heading yako na story havina link.

Pinda atangaza kulishughulikia swala J.muro haraka iwezekanavyo: twajua kuwa yeye ni waziri mkuu vipi yeye kama PM atashughulikia haraka iwezekanavyo??????

Lakini story yako inaendelea kuwa swala la jerry muro wameomba watashughulikia haraka zaidi huku ripoti ikiwa wazi kwa kila mtanzania. wakina nani wameomba, kwa nini waombe?????

hebu fafanua.
 
hapa tutakaa tunaumiza vichwa vyetu bure kitendawili tega majibu wanayo wenyewe wahusika ..

kama mwizi akikamatwa anafungwa mashati au kamba ndo afikishwe police basi ni haki yake kujimilikisha pingu kiuhalali 😉
kinacho tuumizwa kichwa ni kuona kamanda wetu wa polisi hajui sheria za nchi.lazima uogope hapo lol.
 
Wadau habari sana,
Tangu tukio la kukamatwa kwa mwandishi wa habari za uchunguzi JM mambo mengi yamejitokeza na yanaendelea kujitokeza, Lakini kikubwa ambacho nimevutiwa nacho ni kugundua kuwa raia anaruhusiwa kumiliki pingu, sasa wakuu naombeni mnifahamishe taratibu gani nifuate ili ikiwezekana niweze kuwa namiliki pingu.
 
kinacho tuumizwa kichwa ni kuona kamanda wetu wa polisi hajui sheria za nchi.lazima uogope hapo lol.

Hahaha alisimama mbele ya mapaparazi na kitabu cha sheria pale kama hakimu eti akipatikana na hatia jela miaka 5.
 
nenda pale duka la silaha upanga au askari movement utapata taratibu zote mkuu
 
"MIMI KAMANDA KOVA, NATAMKA KUWA RISITI ALIZOLETA BWANA JERRY LEO ASUBUHI NI FEKI, NA TUMEZIPELEKA KWA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI KWA UCHUNGUZI ZAIDI"
hivyo ndivyo ambavyo tunategemea kova aseme leo manake hana cha zaidi cha kusema!
ni uongo uongo uongo mpaka mwisho..
toka lini wahalifu wakafanyiwa press conference kuwatambulisha kwenye media kana kwamba kova yupo sure kwamba wale ni wahalifu? if so, mwanasheria mkuu atafanya nini sasa wakati kova amesha conclude tayari!
i doubt about the I.Q of kamanda kova!!!
 
Ni udhaifu Mkubwa sana huu. Kwa wanamaombi mzidi kuomba(Wamsikitini waende na wa makanisani nao pia) maana hali ya NCHI yetu si njema sana.

Tunayo mambo mengi sana ya kujadili Bungeni, inapofikia twaleta mambo ya Police Bungeni ujue kuna tatizo kubwa kwenye System.

Jerry Muro Pole lakini yatakwisha tu hayo, kama huna hatia watakurudia kwa aibu kuomba msamaha kwa kuwa uchunguzi unaendelea hatutakusemea sana. Mungu tusaidie sana ili busara na hekima yako itumike kwenye suala hili la Jerry Muro.

Gofu
 
"MIMI KAMA KAMANDA KOVA, NINASEMA HIZI RISITI ALIZOTULETEA LEO ASUBUHI BWANA JERRY NI FEKI, SIO HALALI; KUTOKANA NA HILO BASI HIZI RISITI TUMEZIPELEKA KWA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI KWA UCHUNGUZI ZAIDI",
hahaha
hahaha
lazima kova apige hizo, unadhani atasema nini tena zaidi ya hilo! NONE SENSE KOVA
 
Pinda mwachie Kaizari yaliyo ya Kaizari..Kwanza tunaomba mrejesho wa mafuriko ya Same, Kilosa na Iringa. Au idara ya maafa haijakupa bado?
 
Back
Top Bottom