TBC journalist Jerry Muro held over alleged graft

TBC journalist Jerry Muro held over alleged graft

Na wage naye atueleze kwa nini alikuwa tayari kutoa hizo mill 10 kwa Jerry. Tusijekuwa tunadeal na fisadi hapa. niliuliza tangu mwanzo ni kitu gani kilimfanya Wage akubali kutoa rushwa hiyo kwa Jerry?
 
.....Richmod imewashinda? ....kweli tunapenda mepesi mepesi sisi.....umbea umbea hivi!
 
Kova hajui (ama kasahau) wajibu wake....
Kuna mengi hayaelezwi katika sakata hili.
Hoping the truth will eventually unfold.
 
Na wage naye atueleze kwa nini alikuwa tayari kutoa hizo mill 10 kwa Jerry. Tusijekuwa tunadeal na fisadi hapa. niliuliza tangu mwanzo ni kitu gani kilimfanya Wage akubali kutoa rushwa hiyo kwa Jerry?

.....ina maana hujui mpaka sasa kama Wage ni Fisadi au laa?
 
Bunge lilishashindwa kila kitu sasa sijui hii wataifanya mazungumzo baada ya habari..
badala waongee mambo ya msingi sasa Jerry na Kova mmh
iko kazi
 
Ninaomba kuwe na rekodi ya matukio ambayo yatatukia hadi wakati wa uchaguzi na kisha tutathmini ni kwa kiasi gani yamesaidia kututoa wadanganyika katika hoja za msingi ambazo zingewezakuaffect uchaguzi wetu. Kwa sababu ninaamini kabisa kwa wakati wa sasa tunapaswa kujikita katika kutathmini ufanisi wa viongozi walioko madarakani na wanaotegemea kutetea tena nafasi zao ili kuona kama wameperform kiasi cha kuwakubali tena au la. Na hapa masuala mazito yaliyotingisha nchi yetu mf. Richmond saga, ufanisi wa kina Sofia Simba, Ubadhirifu wa pesa za walipa kodi, ufsadi, rushwa n.k yalitakiwa yaibuliwe upya ili kutoa uwezo na elimu kwa wapiga kura kuwasaidia kuchagua viongozi wafaao.

Masuala ya kina Jerry Muro yalifaa yabakie TAKUKURU na police. Wabunge wana kazi za maana than kudiscuss Jerry Muro- Who is he anyway? Si ni mtuhumiwa kama mtuhumiwa yeyote yule? Wasubiri atakapotoka clean na motives behind the scene zikijulikana ndio waseme kama zinarelate na siasa ya nchi yetu ama la.

After all wanapoanza kuidiscuss Bungeni si wanaiingilia sheria na kazi za police. Wasubiri kesi iishe ndo wadiscuss kama inawahusu.

Kwanza kwa sasa wanadiscuss nini?
 
Watanzania tunapenda mazingaombwe sana; tunapenda vichekesho na soap operas; tunapenda mambo mepesi mepesi! Nasubiri siku Bunge litakapoanza kujadiliana kwanini fulani amenyimwa unyumba!
 
Watanzania tunapenda mazingaombwe sana; tunapenda vichekesho na soap operas; tunapenda mambo mepesi mepesi! Nasubiri siku Bunge litakapoanza kujadiliana kwanini fulani amenyimwa unyumba!

And am telling you my bro you dont have to wait for a long time..... very soon infact so sooon like blinking an eye.
 
Hivi bungeni kuna binadamu wenye akili tunaowaita wabunge au ni MATIKITI MAJI yamo humo! Swala la jery na kova linaenda bungeni kufanya nini! Mimi ningekuwa pinda ningemjibu rashid no comment halafu baadaye nimuweke sawa tukiwa nje
 
.....Richmod imewashinda? ....kweli tunapenda mepesi mepesi sisi.....umbea umbea hivi!

Tutegemee nini iwapo Bunge lenyewe siku hizi limejaa wabunge hehe- hehe type? Waliozoa rusha roho vidole juu?- Umbea ndo jadi yao ati!! Kikwete kama ukishinda uchaguzi next time ya mara nyingine please kuwa makini katika uteuzi wa wabunge wako hasa walle wa kuteuliwa ah!!

Inasikitisha siku hizi watu hatuna haja ya kwenda kitaani kushuhudia mipasho na misuto ah you just switch on your TV, where is TBC 1 channel , mjengoni ah !!
 
Lile sakata la Jerry Muro, limetinga rasmi bungeni asubuhi hii kwenye kipindi cha maswali na majibu ya papo kwa papo.

Pinda amesema polisi wanatumia vibaya vyombo vya habari, na Jerry nae anatumia vyombo vya habari kuendeleza malumbano.
HAPA NAMUUNGA MKONO mzee Pinda, wanatumia vyombo vya habari kwa manufaa yakujisafisha.
 
bunge letu ni kijiwe cha kupotezea mawazo kwa baadhi ya watu... hivi ni kwa kiasi gani wameshaidrill timu yetu ya maafa? au TRL??

Eniwei tuliwachagua wenyewe... ukiondoa akina kingunge ambao ni viti maalum; ingawa na wao waliteuliwa na tuliowachagua
 
.....ina maana hujui mpaka sasa kama Wage ni Fisadi au laa?

Inawezekana ni uvivu wangu wa kusoma pages za nyuma- aksante kwa kunitoa tongo tongo machoni.

So kama ni fisadi so na y anayo kesi ya kujibu- si ndio?
 
there are so many untold stories, and both parties knows this, and they will never disclose the information. Just waste your time with this issue and you will never know the truth.
 
blah blah blah,,,,,,,,,,,,,muro blah blah..........
 
Jamani hili jambo sio jepesi kama tunavyolijadili.Hoja ya Hamad ni kuwa waandishi wa Tanzania wakifichua maovu huwa wanafuatiliwa sana,tumeiona kwa Kubenea na Ndimara na wengine wengi huko nyuma na sasa ni kwa Muro.Na kwa jinsi hii nchi ambavyo haina haki na hasa kwenye vyombo vya dola ndio maana imeonekana ni bora kumkaba Waziri Mkuu ingawaje naye amejibu kisanii as always.Tusiposimama kidete kutetea waandishi wetu tutpataje kufahamu mabaya yanayoendelea hapa nchini?where is the freedom of press?
 
Back
Top Bottom