TBC imemuita nani hamnazo?

TBC imemuita nani hamnazo?

Huu uzi sijui kama wenye jeiefu hawatapita nao
 
Tbc wana ujinga mwingi, mama akisema kuwe na lockdown lazima wampigie debe kuwa yuko sahihi tofauti na Mwendazake
Na ni kwamba TBC hawajafanya bure wameelekezwa. Sasa tumeingia hatua ya PS - Propaganda and Sychophants. Strategy ya kuchezea muda wetu mara 2025 inafika - miaka 4 iliyobaki bado topic na lawama ni JPM...When we wake up with the mind games they have played it will be too late and NO Opposition - NO New Constitution. Mob Psychology Technique.
 
Kwa walioangalia taarifa ya habari leo TBC watanielewa.

Kwa kawaida jina au neno ‘hamnazo’ linamaanisha mtu mjinga, mpumbavu pia asiye na akili timamu.

Leo baada ya Taarifa ya Habari ya TBC, huwa kuna kipindi nadhani cha dakika zisizozidi tano kiitwacho “Tafakuri” ambacho kinatangazwa na Shaban Kisu na huelezea mambo mbalimbali. Sasa, leo kipindi kilimuelezea mtu aliyepewa jina la “Hamnazo”.

Ndugu Hamnazo alikuwa ndani akiwa amevaa Msuli bila nguo yoyote ndani yake, akaamua kwenda shambani kwake huku akiwa bila viatu. Aliingia ndani ya shamba lake huku akikimbia na shamba lake limejaa mbigiri (miiba) hivyo mbigiri zile zilimchoma lakini ndugu Hamnazo aliendelea kukimbia kuingia katika shamba lake. Baada ya kuchomwa sana na zile mbigiri akaamua kukaa chini (tukumbuke alivaa msuli bila nguo yoyote ndani yake) hivyo zile mbigiri ziliendelea kumchoma hata huko makalioni. Alilia kwa uchungu bila msaada wowote, hivyo ndugu Hamnazo akafariki.

Baada ya sehemu hiyo ya ndugu Hamnazo ikafata sehemu inayoelezea kuwa: Mbigiri ni sawa na ugonjwa wa Corona, shamba ni Nchi na huyo ndugu Hamnazo ni kiongozi ambaye hakuchukua hatua kudhibiti mbigiri zilizoota shambani kwake hivyo kupelekea kifo chake.

Mwisho, mtangazaji wa kipindi hicho cha Tafakuri (ndugu Shaban Kisu) akawashauri watu wajilinde dhidi ya ugonjwa wa Corona ili wasife kizembe kama ndugu Hamnazo.

TBC1 hapa walimlenga nani kwa kumuita Hamnazo.?
Kila nafsi itaonja umauti
 
Hivi tumewahi kupata kiongozi bora toka usukumani?? Mwenye mfano anikumbushe hili kabila kubwa limewahi kutupa kiongozi gani bora awe chama tawala ama upinzani akatoa mchango wakupigiwa mfano. Simanishi ubaguz Bali nafanya research ya historia.
 
Kwa sasa huwezi kuelewa tunatoka wapi na kuelekea wapi na tupo wapisasa.
Kamati ya Amani ya wanaoitwa viongozi wa dini imekuja na mkakati wa kupiga marufuku jina linalotumika kumtambulisha kiongozi wa zamani kama "Mwendazake".

Jambo la kufurahisha TBC1 kwa ubunifu wao na utendaji wao wa haraka wakaja na mbadala wa jina kupitia kipindi chao kimoja mashuhuri cha baada ya habari saa 2 usiku, "HAMNAZO".

Jina hilo linaonekana kupokelewa kwa tashwishwi na kukubalika katika jamii. Kwa hiyo ndugu zangu tuheshimu hao viongozi wa dini na tuache kumuita Mwendazake bali tumuite Hamnazo kama alivyo tambulishwa na chombo chetu pendwa cha habari TBC1
Mkuu umenena haswaa..
HAMNAZO hatunae tena.
 
Kwa walioangalia taarifa ya habari leo TBC watanielewa.

Kwa kawaida jina au neno ‘hamnazo’ linamaanisha mtu mjinga, mpumbavu pia asiye na akili timamu.

Leo baada ya Taarifa ya Habari ya TBC, huwa kuna kipindi nadhani cha dakika zisizozidi tano kiitwacho “Tafakuri” ambacho kinatangazwa na Shaban Kisu na huelezea mambo mbalimbali. Sasa, leo kipindi kilimuelezea mtu aliyepewa jina la “Hamnazo”.

Ndugu Hamnazo alikuwa ndani akiwa amevaa Msuli bila nguo yoyote ndani yake, akaamua kwenda shambani kwake huku akiwa bila viatu. Aliingia ndani ya shamba lake huku akikimbia na shamba lake limejaa mbigiri (miiba) hivyo mbigiri zile zilimchoma lakini ndugu Hamnazo aliendelea kukimbia kuingia katika shamba lake. Baada ya kuchomwa sana na zile mbigiri akaamua kukaa chini (tukumbuke alivaa msuli bila nguo yoyote ndani yake) hivyo zile mbigiri ziliendelea kumchoma hata huko makalioni. Alilia kwa uchungu bila msaada wowote, hivyo ndugu Hamnazo akafariki.

Baada ya sehemu hiyo ya ndugu Hamnazo ikafata sehemu inayoelezea kuwa: Mbigiri ni sawa na ugonjwa wa Corona, shamba ni Nchi na huyo ndugu Hamnazo ni kiongozi ambaye hakuchukua hatua kudhibiti mbigiri zilizoota shambani kwake hivyo kupelekea kifo chake.

Mwisho, mtangazaji wa kipindi hicho cha Tafakuri (ndugu Shaban Kisu) akawashauri watu wajilinde dhidi ya ugonjwa wa Corona ili wasife kizembe kama ndugu Hamnazo.

TBC1 hapa walimlenga nani kwa kumuita Hamnazo.?
MATAGA wame disappear kweny huu uzi kbs 🤣🤣🤣
 
Kwa walioangalia taarifa ya habari leo TBC watanielewa.

Kwa kawaida jina au neno ‘hamnazo’ linamaanisha mtu mjinga, mpumbavu pia asiye na akili timamu.

Leo baada ya Taarifa ya Habari ya TBC, huwa kuna kipindi nadhani cha dakika zisizozidi tano kiitwacho “Tafakuri” ambacho kinatangazwa na Shaban Kisu na huelezea mambo mbalimbali. Sasa, leo kipindi kilimuelezea mtu aliyepewa jina la “Hamnazo”.

Ndugu Hamnazo alikuwa ndani akiwa amevaa Msuli bila nguo yoyote ndani yake, akaamua kwenda shambani kwake huku akiwa bila viatu. Aliingia ndani ya shamba lake huku akikimbia na shamba lake limejaa mbigiri (miiba) hivyo mbigiri zile zilimchoma lakini ndugu Hamnazo aliendelea kukimbia kuingia katika shamba lake. Baada ya kuchomwa sana na zile mbigiri akaamua kukaa chini (tukumbuke alivaa msuli bila nguo yoyote ndani yake) hivyo zile mbigiri ziliendelea kumchoma hata huko makalioni. Alilia kwa uchungu bila msaada wowote, hivyo ndugu Hamnazo akafariki.

Baada ya sehemu hiyo ya ndugu Hamnazo ikafata sehemu inayoelezea kuwa: Mbigiri ni sawa na ugonjwa wa Corona, shamba ni Nchi na huyo ndugu Hamnazo ni kiongozi ambaye hakuchukua hatua kudhibiti mbigiri zilizoota shambani kwake hivyo kupelekea kifo chake.

Mwisho, mtangazaji wa kipindi hicho cha Tafakuri (ndugu Shaban Kisu) akawashauri watu wajilinde dhidi ya ugonjwa wa Corona ili wasife kizembe kama ndugu Hamnazo.

TBC1 hapa walimlenga nani kwa kumuita Hamnazo.?
This story is consistent with the death of Magufuli.
 
Kwa walioangalia taarifa ya habari leo TBC watanielewa.

Kwa kawaida jina au neno ‘hamnazo’ linamaanisha mtu mjinga, mpumbavu pia asiye na akili timamu.

Leo baada ya Taarifa ya Habari ya TBC, huwa kuna kipindi nadhani cha dakika zisizozidi tano kiitwacho “Tafakuri” ambacho kinatangazwa na Shaban Kisu na huelezea mambo mbalimbali. Sasa, leo kipindi kilimuelezea mtu aliyepewa jina la “Hamnazo”.

Ndugu Hamnazo alikuwa ndani akiwa amevaa Msuli bila nguo yoyote ndani yake, akaamua kwenda shambani kwake huku akiwa bila viatu. Aliingia ndani ya shamba lake huku akikimbia na shamba lake limejaa mbigiri (miiba) hivyo mbigiri zile zilimchoma lakini ndugu Hamnazo aliendelea kukimbia kuingia katika shamba lake. Baada ya kuchomwa sana na zile mbigiri akaamua kukaa chini (tukumbuke alivaa msuli bila nguo yoyote ndani yake) hivyo zile mbigiri ziliendelea kumchoma hata huko makalioni. Alilia kwa uchungu bila msaada wowote, hivyo ndugu Hamnazo akafariki.

Baada ya sehemu hiyo ya ndugu Hamnazo ikafata sehemu inayoelezea kuwa: Mbigiri ni sawa na ugonjwa wa Corona, shamba ni Nchi na huyo ndugu Hamnazo ni kiongozi ambaye hakuchukua hatua kudhibiti mbigiri zilizoota shambani kwake hivyo kupelekea kifo chake.

Mwisho, mtangazaji wa kipindi hicho cha Tafakuri (ndugu Shaban Kisu) akawashauri watu wajilinde dhidi ya ugonjwa wa Corona ili wasife kizembe kama ndugu Hamnazo.

TBC1 hapa walimlenga nani kwa kumuita Hamnazo.?
Hiyo aya ya tatu kutoka chini, ndivyo bwana Kisu alivyotafsiri ama ni tafakuri yako baada ya kumsikiza ndg Kisu Shaaban!? Nataka kunua tu sina nia ya kukupinga ama kukukubalia!
 
Ndio wamefikia huko???
Tafakuri naona kilikua ni kipindi maalumu kwa ajili ya bwana Hamnazo.
Mtangazaji alikua anaanza story mbaaali mara wakoloni hivi wakoloni wakafanya vile....mara anakuja kuibukia kwa Jpm jembe shujaa bla bla leo imefikia huku.
Ha ha ha kumbe ni katafukuri ka toka kitambo tu,ila Leo ndio kamekuja na hamnazo!?
 
Kwa walioangalia taarifa ya habari leo TBC watanielewa.

Kwa kawaida jina au neno ‘hamnazo’ linamaanisha mtu mjinga, mpumbavu pia asiye na akili timamu.

Leo baada ya Taarifa ya Habari ya TBC, huwa kuna kipindi nadhani cha dakika zisizozidi tano kiitwacho “Tafakuri” ambacho kinatangazwa na Shaban Kisu na huelezea mambo mbalimbali. Sasa, leo kipindi kilimuelezea mtu aliyepewa jina la “Hamnazo”.

Ndugu Hamnazo alikuwa ndani akiwa amevaa Msuli bila nguo yoyote ndani yake, akaamua kwenda shambani kwake huku akiwa bila viatu. Aliingia ndani ya shamba lake huku akikimbia na shamba lake limejaa mbigiri (miiba) hivyo mbigiri zile zilimchoma lakini ndugu Hamnazo aliendelea kukimbia kuingia katika shamba lake. Baada ya kuchomwa sana na zile mbigiri akaamua kukaa chini (tukumbuke alivaa msuli bila nguo yoyote ndani yake) hivyo zile mbigiri ziliendelea kumchoma hata huko makalioni. Alilia kwa uchungu bila msaada wowote, hivyo ndugu Hamnazo akafariki.

Baada ya sehemu hiyo ya ndugu Hamnazo ikafata sehemu inayoelezea kuwa: Mbigiri ni sawa na ugonjwa wa Corona, shamba ni Nchi na huyo ndugu Hamnazo ni kiongozi ambaye hakuchukua hatua kudhibiti mbigiri zilizoota shambani kwake hivyo kupelekea kifo chake.

Mwisho, mtangazaji wa kipindi hicho cha Tafakuri (ndugu Shaban Kisu) akawashauri watu wajilinde dhidi ya ugonjwa wa Corona ili wasife kizembe kama ndugu Hamnazo.

TBC1 hapa walimlenga nani kwa kumuita Hamnazo.?
Sasa unatuuliza sisi, si ungeanza wewe kutupa jibu, nyie ndio mama kawaambia kule Mwanza kuwa mnatumia mitandao vibaya, mnapenda kuuliza au kukosoa tu bila kuja na majibu ya hayo mnayoyasema.
 
Kwa walioangalia taarifa ya habari leo TBC watanielewa.

Kwa kawaida jina au neno ‘hamnazo’ linamaanisha mtu mjinga, mpumbavu pia asiye na akili timamu.

Leo baada ya Taarifa ya Habari ya TBC, huwa kuna kipindi nadhani cha dakika zisizozidi tano kiitwacho “Tafakuri” ambacho kinatangazwa na Shaban Kisu na huelezea mambo mbalimbali. Sasa, leo kipindi kilimuelezea mtu aliyepewa jina la “Hamnazo”.

Ndugu Hamnazo alikuwa ndani akiwa amevaa Msuli bila nguo yoyote ndani yake, akaamua kwenda shambani kwake huku akiwa bila viatu. Aliingia ndani ya shamba lake huku akikimbia na shamba lake limejaa mbigiri (miiba) hivyo mbigiri zile zilimchoma lakini ndugu Hamnazo aliendelea kukimbia kuingia katika shamba lake. Baada ya kuchomwa sana na zile mbigiri akaamua kukaa chini (tukumbuke alivaa msuli bila nguo yoyote ndani yake) hivyo zile mbigiri ziliendelea kumchoma hata huko makalioni. Alilia kwa uchungu bila msaada wowote, hivyo ndugu Hamnazo akafariki.

Baada ya sehemu hiyo ya ndugu Hamnazo ikafata sehemu inayoelezea kuwa: Mbigiri ni sawa na ugonjwa wa Corona, shamba ni Nchi na huyo ndugu Hamnazo ni kiongozi ambaye hakuchukua hatua kudhibiti mbigiri zilizoota shambani kwake hivyo kupelekea kifo chake.

Mwisho, mtangazaji wa kipindi hicho cha Tafakuri (ndugu Shaban Kisu) akawashauri watu wajilinde dhidi ya ugonjwa wa Corona ili wasife kizembe kama ndugu Hamnazo.

TBC1 hapa walimlenga nani kwa kumuita Hamnazo.?
Shaaban Kisu awe mwangalifu na tafakuri yake.

Kwa tafakuri hii ni rahisi mawazo ya mtu kwenda mbali sana na hatimaye kumfikiria kiongozi "hamnazo" ambaye kwa sasa kashatangulia mbele ya haki na wengi wanaamini kweli alikuwa "hamnazo"
 
Hiyo aya ya tatu kutoka chini, ndivyo bwana Kisu alivyotafsiri ama ni tafakuri yako baada ya kumsikiza ndg Kisu Shaaban!? Nataka kunua tu sina nia ya kukupinga ama kukukubalia!
Boss, hayo ni maneno ya Shaban Kisu, ukisoma vizuri utaona nmesema ni mtangazaji ameongea
 
Back
Top Bottom