TBC imemuita nani hamnazo?

TBC imemuita nani hamnazo?

Sasa unatuuliza sisi, si ungeanza wewe kutupa jibu, nyie ndio mama kawaambia kule Mwanza kuwa mnatumia mitandao vibaya, mnapenda kuuliza au kukosoa tu bila kuja na majibu ya hayo mnayoyasema.
Unataka nitoe majibu gani wakati huyo mhusika hamnazo hajasemwa hadharani.?
 
Shaaban Kisu awe mwangalifu na tafakuri yake.

Kwa tafakuri hii ni rahisi mawazo ya mtu kwenda mbali sana na hatimaye kumfikiria kiongozi "hamnazo" ambaye kwa sasa kashatangulia mbele ya haki na wengi wanaamini kweli alikuwa "hamnazo"
Shaban Kisu sasa hv yupo na misafara ya rais hana hata la kuhofia
 
Wamemtenda mwendazake,shauri yao anaangalia tbc1 huko anaongoza malaika.
 
Back
Top Bottom