Jerry Muro amezungumza live kwenye kipindi cha Usiku wa Habari live on TBC, usiku huu. Nimemsikiliza Jerry kwa makini na kumsoma in between the line, anasema ukweli kwa asilimia 100% kuwa hajapokea rushwa yoyote!. That is a fact!.
Pamoja na ukweli huu, bado Jerry anaacha maswali mengi bila majibu, haswa inconsistance kwenye kila anapoongea, hayo yatakuja mtundika msalabani ajikute akisulubiwa bure bila hatia, haswa anaposema hamjui kabisa huyo jamaa ndio na yeye alishangaa kumuona pale, jamaa alisharipoti kwenye gari ya Jerry kuna bastola na pingu, na yeye alisahau miwani yake nyeusi, hivyo vyote vimekutwa ndani ya gari, it ncan be just a coincidence, in fact its amaizing coincidence!.
Kwa vile Jerry ni mpiganaji na lengo ni kumsaidia, ushauri wangu muhimu kwa Jerry, "Don't talk too much, utalikoroga"!. Kamanda Kova na vijana wake, tayari wameshalikoroga, cha muhimu ni Jerry kunyamaza na kuwaachia hiyo kamba, wajinyonge wenyewe.