TBC imemuita nani hamnazo?

TBC imemuita nani hamnazo?

Kwa wanaoangalia tbc hata kwa bahati mbaya watakubaliana na mm kuwa tbc wanakula mshahara wa bure na unafiki juu
Confused Brainwashing Machine!
Nawashangaa zaidi wanaoangalia tbc na zaidi wale watangazaji...
 
Ooh okay... So hamnazo ni Nani according to tbc?

NB: Ila pamoja na kulinda mwili wako na moyo wako vile vile linda akili yako isilishwe matangopori ya tbc
TBC hawana uwezo wa kunilisha Matango-pori mana unafiki wao naujua kitambo
 
Jamani tugange yajayo ,he was our leader despite his mess ila ameshalala ,tugange yajayo kwa kujifunza mazuri na mabaya yake but haina maana tena kukashifiana
hawana uwezo wa kutulia,ananyevua rohoni maana ni mtu akiyeishi maono ya wengi.

sasa huyu emolo sijui kamekunywa pomne kali,na ufupi ukakalevya zaidi!!
 
Kaitwa, Mwendazake, wapenda amani wapo kimya! Na sasa anaitwa, Hamnazo, hali ni ile ile! Mwisho, ardhi itaongea!
mwezi wa 3 huu bado watu wanaweweseka.

subiri awe mzimu kamili aje awe anapika kichwa mmoja mmoja ndio tutaelewana.
 
Ndugu Hamnazo 😁😂🤣🙌
Wabongo mnazidi kuvunja record ya dunia. Watu wa kipekee sana nyie. Kweli hamnazo alikua hana akili. Mbigili zinamuua tena kwa kumchoma makalioni? 😁
 
kuna la kujifunza kwa watawala, unapopewa madaraka usijione una akili kuliko unaowaongoza, watawala wazingatie hakuna maisha ya kudumu bali wema hudumu
 
Bwana hamnazo!🐒🐒🐒
Q0f.jpg
 
Back
Top Bottom